Watawafukuza wangapi ili kukisafisha chama kabla ya kukiwasilisha kwa CCM ya Samia? Mbona CHADEMA itakuwa imekufa tayari!Kama hataki kuhama basi afukuzwe, kuendelea kubaki chadema ni hatari kwa afya ya chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watawafukuza wangapi ili kukisafisha chama kabla ya kukiwasilisha kwa CCM ya Samia? Mbona CHADEMA itakuwa imekufa tayari!Kama hataki kuhama basi afukuzwe, kuendelea kubaki chadema ni hatari kwa afya ya chama.
Bila ya '"moment'" hii sahau kabisa CHADEMA kutwaa serikali. This cleansing is necessary; and it is happening at the opportune moment.Yes, hata mimi nilikuwa na dhana hiyo.
Why? Hii ni fragile moment, siyo muda wa kuleta utengano kwa watu mnaotazamia kupambana na CCM/serikali ya CCM kutwaa dola/kupata wabunge wengi and the like
(1) .Lowasa kabla ya uchaguzi wa 2015 alisema asipoteuliwa kugombea uraisi ataenda kuchunga ng'ombe.Mwanasiasa akikwambia sasa hivi ni usiku na giza limeingia na umo ndani, toka nje ujiridhishe!
Hamalizi hata mwezi,Kauli zake siyo za mtu anayejali chama tena.
Mbowe nae inatoshq,mwezi wa tisa apumzike.
Sasa tutaongea lugha Moja! Mbowe hakustahili muda mrefu kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm. Na hili nililisema muda mrefu baada ya blunder ya kumuokota Lowassa, na kumpa nafasi adhimu ya kugombea urais. Nashukuru lile nililoliona muda mrefu Sasa linaanza kueleweka kwa wengi.Mkuu 'Erythro', ujumbe muhimu alioutoa kwenye habari hiyo ni huu hapa:'
"... yule anayetaka kunyofoa watu atanyofolewa mwenyewe,...na hatuogopi mtu"
Mengine yote ni kelele tu za kupoteza lengo.
Ni wakati mwafaka sasa CHADEMA ijisafishe; hakuna njia nyingine zaidi. Kirusi kikuu ni Mbowe, bila ya kumung'unya maneno.
Msigwa kasema huyo aliyezoea kunyofoa watu kwenye chama safari hii ananyofolewa yeye. 😆😆mwenye chama alishasema hamtaki....
Miaka yote nimemsapoti Mbowe na nakiri amefanya kazi kubwa lakini for the God's sake, asigombee tena. Hlafu CHADEMA nao walikosea sana kuweka utaratibu wa mwenyekiti wa kanda kupigiwa kura na watu wachache namna hiyo. Wangefanya kama chama cha Republican kinavyofanya.Wagombea wawe wanapita eg kata kwa kata, au tarafa au whatever watakavyoamua na kupigiwa kura na wanachama na baada ya mzungunguko, yule mwenye kura nyingi ndiye anakuwa mshindi. Hili la kura kupigwa na watu wachache sana linafanya rushwa iwe rahisi kutumikana kutoa matokeo yasiyo akisi hali halisi.Mkuu 'Erythro', ujumbe muhimu alioutoa kwenye habari hiyo ni huu hapa:'
"... yule anayetaka kunyofoa watu atanyofolewa mwenyewe,...na hatuogopi mtu"
Mengine yote ni kelele tu za kupoteza lengo.
Ni wakati mwafaka sasa CHADEMA ijisafishe; hakuna njia nyingine zaidi. Kirusi kikuu ni Mbowe, bila ya kumung'unya maneno.
Mkuu, swala la Lowassa, pamoja na muda husika na mazingira ya wakati huo na sasa ni tofauti sana. Lakini hayo tuyaache huko huko nyuma, tusonge mbele sasa hivi.Sasa tutaongea lugha Moja! Mbowe hakustahili muda mrefu kuendelea kuwa mwenyekiti wa cdm. Na hili nililisema muda mrefu baada ya blunder ya kumuokota Lowassa, na kumpa nafasi adhimu ya kugombea urais. Nashukuru lile nililoliona muda mrefu Sasa linaanza kueleweka kwa wengi.
