Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Haya majitu kama mtikila huwa yana niudhi yani yenyewe yana furahia watanzania kuendelea kuteseka chini ya serikali ya ccm yamegeuza tanzania kuwa nchi ya kitu kidogo, ila Mungu yupo.
 
ORDINARY SOUND CC MPENI HELA YA KULA IMESHAMUUMA NJAA HANA JINSI NA FEDHA ZA BURE ZIPO CC WANASIASA WA JINSI AMBAO NI WAJASIRIA SIASA NI HATARI SANA TUMBO LIKIMSOKOTA TUi
 
Akiongea startv tuongee asubuhi leo, anasema aliitwa apewe tsh. Mil 100 na kwamba alipangiwa kuuawa. Amemtaja muuaji wa Chacha wangwe. Dah katonesha pabaya kweli.

Maerhemu Chacha wangwe alikufa au uliuawa lini?
Hapakuwa na haja ya kuwataja waliomuuwa hadi Lowassa kuingia Chadema na kugombea urais?
Kama Mtikila aliujua ukweli huo miaka yote na hakusema je si mshirika wa waliohusika
 
Maerhemu Chacha wangwe alikufa au uliuawa lini?
Hapakuwa na haja ya kuwataja waliomuuwa hadi Lowassa kuingia Chadema na kugombea urais?
Kama Mtikila aliujua ukweli huo miaka yote na hakusema je si mshirika wa waliohusika
Tutampigia MAGUFULI.
 
Kanisa lake liko mnazi mmoja lina waumini saba, kila jumapil wanapika msosi ili kuvutia watu wahudhurie.

Ni mchungaji kama Gwajima vile makanisa Uchwala ila tofauti Mtikila hayupo Ukawa ndiyo maana anaonekana ana kanisa la kupika chakula cha waumini saba. mtikila alitisha Taifa zaidi ya Lowasa alikua anajaza nyomi pale Jangwani kuliko ya kiongozi yeyote TZ. wakati mtikila analalamikia wezi wa mali ya umma kina Lowasa sumaye na kikwete walikua wanaiba serikalini. Leo ati Lowasa anaonekana ana uchungu sana na taifa la Tanzania kumshinda Mtikila.

Duh kweli nimeamini manabii wa Uongo wakija mambo yatabadilika hata Yesu hatatambulika tena

Na watanzania tusimdharau Mtikila maana Nyerere alisema ukusikia chizi ama kichaa anasema kitu msikilize lazima atakua ameona kitu hawezi kuropoka tu
 
Hell no! Ukawa this is too much! Kila anayetofautiana na Lowasa basi kanunuliwa!? Ina maana hakuna tena mtu kuwa na mawazo huru against that guy!?

Siyo hivyo mkuu, mtu unapo kuwa biased kupitiliza lazima watakushtukia tu. Mch. Ntikila leo alikwenda Star TV kwa lengo la kumshambulia EL tu, kumbuka mtangazaji alipo muuliza kuhusu mapungufu ya ccm alikataa kusema chochoteczaidi ya kusema hao ndy waliotufikisha hapa basi na amrudia tena EL.

Mimi binafsi huwa sipendi sana mtu anavyo mshsmbulia mwenzake bila hata kuwa na hofu ya MUNGU, ugonjwa ni rehema zake Muumba na sote tu wagonjwa jamani ila tunaziana tu. Ila Mungu alivyo wa ajabu anatufundisha kwa vitendo kabisa wanaondoka tunaojiita wazima wagojwa wanaendelea ku survive - tusimdhihaki Mungu kiasi hiki, kama ni kuumwa nina hakika el hakuomba kuugua huo ugonjwa ni mapenzi ya MOLA tu.

Mtu kama Mtikila wala kwa sasa amepoteza mvuto wa siasa ni bora apumzike tu aendelee kumtangaza Mungu ili apate baraka zaidi za kiuchungaji full stop
 
Ni mchungaji kama Gwajima vile makanisa Uchwala ila tofauti Mtikila hayupo Ukawa ndiyo maana anaonekana ana kanisa la kupika chakula cha waumini saba. mtikila alitisha Taifa zaidi ya Lowasa alikua anajaza nyomi pale Jangwani kuliko ya kiongozi yeyote TZ. wakati mtikila analalamikia wezi wa mali ya umma kina Lowasa sumaye na kikwete walikua wanaiba serikalini. Leo ati Lowasa anaonekana ana uchungu sana na taifa la Tanzania kumshinda Mtikila.

