Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake

Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii

Credit: Mwanahalisi Digital
Sifatiliagi sana haya mambo ya siasa. Ila ukiona mtu anazungumza ili ajibiwe yawezekana

1. Drama king.
2. Kuna jambo lina msumbua anataka justification.
3. Anataka umuhim wake kwa hao anao wafanyia kazi uonekane endelevu, so yeye aonekane silaha ya muhimu.
4. Kuna majuto na aliko toka.
5. Hana lengo maalum ya kuzungumza zaidi ya dialogue zisizo na uelekeo.

BTW Wanasiasa wamaeacha kuanglia maslahi ya wananchi bali ya chama. Why uzunguke nchi kuongelea chama badala ya mambo ya msingi ktk nchi??
 
Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake

Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii

Credit: Mwanahalisi Digital
Wajibu ukweli au wathibitishe?
 
Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake

Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii

Credit: Mwanahalisi Digital
Kwani ni lazima kumkimbiza kichaa aliyeiba nguo zako wakati unaoga?
 
Sifatiliagi sana haya mambo ya siasa. Ila ukiona mtu anazungumza ili ajibiwe yawezekana

1. Drama king.
2. Kuna jambo lina msumbua anataka justification.
3. Anataka umuhim wake kwa hao anao wafanyia kazi uonekane endelevu, so yeye aonekane silaha ya muhimu.
4. Kuna majuto na aliko toka.
5. Hana lengo maalum ya kuzungumza zaidi ya dialogue zisizo na uelekeo.

BTW Wanasiasa wamaeacha kuanglia maslahi ya wananchi bali ya chama. Why uzunguke nchi kuongelea chama badala ya mambo ya msingi ktk nchi??
Kuna picha uko humu, amebebeshwa picha,anaonekana amejaa hofu,simanzi na majuto.
 
kwenye siasa kibaya na kizuri hutegemea na wakati tu, the late lowassa alitukanwa na chadema lakini pia alikuja kuwa mgombea wao urais.
 
Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake

Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii

Credit: Mwanahalisi Digital
Chadema wasimjibu msigwa kwa lolote, ataaibika mwenyewe. CCM wenye akili wanamfanya kikaragosi chao majukwaani. Unadhani CCM wamesahau kuwa Msigwa alikuwa akikitukana chama cha mapinduzi na viongozi wake akiwa CHADEMA? Kichaa haponi bhanawee!!
 
Msigwa sema yote
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
Chadema wasimjibu msigwa kwa lolote, ataaibika mwenyewe. CCM wenye akili wanamfanya kikaragosi chao majukwaani. Unadhani CCM wamesahau kuwa Msigwa alikuwa akikitukana chama cha mapinduzi na viongozi wake akiwa CHADEMA? Kichaa haponi bhanawee!!
Msigwa Sema yoteee
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
Akiendelea kuitungua CDM basi 'Karma' itamuhukumu....
Pascal Mayalla
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703

Nipashe leo wanadai zaidi ya 1 trillion imetolewa Bot.... CCM wako kazini. Eti CCM ni bora kuliko CDM.... Huyo mtu atakuwa na hitilafu upstairs.
 
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
..Hakuna chama cha siasa kilichoanzishwa baada ya 1993 tulipoingia ktk vyama vingi chenye sura ya kitaifa kuliko Chadema.

..Mwenyekiti wa pili wa Chadema alikuwa Mohamed " Bob " Makani. Mwenyeji au Msukuma wa Shinyanga.

..Na Chadema imesambaa Tanganyika nzima. Na kuna maeneo yana nguvu kuliko mkoa wa Kilimanjaro.

..Ccm kwa kiasi kikubwa imewezeshwa na dola na serikali. Ndio sababu ya kuwa imesambaa nchi nzima na kuwa na sura ya " kitaifa. "
 
Back
Top Bottom