Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Ye mwenye uwezo wa kutambua dhambi za watu ni msaidizi wa Mungu au ni malaika?
 
Kuna watu ambao hata shetani anawaogopa kwa dhambi zao.... Lowasa ndie Rais wetu
 
Hii station ya Star TV kwa kweli nadhani ina vilaza wengi sana,huwezi kumuokota mtu alafu ukamleta aje atukane wengine tena pasipo na ushaidi wowote,mi nachoomuomba mzee Mtikila ajue tu kwamba yeye na walio mtuma hawauziki na watu wanawaskiliza na kuwapuuza sasa hawana jipya.

TCRA si walipiga marufuku live broadcast ya mtu asiye mgombea kupiga campaign? Au kuwa interviewed?
 
Hivi huyu mtikila in nani hapa duniani? Mchungaji Wa kanisa gani huyu? Ndie huyu aliyemtukana hayati baba Wa taifa alipofariki kuwa watanzania wanahangaika Na MZOGA?Mungu atambariki sana mtikila
 
BANGI KWEL HUYU HATAKAMA NI BABU YANGU!!!!!!#NAJUTA KABISA KABISA BABU GAN TAHIRA fyuuuu
 
Mtikila ni mchungaji wa nani,unawezaje kuzijua dhambi za watu,unawezaje kuzilinganisha,kwa mizani gani, kazi hiyo niya MUNGU,ninani aliekukaimisha,acha upuuzi kama huna la kusema kaa kimya
 
Huyu ametumika na ccm,kwa sababu kama ni mpizani kwanini hajaongelea mabaya yoyote ya ccm? nimemsikiliza vizuri tu kazi yake kubwa ni kumshambulia mgombea wa ukawa kwamba ni mgonjwa fisadi nk.wao wanaomsema mh.Lowasa kwa swala la ugonjwa inatakiwa wakatubu dhambi hiyo sababu kila mtu hana uhakika na afya yake,lolote laweza kutokea wakati wowote bila taarifa,tuache siasa za maji taka Mungu ibariki Tanzania Mungu mmbariki Mh.Lowasa na wote wenye mapenzi mema
 
Yaani mzee akiibuka kwenye vyombo vya habari utasikia kesi kesi tu. Mzee anapenda kesi sana.
 
Wagonjwa wa akili wanatakiwa Milembe, by the way, alishalipa hela aliyokopeshwa na Rostam Aziz?
 
sisi tunamtaka ivo alivyo, ili tuandike historia, kwani mpaka ulaya wafanye ndo tuige?!





si ajabu kwa kaka jambazi kumsapoti babu jambazi......kwani tinga tinga anatishia himaya zenu za hujuma kwa tanzania
 
Si aende mahakamani, ccm bana wanatumia hadi mataahira kushawishi! hatudanganyiki ni Lowassa tu.
 
Si aende mahakamani, ccm bana wanatumia hadi mataahira kushawishi! hatudanganyiki ni Lowassa tu.

Sisi tumemuelewa Mchungaji. Labda wewe tu. Fisadi Lowassa hakanyagi ikulu.
 
Ni kweli Lowassa ni mwizi na fisadi,ni kweli asilimia 100 chadema walimuua Chacha wange
 
Mchungaji Mtikila amezidi kusisitiza kuwa wahusika wakuu wa kifo cha Chacha Wangwe ni viongozi wa chadema, ushahidi anao na muda wowote ushahidi huo ukihitajika ataufikisha mahakamani.
Mbona mahakama ilibaini kifo cha Wangwe kilitokana na uendeshaji WA kasi hadi dereva akafungwa jela. Kama Mtikila alikuwa na ushahidi mbadala na ule WA mahakamani, aliukalua kwa sababu gani hadi mtoto WA watu akafungwa jela? Uchungaji hapa uko wapi au ndo mkumbo WA padri Slaa?
Hivi Mtikila Ana watoto (sidhani kama anajua Ni nini maana ya kuitwa Baba)!
 
Ni kuanzia saa 1:30 atakuwa akiongelea mwenendo wa kampeni na harakati za uchaguzi, stay tuned.


Mwambie ndugu zangu kule Tarime wanamsubiri. Aende aseme hayo hadharani aone yatakayomsibu.
 
Last edited by a moderator:
Nani alimualika kuzungumza? Na mada inahusu nini mbona mada nyingi ni ant chadema na viongozi wake tu?? Vipi act? Tlp? Adc?


Watanzania watawachoka na hizi propaganda, hebu leteni mada za maendeleo plz.
 
Back
Top Bottom