Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..Hakuna chama cha siasa kilichoanzishwa baada ya 1993 tulipoingia ktk vyama vingi chenye sura ya kitaifa kuliko Chadema.

..Mwenyekiti wa pili wa Chadema alikuwa Mohamed " Bob " Makani. Mwenyeji au Msukuma wa Shinyanga.

..Na Chadema imesambaa Tanganyika nzima. Na kuna maeneo yana nguvu kuliko mkoa wa Kilimanjaro.

..Ccm kwa kiasi kikubwa imewezeshwa na dola na serikali. Ndio sababu ya kuwa imesambaa nchi nzima na kuwa na sura ya " kitaifa. "

Kwa ujumla Msigwa ni SELL OUT .... Haiwezekani ukazungumzia Ufisadi wa CDM halafu ukabariki Ufisadi ndani ya CCM na Serikali. CAG kila mwaka anakuja na report chafu .... jamaa wanafunika mafaili watu wanahamishwa kila siku kulindana.

Kwa ujumla hana sababu ya maana ya kumtoa CDM kwenda CCM ....!!
 
Ile kabebeshwa picha ya mama
This one 🤣❓
downloadfile-9.jpg
 
Kwa ujumla Msigwa ni SELL OUT .... Haiwezekani ukazungumzia Ufisadi wa CDM halafu ukabariki Ufisadi ndani ya CCM na Serikali. CAG kila mwaka anakuja na report chafu .... jamaa wanafunika mafaili watu wanahamishwa kila siku kulindana.

Kwa ujumla hana sababu ya maana ya kumtoa CDM kwenda CCM ....!!
ukijamba kwa hasira utajinyea
 
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.

Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.

CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.

Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,

View attachment 3047703

imhotep Ile foundation yetu si ndiyo hii ?
 
Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...

Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..

Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa

Dhu .... Hii sikuitegemea itoke kwa senior Member kama wewe .... Ingetolewa na Members wa miaka ya 2010 na kuendelea walau ningeewa kwa kuwa Usajili wa Lumumba ndiyo ulipoanza.

Kuweka record sawa, CDM kimeshakuwa na Wenyeviti watatu .... Mtei (Mchaga), Bob Makani (Msukuma) na Mbowe (Mchaga). Kimekuwa na Makatibu wakuu kadhaa; Bob Mkani (Msukuma), Dr. Kaboru (Mkigoma), Dr. Silaa (M), Dr. Madhinji (Msukuma) na Mnyika (Mapare).

Mnyonge mnyongeni. Mbowe ndiye aliyekikomaza hicho chama .... Kiasi kwamba nina wasiwasi kama hata Lissu pamoja na ukeleketwa wake kama ataweza kukiendeleza bila vurugu au mpasuko wa kufa mtu
 
Back
Top Bottom