Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

ni ipi dhambi iliyo ndogo na ipi ni kubwa.hao wasafi waliowahi kuchaguliwa wametufikisha hapa kwenye kafsha zisizo na idadi za kifisadi na kwa sasa sifa ya usafi haitoshi tumpe mchawi mtoto atulelee.Mtikila naye ni mnafiki kwa nini alete huu uzushi kipindi hiki kama hajala pesa ya mafisadi wa ccm.kwa sasa ni zamu ya mtu mwenye sifa ya mwizi kupewa nchi kwani wasafi walishashindwa.
 
ccm wananunua hadi matahaira wanawapeleka studio,nimeamini kifo kimekaribia
 
Hii station ya Star TV kwa kweli nadhani ina vilaza wengi sana,huwezi kumuokota mtu alafu ukamleta aje atukane wengine tena pasipo na ushaidi wowote,mi nachoomuomba mzee Mtikila ajue tu kwamba yeye na walio mtuma hawauziki na watu wanawaskiliza na kuwapuuza sasa hawana jipya.
 
Hata wanyama wanaweza kuwa na busara katika maamuzi ila Mtikila anashangaa wanaomshabikia Edward Lowassa ambaye ni mwizi na kwa uchafu alioufanya nchi hii kama ingalikua ni China angeshanyongwa muda mrefu sana,Awataka watanzania waache ushabiki.

Anaenda mbali zaidi alipozungumzia afya ya Edward Lowassa na kusema maradhi alionayo yanaathiri kichwani.

Kuhusu taarifa za tafiti zilizofanywa na TWAWEZA Mtikila anamshukuru Mungu kwani wanaomuunga mkono Edward Lowassa fisadi ni wachache.

Anaendambali kwakusema watu wanaomshabikia Edward Lowassa wanautahaira nusu(epedomia) anasisitiza Watanzania tuwe makini na huyu fisadi.

Anasema ukiachilia mbali matatizo yao ni afadhali ya Magufuli awe raisi wa nchi.

Mfano anatoa mfano wa afya zao Edward Lowassa ni mgonjwa na hatuwezi geuza Ikulu kua ICU ya wagonjwa.Na anasema mficha maradhi mauti humuumbua na anasisitiza Edward Lowassa angejikita kwenye afya yake kwanza.

Anakumbusha wizi wa Edward Lowassa ambao alituongopea akaahidi kwenda kutununulia mvua na kutumia pesa nying na hatimae mvua yakununua ikawa ni uongo mtupu.
Duuh yaani EDO anatupa hasira kweli bora tuu wakamshitaki huko kunako sheria....
 
kama sio:bange::bange::bange:,itakuwa njaa!mtikila hajui watz wanachota au?endeleeni kumtega masikio kuna siku atasema anawafahamu kilicho muua kombani!na alikuma anahojiwa na dr.wa hosptal gani?
 
Kwa sasayeyote atakayeunga mkono adui yako ni rafiki yako, hata akiwa kichaa, mjinga au fisadi...
 
Wanasiasa wa bongo pasuwa sana . Yaani mpaka kichwa kinauma_ wuuuuuuu!. Dah! Najuta kwann bado niko tanganyika.
 
Mtikila naye mnakuwa na muda kumsikiliza?anahangaika bure ushahidi unapelekwa mahakamani siyo kwa waandishi wa habari.
 
hakuna tofauti ya kichaa na mtikila; sisikilizakgi vichaa
 
Hivi huyu si yule Mtikila aliyejaribu kumsakama Rostam Aziz wakati fulani kuhusu yeye (Rostam) kutoa mchango kanisani, Rostam akamwuliza mbona hata yeye (Mtikila) Rostam alishawahi kumchangia. Mtikila alipokana kuwa Rostam hajawahi kumchangia, Rostam alitoa ushahidi wa Paymant Voucher ya shilingi Milioni tatu iliyosainiwa na Mtikila mwenyewe. Tangu wakati huo sikuwahi kumsikia tena Mtikila hadi hivi majuzi.
 
Hivi huyu si yule Mtikila aliyejaribu kumsakama Rostam Aziz wakati fulani kuhusu yeye (Rostam) kutoa mchango kanisani, Rostam akamwuliza mbona hata yeye (Mtikila) Rostam alishawahi kumchangia. Mtikila alipokana kuwa Rostam hajawahi kumchangia, Rostam alitoa ushahidi wa Paymant Voucher ya shilingi Milioni tatu iliyosainiwa na Mtikila mwenyewe. Tangu wakati huo sikuwahi kumsikia tena Mtikila hadi hivi majuzi.

Nimeipenda kweli hii,,, kiujumla naona mtikila hua namuona ni mchumia tumbo tu. Angekua muumini na mchungaji wa kweli asingeshabikia CCM hata kidogo....... Jamani njaa mbaya sana watatumiwa hata wasiotumika.... Kiufupi LOWASSA anatisha na ameitetemesha sana CCM please EDO endelea kukata angani hakuna kuumiza kichwa na hawa wapuuzi wanaotumiwa na CCM...... KANIBOA SANA HUYU ANAYEJIITA MCHUNGAJI WAKATI HUO ANATAKA KUA RAIS......
 
na pia amesema, kama UKAWA mnampenda sana Lowassa, kwanini msimpeleke Israeli akatibiwe?

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom