Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Ningependa Tundu Lissu ashinde Uenyekiti CHADEMA kwa faida ya demokrasia ya Tanzania na hata kwa CCM yenyewe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uongo
 
CCM kindakindaki hawamtaki Tundu Lisu wanamtaka mshirika wao Mbowe.
 
Omba kwa Katibu Mkuu uwe wakala wake ili mkipigwa msisingizie.
 
Kwamba Simba iombe kukutana na Barcelona kwenye fainali na sio Namungo! Ahahahahaha!!
 
Hii kauli ndio itamfuta katika siasa za CCM. Mtu anayemtukana Samia ye ye ndio kamuona bora?
 
Kamwe na katu lissu hawezi kupita. Kwa hiyo Mchungaji Msigwa ajue tu kuwa Mwamba ndiye anayekwenda kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima. awe anapenda au hapendi ni lazima Mwamba ashinde tu.
 
Kamwe na katu lissu hawezi kupita. Kwa hiyo Mchungaji Msigwa ajue tu kuwa Mwamba ndiye anayekwenda kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima. awe anapenda au hapendi ni lazima Mwamba ashinde tu.
 
CCM kindakindaki hawamtaki Tundu Lisu wanamtaka mshirika wao Mbowe.
Una haki ya kuamini hivyo ila mimi sikubaliani na wewe. Naamini kuwa Strategists wa CCM bila shaka wanamuona Mbowe ni threat kuliko Lissu. Mashabiki na wafuasi wa kawaida wanaweza kuamini kama wewe.

Na sio vizuri kumuita Mbowe mshirika wa CCM. Ni yale yale ya kuacha mbachao....

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…