Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

huyu Mzee kwa dili ni balaa!!! kuweni makini sana, maana matatizo tuliyonayo watanzania yaliyosabablishwa na CCM ni zaidi ha hayo aliyoorodhesha.
 
Hawana tofauti sana kwa kuwa hata Magufuli angekuwa China kama asingenyongwa basi angepunguziwa adhabu na kufungwa kifungo cha maisha jela! ila kwakuwa hii ni tanzania hao wote ni wagombea urais
 
Ukishamsikia mtu anaongea starccm kwasasa ujue kanunuliwa na hana jpya ataenda kumwongelea Lowassa
 
Akiongea startv tuongee asubuhi leo, anasema aliitwa apewe tsh. Mil 100 na kwamba alipangiwa kuuawa. Amemtaja muuaji wa Chacha wangwe. Dah katonesha pabaya kweli.

ameeleza namna gari ya chadema ilvopaki ghafla na kpigwa kichwani.

source, startv

Mambo mengine tunaweka pending makusudi ohooo cyberlaw kaka.... Ila anaendelea kufunguka yote ya Cdm, Ukawa, Lowasa....yupo Star tv....

Wakuu, hakuna sababu ya kuweka pending kwa kuogopa cyber crimes law. Kama una ripoti yaliyosemwa huna hatia yoyote. Tunaomba updates kwa data nyeti hizi! Nadhani ndio maana Dr Slaa akaamua kujichimbia USA
 
Mada ya mchungaji mtikila leo ktk kipindi cha Tuongee-Star Tv, imenikumbusha ile hadithi ya 'mfalme mbona yu uchi mama?' Tunaomba irudiwe mara kwa mara kwa mara kwa mara kwa mara.
Bila kigugumizi kaongea ukweli mtupu juu ya wagombea wetu na kilicho nyuma ya pazia ktk ugombea urais wa Lowassa.
 
Mtikila anasema ukweli juu ya niko wagombea zaidi kuwa lowasa si sahihi mnasema kalipwa na ccm ngojeeni watanzania watakapomnyima kura napo mtasema wamehongwa na ccm.. time never lie
 
Mtikila kafufuka, kesi za madai hana siku hizi kaamua kurudi fata fao la Lumumba.
 
Kupoteza muda kumjadili mtikila sisi ndo tutakuwa mataahira, mapesa ya ccm hayo ashahongagwa na Rostam na ana bei huyo mchungaji wa mashetani
 
Hata wanyama wanaweza kua na busara katika maamuzi ila mtikila anashangaa wanaomshabikia EL ambaye ni mwizi na kwa uchafu alioufanya nchi hii kama ingalikua ni China angeshanyongwa muda mrefu sana,Awataka watanzania waache ushabiki.
Anaenda mbali zaidi alipozungumzia afya ya EL na kusema maradhi alionayo yanaathiri kichwani.
Kuhusu taarifa za tafiti zilizofanywa na TWAWEZA mtikila anamshukuru Mungu kwani wanomuunga mkono EL fisadi ni wachache.
Anaendambali kwakusema watu wanaomshabikia EL wanautahaira nusu(epedomia) anasisitiza watanzania tuwe makini na huyu fisadi.
Anasema ukiachilia mbali matatizo yao ni afadhali ya Magufuli awe raisi wa nchi.
Mfano anatoa mfano wa afya zao EL ni mgonjwa na hatuwezi geuza Ikulu kua ICU ya wagonjwa.Na anasema mficha maradhi mauti humuumbua na anasisitiza EL angejikita kwenye afya yake kwanza.
Anakumbusha wizi wa EL ambao alituongopea akaahidi kwenda kutununulia mvua na kutumia pesa nying na hatimae mvua yakununua ikawa ni uongo mtupu.

Mtikila is deranged.No one can take him seriously.
 
huyu MTIKILA aendelee kujiharibia cos hiyo operation TOKOMEZA INASAWAZISHA KILA KITU
 
Huyu mzee balaa ina maana kwamba kabla wana ukawa hawajafanya lolote lazima wafanye ibada na wapate sakramenti hyo,nimemuelewa sana Mtikila,thats why watu hawajielewi.................
 
Anayosema Mtikila ni kama nchi hii haina serikali. Haiwezekani watu wauawe na serikali ipo hakuna hatua yoyote ilichukuliwa leo Kampeni zimepamba moto na kuna Chama kila dalili imeonesha kimezidiwa ndiyo propaganda zinaanza.
 
  • Thanks
Reactions: Pai
Mwenye CD za kwaya ya kanisa lake tafadhali. Nasikia Kwetu pazuri wanasubiri sana.
 
Anasema kati ya Lowassa na Magufuli afadhali Magufuli maana ana mapungufu kidogo, ukianaza na afya eti afya Lowassa ni mbaya anashanga watu wanataka kumruhusu aende ikulu, akiona watu wengi wanamshabikia anasema hawana akili ya kuelewa mambo na kwanini hao wanaomchangia wacmpeleke Israel huko akatibiwe???

Mwisho anasema Watanzania wote ni sawa kwann wanatibiwa nje, ona watu wanafia india, je, ni kifo cha india ni fahari kuliko cha TZ??? Mwisho anaomba kura ili awe rais

My take:
Mtikilia kachanganyikiwa baada ya kuona watu wanmsapot EL
 
Duh sijui nani ktk serikali hii iliyopo asingeitwa Marehemu..so and so

Na wengine wangeuwawa, halafu mnawafufua na mnawauwa tena.... Maana mambo yao ya kupiga maishu hayastahili kifo kimoja, ni vifo kadhaa
 
Hivi mtu anashindwa kutambua kuwa ni CCM ndo imetufikisha hapa tulipo? Poor Mtikila. Kwangu, Kikwete atakua mara mia bora kuliko makomeo!
 
Back
Top Bottom