Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kama umeanza uongo hivi!Bob Makani anakusabahi huko alipo.Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...
Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..
Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Kukaa kimya ni jibu zuri sana kwa mpumbavu kama Msigwa.Mchungaji Msigwa amelalamika ukimya wa Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika na Msaidizi wake mh Kigaila kutojitokeza na kujibu Hoja zake
Msigwa amesema anapopanda jukwaani na Chama chake kipya na kurusha makombora huwa anasuniria mrejesho kutoka kwa Mnyika na Benson Kigaila lakini anashangaa wako kimyaaaa kana kwamba hawamfuatilii
Credit: Mwanahalisi Digital
WanaSihasa Kumbe husema uongo mwingi !Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.
Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.
CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.
Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,
View attachment 3047703
Kwahiyo sida hapo ni Uchaga?Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...
Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..
Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Mke aliyeachika! Lakini anapaka, yaani hata breki hana. Maana huku si kukivua nguo chama bali ni kuparua mpaka na ngozi kabisa. Duuu! kijana hafai kabisa.Msigwa amejinyea, badala ajihifadhi asinuke mavi mbele ya watu, yeye ndio kwanza anajipitisha.
Huko anako jikomba wanamuangalia tu hata wao wanajua Msigwa Ni Kama mke aliyeachika/single mother ambaye sio mtu wa kuaminika.
Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.
Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.
CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.
Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,
View attachment 3047703
Jamaa kapokewa vizuri, MARA hii ana ULINZI!! 😳Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.
Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.
CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.
Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,
View attachment 3047703
Sipati picha endapo CHADEMA ikachukua nchi, au hata kuwa kwenye serikali ya mseto, mara Paaaa! Mbowe waziri mkuu, sijui Msigwa atajificha wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà.
Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu mkubwa sana kwa mtu kama msigwa, maana hata ukiachana na mkeo huwezi kutoa siri za ndani za mkeo hiyo.
CCM iwe makini na mtu kama huyu maana Iko siku siri za CCM zitakwenda public. Ni mpumbavu TU ambae atamuona msigwa ni hero. Mimi binafsi ninamuona kama kiongozi asiyefaa hata kuwa balozi wa nyumba kumi, maana integrity Yake ni ndogo sana.
Huwezi kuiboa chadema kwa njia hiyo maana wako watu hawaipendi CCM hata kama utawafanyia na kuwaambia nini. Sana sana watu hao watamuona mtu kama msigwa ni kibaraka, aliyenunuliwa, mpenda vyeo, punguani, mwenyewe njaa,
View attachment 3047703
Hii ndoto yako haina uhalali wa kutwa. Muda bado haijafikaSipati picha endapo CHADEMA ikachukua nchi, au hata kuwa kwenye serikali ya mseto, mara Paaaa! Mbowe waziri mkuu, sijui Msigwa atajificha wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Picha gani????Kuna picha uko humu, amebebeshwa picha,anaonekana amejaa hofu,simanzi na majuto.
safari hii siasa ni ya Msigwa na madongo yake badala ya sera. Bure kabisa hili jamaaSifatiliagi sana haya mambo ya siasa. Ila ukiona mtu anazungumza ili ajibiwe yawezekana
1. Drama king.
2. Kuna jambo lina msumbua anataka justification.
3. Anataka umuhim wake kwa hao anao wafanyia kazi uonekane endelevu, so yeye aonekane silaha ya muhimu.
4. Kuna majuto na aliko toka.
5. Hana lengo maalum ya kuzungumza zaidi ya dialogue zisizo na uelekeo.
BTW Wanasiasa wamaeacha kuanglia maslahi ya wananchi bali ya chama. Why uzunguke nchi kuongelea chama badala ya mambo ya msingi ktk nchi??
Mimi ukweli nimewapenda Covid 19 kwa kitoisema Chadema. Pamoja na maovu yao ilo wamefanya Busara wafikirieni.Siasa sio kuhamia Republican kutokea Democrats kwakuwa Biden ni Mzee sana. Siasa ni kubaki humohumo kuondoa ubovu na kuiimarisha chama. Huo ndio ukomavu. Pale CCM mtu anatumbuliwa anakaa nje na kurejeshwa Tena safari nyingine. Why not chadema? Eti ukinyimwa uongozi basi unakimbilia kurudi CCM na kiyasema vibaya Yale yote uliyoshiriki kuyazalisha kwa mikono Yako, nonsense.
Anapewa uwaziri kwenye nafasi iliyo wazi.Walau bado anamheshimu mwenyekiti wa chama chake cha zamani kwa kumuadress "Mheshimiwa"
Wampe Ubunge wamchape na uwaziri wa maliasili kwa muda huu uliobaki.
Usafi wake uko wapi hapa? Mbinu wanazotumia Museveni, Kagame na CCM kubaki madarakani ni zilezile kabisaaaaaa! Msigwa ni wa kupuuzwa, hana hoja ni njaa TU.Ccm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...
Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..
Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Humo humoCcm ni Safi kuliko Chadema..
Ccm ni mkusanyiko wa watu wa makabila yote na dini zote...
Chadema imewahi hata kuwa na Mwenyekiti ambae sio mchaga au Mweka hazina sio mchaga?..
Ccm ina mapungufu yake lakini angalau ni chama cha kitaifa
Ile kabebeshwa picha ya mamaPicha gani????