Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Mchungaji Msigwa amesema kuwepo kwake CHADEMA siyo kwa ajili ya kutafuta Vyeo kwani Vyeo huwa vinakuja na kuondoka lakini Wananchi wa kuwatumikia wapo muda wote.

Hivyo ataendelea kukitumikia chama kwa Uaminifu na yuko tayari kwenda popote atakapoitwa kutekeleza majukumu ya kichama japo hana Cheo chochote.

Msigwa amewapongeza Washindi wote wa Kanda ya Nyasa.

Mlale Unono 😀😀

Pia soma: Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
 
Uchaguzi wa aina hii umeiheshimisha sana cdm. Ule ushenzi unaondelea kwenye zile chaguzi za chama chenu, na chaguzi za nchi zimeingia aibu kubwa. Hii ndio demokrasia tunayoitaka.
Mhhh, makubwa!
Kazi kwelikweli.
 
Uchaguzi wa aina hii umeiheshimisha sana cdm. Ule ushenzi unaondelea kwenye zile chaguzi za chama chenu, na chaguzi za nchi zimeingia aibu kubwa. Hii ndio demokrasia tunayoitaka.
Una maana lisu alipotuhumu kuwepo kwa rushwa na pesa kumwagwa kama njugu alikuwa anasema uongo?
Kama ni hivyo basi achukuliwe hatua kwa kukidharirisha chama.
 
Uchaguzi wa aina hii umeiheshimisha sana cdm. Ule ushenzi unaondelea kwenye zile chaguzi za chama chenu, na chaguzi za nchi zimeingia aibu kubwa. Hii ndio demokrasia tunayoitaka.
Huu mfumo aliupenda JK unakuwa na vibaraka humo humo Ndani ya Vyama Vya Upinzani na siyo kuwaungisha Juhudi
 
Back
Top Bottom