Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Kama umeanza uongo hivi!Bob Makani anakusabahi huko alipo.
 
Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake

Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii

Credit: Mwanahalisi Digital
Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavu kama Msigwa.
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
WanaSihasa Kumbe husema uongo mwingi !
Akiwa huku anaponda kule kisha akihamia kule anaanza kuponda huku !!😳

Munatukomfyuzi kisha tunawaona nyie bure kabisa 🙄🤦🏽‍♂️
 
WanaSihasa Kumbe husema uongo mwingi !
Akiwa huku anaponda kule kisha akihamia kule anaanza kuponda huku !!😳

Munatukomfyuzi kisha tunawaona nyie bure kabisa 🙄🤦🏽‍♂️
Ni mpumbavu pekee anaweza kumwamini mwanasiasa kama huyu,
 
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Kwahiyo sida hapo ni Uchaga?
 
Msigwa amejinyea, badala ajihifadhi asinuke mavi mbele ya watu, yeye ndio kwanza anajipitisha.
Huko anako jikomba wanamuangalia tu hata wao wanajua Msigwa Ni Kama mke aliyeachika/single mother ambaye sio mtu wa kuaminika.
Mke aliyeachika! Lakini anapaka, yaani hata breki hana. Maana huku si kukivua nguo chama bali ni kuparua mpaka na ngozi kabisa. Duuu! kijana hafai kabisa.
Vitambaa vya kuwa futa machozi vitakwisha. Hurumaaaaaaa!
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
Jamaa kapokewa vizuri, MARA hii ana ULINZI!! 😳
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703
Sipati picha endapo CHADEMA ikachukua nchi, au hata kuwa kwenye serikali ya mseto, mara Paaaa! Mbowe waziri mkuu, sijui Msigwa atajificha wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Walau bado anamheshimu mwenyekiti wa chama chake cha zamani kwa kumuadress "Mheshimiwa"

Wampe Ubunge wamchape na uwaziri wa maliasili kwa muda huu uliobaki.
 
Sipati picha endapo CHADEMA ikachukua nchi, au hata kuwa kwenye serikali ya mseto, mara Paaaa! Mbowe waziri mkuu, sijui Msigwa atajificha wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii ndoto yako haina uhalali wa kutwa. Muda bado haijafika
 
Naamini CCM sio wajinga! Wanamcheki tuu msigwa. Ntawashangaa CCM kumoa cheo uyo chizi mkaacha makada wetu walikua na chama muda wote. Msigwa yupo CCM kwa ajili ya cheo tuu si kingine.
 
Sifatiliagi sana haya mambo ya siasa. Ila ukiona mtu anazungumza ili ajibiwe yawezekana

1. Drama king.
2. Kuna jambo lina msumbua anataka justification.
3. Anataka umuhim wake kwa hao anao wafanyia kazi uonekane endelevu, so yeye aonekane silaha ya muhimu.
4. Kuna majuto na aliko toka.
5. Hana lengo maalum ya kuzungumza zaidi ya dialogue zisizo na uelekeo.

BTW Wanasiasa wamaeacha kuanglia maslahi ya wananchi bali ya chama. Why uzunguke nchi kuongelea chama badala ya mambo ya msingi ktk nchi??
safari hii siasa ni ya Msigwa na madongo yake badala ya sera. Bure kabisa hili jamaa
 
Siasa sio kuhamia Republican kutokea Democrats kwakuwa Biden ni Mzee sana. Siasa ni kubaki humohumo kuondoa ubovu na kuiimarisha chama. Huo ndio ukomavu. Pale CCM mtu anatumbuliwa anakaa nje na kurejeshwa Tena safari nyingine. Why not chadema? Eti ukinyimwa uongozi basi unakimbilia kurudi CCM na kiyasema vibaya Yale yote uliyoshiriki kuyazalisha kwa mikono Yako, nonsense.
Mimi ukweli nimewapenda Covid 19 kwa kitoisema Chadema. Pamoja na maovu yao ilo wamefanya Busara wafikirieni.
 
Walau bado anamheshimu mwenyekiti wa chama chake cha zamani kwa kumuadress "Mheshimiwa"

Wampe Ubunge wamchape na uwaziri wa maliasili kwa muda huu uliobaki.
Anapewa uwaziri kwenye nafasi iliyo wazi.
Hongera yake.
 
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Usafi wake uko wapi hapa? Mbinu wanazotumia Museveni, Kagame na CCM kubaki madarakani ni zilezile kabisaaaaaa! Msigwa ni wa kupuuzwa, hana hoja ni njaa TU.

View: https://youtu.be/nHCBANX3qVM?si=hYvRg_Ar9VI7KnMR
 
eeeh. hii lini tena? Aisee unaweza kuamka ukakuta Tanzania haipo na huna habari.
 
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Humo humo
 
Back
Top Bottom