Duh kweli nimeamini manabii wa Uongo wakija mambo yatabadilika hata Yesu hatatambulika tena

Na watanzania tusimdharau Mtikila maana Nyerere alisema ukusikia chizi ama kichaa anasema kitu msikilize lazima atakua ameona kitu hawezi kuropoka tu

Huo ndio Ukweli, kanisa lake linatoa huduma ya chakula.
 
Huyu jamaa anaishi kwa kesi mjini. Kesi ndio zinamuweka mjini. Huku Posta tunamuonaga anatembea na Bajaji tu deile. Ukimuitia kesi anakuja fasta bila kuchelewa ila ukimuitia maombi lazima azingue. Tehe tehe tehe.
 
Iv mtu unaushahidi wa mauaji ya mtu badala ya kuupeleka polis unangoja kipind cha uchaguz ndo utuelezee ni akili izo,... Hapa ndo akili ndogo zinapotaka kuongoza akili za kawaida na kubwa.
 
Babeli ..... sana wewe, unatuletea shida za kwenye familia yako.
 
Huyu jamaa anaishi kwa kesi mjini. Kesi ndio zinamuweka mjini. Huku Posta tunamuonaga anatembea na Bajaji tu deile. Ukimuitia kesi anakuja fasta bila kuchelewa ila ukimuitia maombi lazima azingue. Tehe tehe tehe.

Hahahahaha
 
Mi nachojua aliwahi kumsema Rostam Azizi,then Rostam akamwambia rudisha ile milioni tatu yangu uliokuja kukopa alitoka baruti kimya hadi leo hii
 
Hahahaha
Siku hiz kamat kuu ya ccm inaangalia.taarifa ya habar wakiwa wamejifingia vyumban
 
Baada ya kufilisika kifwedha, kiakili na kisiasa hatutegemie cha Zaidi kutoka kwa Mtikila. Kama hajachukua chake ccm, basi ungemkuta saa hii akinyea ndoo Segerea. Lakini aguswe na nani naye kapigia panda chama chetu?
Wanatamani Mh. Mbowe aache shughuli zake za kampeni aende kugombana na kichaa?? siisiieem mmekwisha sasa ondokeni tu. Mmekosa hata wa kununua mpaka mkamwona Mtikila?? Ama kweli hujafa hujaumbuka
 
Star TV ni kama choo cha stendi kila MTU anaingia na kuacha uchafu wake bila kujali kala nini huko atokako. Wakati kama huu kuelekea uchaguzi vituo vya Radio na Tv huwa vinaendeshwa kwa weledi mkubwa ili kutokusababisha hali ya sintofahamu. Hivi Startv hawajui kuwa Wangwe alikuwa na familia na inao uchungu na mzazi wao? Kama mtu anao ushahidi wa mauaji huwa unapelekwa studio au polisi?
Hivi mtu akijitokeza huko na kumvamia Zito au Dr Slaa na kumchoma kisu na kumuua na utetezi wake ukawa kuwa Wangwe ni ndugu yake na amemlipia kisasi kwani kasikia Startv kuwa hao ndio walopanga kumuua jee kituo hakita wajibika?
Sahara media kwa kweli ni wapuuzi sana,hawatumii weledi bali wanatumika kama vile vituo vya Rwanda wakati wa genocide



Mimi mwenyewe nimeshangazwa kwa kweli na hiyo ya Chacha Wangwe. Ikumbukwe alipata ajali na sijui ingekuwa alikula chakula cha jioni na wanachama wenzake akalala asiamke ingesemwa nini.
R.I.P Chacha Wangwe
 
Mtikila amesahau yaliyomkuta Tarime 2010...huenda yakamkuta tena...anything you talk against UKAWA ni kama unawafanya watu wazidi kuchizika nayo...pole mtikila na waliokutuma..santuri zako zishachuja hazivutii hata kuitwa zilipendwa...hazijawahi kupendwa by the way..
 
Back
Top Bottom