Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

Mchungaji Mtikila asema CHADEMA wanahusika na kifo cha Chacha Wangwe; kumfikisha Lowassa Mahakamani

huyu nae anaitwa mch da my God!wito wa mch ni kuhbr neno la Mungu sio kushnda na kesi!leta kwa bwana mateka wa muovu
 
Anaonesha dalili za kufa kweli huyu na asipotubu hakika yatamkuta ya kutisha, Mchungaji anakosa busara kiasi hiki???????
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini
 
hata wanyama wanaweza kuwa na busara katika maamuzi ila mtikila anashangaa wanaomshabikia edward lowassa ambaye ni mwizi na kwa uchafu alioufanya nchi hii kama ingalikua ni china angeshanyongwa muda mrefu sana,awataka watanzania waache ushabiki.

Anaenda mbali zaidi alipozungumzia afya ya edward lowassa na kusema maradhi alionayo yanaathiri kichwani.

Kuhusu taarifa za tafiti zilizofanywa na twaweza mtikila anamshukuru mungu kwani wanaomuunga mkono edward lowassa fisadi ni wachache.

Anaendambali kwakusema watu wanaomshabikia edward lowassa wanautahaira nusu(epedomia) anasisitiza watanzania tuwe makini na huyu fisadi.

Anasema ukiachilia mbali matatizo yao ni afadhali ya magufuli awe raisi wa nchi.

Mfano anatoa mfano wa afya zao edward lowassa ni mgonjwa na hatuwezi geuza ikulu kua icu ya wagonjwa.na anasema mficha maradhi mauti humuumbua na anasisitiza edward lowassa angejikita kwenye afya yake kwanza.

Anakumbusha wizi wa edward lowassa ambao alituongopea akaahidi kwenda kutununulia mvua na kutumia pesa nying na hatimae mvua yakununua ikawa ni uongo mtupu.

hivi kila dili kubwa kubwa nchi hii lowasa yumo,jamaani ama kweli huyu mtu ni mbaya sana hasa kwa taifa letu changa,tumkwepe kama ukoma ,mm nitamchagua mwadilifu ili anitumikie kwa manufaa ya taifa langu la tz
 
Waislamu msimpe lowassa kura. lowassa ameletwa ukawa na gwajima. Lowaasaa akishinda gwajima atakua na nguvu sana. Gwajima haupendi uislamu. Vile lowassa nae ana chembechembe za kuuchukia uislamu, wakiwa madarakani wataangamiza uislamu.

Waislamu amkeni. Semeni NO kwa lowassaaaaa

Lowasa ndiye aliesaini mkataba uliyoyapa makanisa haki ya kupewa ruzuku na serikali. Waislamu wameachwa bila ruzuku yoyote licha ya kuwa walipa kodi pia.

WALLAHI mkimpa kura lowassa mtaingia motoni
Mpeni kura magufuli. Siyo mdini

sawa junior tutampa john magufuli muislam mwenzetu tena sio mdini hata katika nyumba za serikali.tuachane na lowassa mlutheri kwanza fisadi yule bora hata ccm hakuna mafisadi.
 
hivi kila dili kubwa kubwa nchi hii lowasa yumo,jamaani ama kweli huyu mtu ni mbaya sana hasa kwa taifa letu changa,tumkwepe kama ukoma ,mm nitamchagua mwadilifu ili anitumikie kwa manufaa ya taifa langu la tz

kweli mkuu huyu mpiga dili hatufai na chama chake mara 1.EPA,
2.RICHMOND,
3.ESCROW,
4.Pembe za ndovu na dili kibao zinamuhusu na chama chake kimemuua
1.chacha
2.chifup
3.mwangoc
na wanaharakati wengine kupitia kwa taasis zao.tuchague ccm hakuna ufisadi wala kuuliwa watu.subiri tuone!!
 
Kati ya wanaharakati ambao harakati zao ni kujipatia "unga" wa ugali ni Christopher Mtikila!!..Ni kama kelele za mlango!!LOWASSA ANATOSHA!!..#HapaZikaTu!
 
Anaelezea vipa umbele vya chama chake.
Anaponda ushabiki na kuona siasa kama mgodi mpya wa dhahabu unaotembea.
 
APELEKE NJAA ZAKE C.C.M, Kwanza Ile Nyumba Ya Mjane Aliyetaka Kumdhurumu Ameshamrejeshea Yule Mjane? Alitangaze Na Hilo,
 
sera yake hakuna kiongozii kutibiwa nje ya nchi, marufuku!
 
Sasa nashangaa anahojiwa eti ingekuwa wewe ungefanya nn hiki na kile, ya nn sasa? Anaulizwa sera ya elimu ya chama chake Ili iweje? Mtikila si mgombea...
 
Sasa nashangaa anahojiwa eti ingekuwa wewe ungefanya nn hiki na kile, ya nn sasa? Anaulizwa sera ya elimu ya chama chake Ili iweje? Mtikila si mgombea...

hivi jamani Mtikila hagombei, mbona anapewa muda hivyo km mgombea urais na anaeleza vipaumbele vyake watu wamchague, ikoje hii?
 
Amekodiwa ndege kwenda Star tv na anasema anachangiwa na wananchi kwenda star tv. Pumbavu
 
mtaisoma tu namba mwaka huu. Mnauza kinyesi ndani gunia kwa kuwadanganya watu ni kahawa. Ni Rais Magufuli tu. Hilo gunia lenu la mavi pelekeni kwenye shimo la choo
 
Back
Top Bottom