Martine malanja masese kaka Demu wa Boni yaiAsisahau jinsi Tapeli la Kichaga linakula ruzuku na vimada wake
Aeleze jinsi mbowe anaejifanya doni anavyowaibia Chadema
Kila la heri Msigwa
Yule bwege analala kwa boni yai anasaka kiki kibwege sana
abduliChadema itazunguka nchi nzma kueleza usaliti wa msigwa, shida iko wapi? Abdul alimlambisha hela ,.....itawekwa wazi soon
Mwambie asithubutu kabisa. Aachane na hayo mambo ya kuchafuana.Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema
Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
Credit Jambo TV
My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Chadema itazunguka nchi nzma kueleza usaliti wa msigwa, shida iko wapi? Abdul alimlambisha hela ,.....itawekwa wazi soon
atakavyo amua..........Msigwa atazunguka nchi nzima kueleza uongo wake, au uongo wa Chadema?
atakavyo amua........
Muongo atakuwa yeye!Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema
Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
Credit Jambo TV
My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Shetani akizeeka hujifanya malaika.Uongo wake au wa CHADEMA?
Huyu jamaa mtu akikusanya clips zote alizosema kuhusu CCM wakati akiwa CHADEMA unaweza kufikiri ni watu wawili tofauti. Aliwahi kusema siku akienda CCM, watu wachome nyumba yake. Aliwahi kusema CCM ni akili ndogo na katu hawawezi kuleta maendeleo. Ni mengi sana, nashangaa hata huko CCM wanawezaje kukaa naye hata dakika tano.
Atajisambaratisha yeye, hakuna wa kumuamini.Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema
Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
Credit Jambo TV
My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo
Ccm kazi yao ni kuchukua takataka(rubbish) wa upinzani waweke kwenye dustbinUongo wake au wa CHADEMA?
Huyu jamaa mtu akikusanya clips zote alizosema kuhusu CCM wakati akiwa CHADEMA unaweza kufikiri ni watu wawili tofauti. Aliwahi kusema siku akienda CCM, watu wachome nyumba yake. Aliwahi kusema CCM ni akili ndogo na katu hawawezi kuleta maendeleo. Ni mengi sana, nashangaa hata huko CCM wanawezaje kukaa naye hata dakika tano.
Hata hivyo hyo nafasi hawezi kuipata kwa sasa.Angeachana na hizo agenda afocus kujenga chama chake na uchaguzi wa local government
Aliondoka Slaa,Lowasa sumai na chama bado kipo.Hatakuwa wa kwanza. Anadhani ana impact kuliko waliomtangulia?
Anatia huruma.
ni bora akae kimya tu kuliko kutenda dhambi hiyo ya kusaliti wenzake waliokuwa pamoja wakifanya uongo huo. Usaliti haujawahi kumuacha mtu salamaKada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema
Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema
Credit Jambo TV
My take; JK aliwahi kusema Chadema ni Kiwanda cha Uwongo