Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,185
- 8,294
Mimi mume wa babaako.Anaeweza kusema kuwa mbowe kachoka ni mkewe tu sasa wewe unaesema mbowe apumzike utatuambia wewe ni nani kwa mbowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi mume wa babaako.Anaeweza kusema kuwa mbowe kachoka ni mkewe tu sasa wewe unaesema mbowe apumzike utatuambia wewe ni nani kwa mbowe
Unaongea upumbavu,chama kinawatesa nyie wabaguzi nchi nzima then unasema ni cha kikabila,kwa hiyo aliyechaguliwa kanda ya nyasa ni mchaga?Tatizo sio Mowe bali ni asili ya chama chenyewe ndio tatizo. CHADEMA bado hakijakuwa ni chama cha kitaifa, bado kimezingirwa na ukabila. Kama wewe si mtu wa kabila lile na bila ya kuwapigia magoti viongozi wa kabila hilo, sahau kupata uongozi.
Walidhani Msigwa mtu wa namna hiyo, walibugi step, sasa wanajaribu kurekebisha mambo. Imekula kwao!
Uwa anawanga mchana huyojohnthebaptist amekasirika sana
Msigwa ilikuwa ahamie CCM tangu wakati wa Magufuli. Niliambiwa hili japo nilipuuza.Kahama
Haya maneno yanaendelea kuchukuwa point Msigwa outMwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku na giza limeingia na umo ndani, toka nje ujiridhishe!
Unamwamini mwanasiasa? Usiwe kama wale vijana wa UVCCM walioweka imani yao kwa wanasiasa eti na wao iko siku watapata uteuziNa mwamini SANA kamanda msigwa Sina Shaka nae
😂😂😂😂😂😂😀Uwa anawanga mchana huyo
Dah! Hatimaye Kamanda wako naona ametupa taulo chini! Nadhani utaanza sasa kuchukua tahadhari kwenye kuwaamini wanasiasa wa Tanzania.Na mwamini SANA kamanda msigwa Sina Shaka nae
Erythrocyte njoo basiUjumbe wake huu hapa
---
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msingwa amesema hana mpango wa kukihama Chama cha CHADEMA baada ya kutoshinda uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.
Msigwa ameyasema haya kutokana na baadhi ya Watu kuamini kuwa kuitisha kwake mkutano na Wanahabari wa Iringa leo kulikua na nia ya kutangaza kukihama Chama hicho.
“Najua Wabaya wangu wengi leo walikuwa wanajua nahama, mimi siondoki niko CHADEMA mliokuwa mnafikiri na bado nipo ,sihami Chadema tunapambana humuhumu yule anayetaka kunyofoa Watu atanyofolewa mwenyewe na hatutoogopa Mtu”
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa
Kiko wapi sasa? 🤣 🤣 🤣Ujumbe wake huu hapa
---
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msingwa amesema hana mpango wa kukihama Chama cha CHADEMA baada ya kutoshinda uchaguzi wa Kanda ya Nyasa.
Msigwa ameyasema haya kutokana na baadhi ya Watu kuamini kuwa kuitisha kwake mkutano na Wanahabari wa Iringa leo kulikua na nia ya kutangaza kukihama Chama hicho.
“Najua Wabaya wangu wengi leo walikuwa wanajua nahama, mimi siondoki niko CHADEMA mliokuwa mnafikiri na bado nipo ,sihami Chadema tunapambana humuhumu yule anayetaka kunyofoa Watu atanyofolewa mwenyewe na hatutoogopa Mtu”
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa atangaza kukata rufaa kupinga Ushindi wa Joseph Mbilinyi (Sugu) Kanda ya Nyasa
Mbaya sana kamanda 🙏Dah! Hatimaye Kamanda wako naona ametupa taulo chini! Nadhani utaanza sasa kuchukua tahadhari kwenye kuwaamini wanasiasa wa Tanzania.
Na mwamini SANA kamanda msigwa Sina Shaka nae
🙏🙏🙏Pole sana... utakuwa umejifunza