Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mada ya mchungaji mtikila leo ktk kipindi cha Tuongee-Star Tv, imenikumbusha ile hadithi ya 'mfalme mbona yu uchi mama?' Tunaomba irudiwe mara kwa mara kwa mara kwa mara kwa mara.
Bila kigugumizi kaongea ukweli mtupu juu ya wagombea wetu na kilicho nyuma ya pazia ktk ugombea urais wa Lowassa.

Ndugu unaakili saana maana unajua kuwa twiga na tembo mpiga dili ni Lowassa na CHADEMA
 
Watu wengine wa ajabu sana,unakwenda kanisani kumsikiliza huyu mtu kweli? Kikweli mtikila kesi hizi ndo mradi wake apuuzwe tu.kama anajua cdm walimuua wangwe kwa nini alikuwa kimya muda wote huo?
 
Mtikila keshazidiwa kete na Twaweza na Synovate katika kumzima Lowasa. Lowasa hana zaidi ya asilimia 35 za kura katika uchaguzi akitimuliwa vumbi kwa mbali na Magufuli mwenye zaidi ya asilimia 63 au 69 (kwa vigezo vya CCM). Nategemea kwa mashabiki wa CCM na Magufuli na wale wenye kuugua sana kuhusu hatari ya Lowasa kutinga Ikulu, huu ni wakati muafaka wa kula bata na kumnadi taratibu Magufuli (sijui na CCM?) ili aendelee kuteleza hadi ndani ya kasri la mjerumani. Kuhangaika na Lowasa hakuna tija tena.
 
UKAWA bila Lowasa ilikuwa njema sana. Mkubali kuwa mmeharibu sana kumweka Lowasa ugombea urais. Kwa watanzania kumfanya awe rais wetu haitotokea kamwe.
Kila siku nawakumbusha blunder ya karne waliofanya UKAWA kwa kumweka mtu mgeni kabisa kwenye medani za UPINZANI ugombea URAIS,halafu mnaendelea kijidanganya kwamba huyo ni mwenzenu, opposition parties have nothing in Common na Mh.Lowassa hata body language between Mbowe na Lowassa inaonyesha wazi wazi ni poles apart kila mtu ana ajenda yake ya siri ya kumtumia mwenzake kwa lengo maalum,wakishindwa uchaguzi (which is obvious) kila mtu atakwenda njia yake waki-lick their wounds,wote hao ni waigizaji hakuna mwenye ubavu wa kumshinda JPM.
 
Angetutajia mwenye meno ya tembo yaliyokamatwa kwenye meli ya kinana ingekuwa poa saaaaaanaaaa
 
Ni kuanzia saa 1:30 atakuwa akiongelea mwenendo wa kampeni na harakati za uchaguzi, stay tuned.

Mbinu zaidi za kujaribu kuiondoa treni ya Chadema/Ukawa relini ambayo sasa ipo kwenye mteremko wa mwendo kasi kuelekea ikulu.
 
KUMEKUCHA...kwa wanaomjua Mtikila ...kazi ishawisha..eti magufuli huyooooooo, kwenye kona speed 160 shaaaaa
 
Watu wengine wa ajabu sana,unakwenda kanisani kumsikiliza huyu mtu kweli? Kikweli mtikila kesi hizi ndo mradi wake apuuzwe tu.kama anajua cdm walimuua wangwe kwa nini alikuwa kimya muda wote huo,jamaa ni mhuni sana.

Mtikila ni bora kuliko Gwajima. Mshauri wa Lowassa anayetaka kugeuza misikiti yote iwe Sunday School
 
Akiongea startv tuongee asubuhi leo, anasema aliitwa apewe tsh. Mil 100 na kwamba alipangiwa kuuawa. Amemtaja muuaji wa Chacha wangwe. Dah katonesha pabaya kweli.

Kati ya hayo anayoongea lipi jipya?
 
Mzee mtikila inaonekana unajua mambo mengi je unaweza kutuambia anayehusika Na kifo cha Baba yetu Mwl.Nyerere?
 
Baada ya miaka 8? Alikuwa wapi mda wote huo? Na kwanini hajakusanya huo ushahidi miaka yote hiyo? Kapiga hela zetu za katiba! Angekuwa mzalendo kweli angezikataa..at least achukue tu living allowance
Ni kwa sababu anataka kuingia ikulu. Vinginevyo nani angehangaika naye. Tumia akili mzee. Hela za katiba wabunge wote wamepiga. Nani asiyepiga. Tumia akili mzee.kuna mbunge yoyote hata makamanda wetu ambae alikataa kuchukua. Tena baada ya kuona fedha zinakaribia kuisha wakajifanya kususia bunge. The last last minute. Ni usanii mtupu hatuwezi kuukubali na kuushabikia.
 
Vipi ameongelea TANGANYIKA? Miaka hiyo alinishawishi kwa ajenda hiyo lkn kama leo hajaja na madai hayo ni wazi alijipeleka mtaa wa Ohio. Badala ya saa ya ukombozi ni sasa, imekuwa sasa ni saa ya kutumikishwa. Njaa mbaya ndiyo maana hata kichaa hachaguwi pakula lakini unapomuona mtu na akili zake anakula chooni (ref. dr slaa) jiulize.
 
Yaani pamoja na kuwatumia hawa watafiti kanjanja wa kura za maoni lakini bado hawajiamini,CCM kweli safari hii wamepatikana.Eti Mtikila ananataka kuwashtaki CHADEMA kuhusu kifo cha Wangwe,kwani kifo chake kinahusiana vipi na uchaguzi huu?Kwanini hakufungua mashtaka wakati ule?Huyu mzee naye anatumika na CCM kama kiburudisho vile.
Mtikila keshazidiwa kete na Twaweza na Synovate katika kumzima Lowasa. Lowasa hana zaidi ya asilimia 35 za kura katika uchaguzi akitimuliwa vumbi kwa mbali na Magufuli mwenye zaidi ya asilimia 63 au 69 (kwa vigezo vya CCM). Nategemea kwa mashabiki wa CCM na Magufuli na wale wenye kuugua sana kuhusu hatari ya Lowasa kutinga Ikulu, huu ni wakati muafaka wa kula bata na kumnadi taratibu Magufuli (sijui na CCM?) ili aendelee kuteleza hadi ndani ya kasri la mjerumani. Kuhangaika na Lowasa hakuna tija tena.
 
Back
Top Bottom