Bila shaka sasa hivi CHADEMA watakuwa wamepata funzo.Miaka yote nimemsapoti Mbowe na nakiri amefanya kazi kubwa lakini for the God's sake, asigombee tena. Hlafu CHADEMA nao walikosea sana kuweka utaratibu wa mwenyekiti wa kanda kupigiwa kura na watu wachache namna hiyo. Wangefanya kama chama cha Republican kinavyofanya.Wagombea wawe wanapita eg kata kwa kata, au tarafa au whatever watakavyoamua na kupigiwa kura na wanachama na baada ya mzungunguko, yule mwenye kura nyingi ndiye anakuwa mshindi. Hili la kura kupigwa na watu wachache sana linafanya rushwa iwe rahisi kutumikana kutoa matokeo yasiyo akisi hali halisi.
Kila siku huwa nasema kiongozi mzuri hapaswi kukaa zaidi ya miaka 10. Na kipimo Cha kwanza kwangu kuwa huyo Mbowe anaanza kuharibu mazuri yake ni kumuokota Lowassa. Huwezi kuchukua mgonjwa ukampa nafasi ya kugombea urais. Hakuna mazingira yoyote yaliyofanya Lowassa astahili kugombea kupitia cdm zaidi ya fedha zake chafu.Mkuu, swala la Lowassa, pamoja na muda husika na mazingira ya wakati huo na sasa ni tofauti sana. Lakini hayo tuyaache huko huko nyuma, tusonge mbele sasa hivi.
Ni muda mwafaka kabisa Mbowe asije akakivuruga chama wakati huu. Akifanya hivyo, atakuwa kafuta kila kitu alichowahi kufanya kukiongoza chama hicho.
Eti anamsema Msigwa kaongoza muda mrefu, miaka Saba!! Bila shaka Msigwa alikusudia kujilinganisha na Mwenyekiti hapa.😀😀Msigwa kasema huyo aliyezoea kunyofoa watu kwenye chama safari hii ananyofolewa yeye. 😆😆
EEEeeenHEEEeeee!Kila siku huwa nasema kiongozi mzuri hapaswi kukaa zaidi ya miaka 10. Na kipimo Cha kwanza kwangu kuwa huyo Mbowe anaanza kuharibu mazuri yake ni kumuokota Lowassa. Huwezi kuchukua mgonjwa ukampa nafasi ya kugombea urais. Hakuna mazingira yoyote yaliyofanya Lowassa astahili kugombea kupitia cdm zaidi ya fedha zake chafu.
Mano likwelikweLabda alikuwa anawaumbua wana habari maana wote wanaosusia kutangaza habari za CDM leo walikuwepo.
Yule bwashee hawezi kulala usingizi bila kuitaja chadema aisee 😂 😂 😂Wengi sana humu jukwaani akiwemo johnthebaptist .
Kama yatabainika kuwa ni kweli itambidi ajiuzulu mara moja na Tundu Lissu akaimu ili tuingie kwenye Chaguzi ndogo na baadae mchakato wa kumpata Mwenyekiti ufanyike.Lakini haya yanayosemwa chinichini ya Mwenyekiti kuwa na watu wake, kama ni kweli hili litamdhalilisha sana Mbowe.
Nilisema tusonge mbele, lakini kipande hiki nilichonyanyua hapo kimenirudisha nyuma.kuharibu mazuri yake ni kumuokota Lowassa. Huwezi kuchukua mgonjwa ukampa nafasi ya kugombea urais. Hakuna mazingira yoyote yaliyofanya Lowassa astahili kugombea kupitia cdm zaidi ya fedha zake chafu.
Hakuna ushahidi wowote kuthibitisha hilo, kama unao tuwekee humu, tena Mbowe ndiye alipambana sana kuhakikisha Msigwa anakuwa Mwenyekiti wa Kanda kwa kumshawishi Ole Sosopi ajitoe kumpisha Kaka yakeMkuu 'Erythro', ujumbe muhimu alioutoa kwenye habari hiyo ni huu hapa:'
"... yule anayetaka kunyofoa watu atanyofolewa mwenyewe,...na hatuogopi mtu"
Mengine yote ni kelele tu za kupoteza lengo.
Ni wakati mwafaka sasa CHADEMA ijisafishe; hakuna njia nyingine zaidi. Kirusi kikuu ni Mbowe, bila ya kumung'unya maneno.