Mchungaji Nurdin Abdallah afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumbaka mwanaye wa miaka 6

Hilo jina ndilo lililompa kanisa na waumini.
Kuna baadhi ya madhehebu hupenda sana shuhuda, hivyo Ukienda kwao, unajiita Hamisi Bakari, sasa umeamua kubadili dini.

Ila hujabadili dini bure, bali una shuhuda zako, za kiuchawi.
Hakuna wa kukupinga kila siku ukienda dhehebuni tunga shuhuda zako mbili, wewe tayari mchungaji.
 
Kama ningekuwa na mamlaka, ningeunda sheria na taratibu maalum za kufuatwa ili kuanzisha makanisa especially hawa walokole,
Maana naona wanajisahau sana
Huko Moshi padri kafanyaje tena!!!
 
Wewe ndo mpumbavu.
Yaani ukitaja jina kwa maneno ya kiarabu basi unalioanisha na uislam
 
Huyo afisa ustawi wa jamii,aliyekabidhiwa ni ME au KE?
Kama ni ME,isije ikaleta shida nyingine tena.
 
Wanyama wana akili kutuzidi sisi binadamu. Hivi kweli jitu linaweza kumuingilia mtoto wake wa kumzaa, halafu wa miaka sita?

Yawezekana kauli ya waziri wetu wa afya, mheshimiwa Ummy Mwalimu ni ya kweli. Unaweza kumwona mtu anaongea vizuri na wenzake, kumbe ana ugonjwa wa akili!

Angalia, huyu anajifanya mchungaji na waumini wanamwamini, kumbe akirudi nyumbani anambaka mtoto wake. Na inaonekana alimfukuza mkewe ili apate wasaa mzuri wa kumbaka mtoto. Mijitu kama hii ndio inayoleta laana katika uso wa dunia.

Nawashauri mamlaka husika (vyombo vya sheria), majitu kama haya yafungwe kifungo cha maisha, yasije tena uraiani maana ni laana. Na kabla ya kufungwa, yatandikwe viboko 30 vya nguvu matakoni, ili iwe fundisho kwa wengine wanaopanga kufanya ufedhuli huu.

Ikithibitika kweli (kisheria) alimuingilia huyo mtoto, napendekeza adhabu hii tungeanza na huyu anayejiita mchungaji wakati ni firauni. Hawa ndio wanaosababisha ukame kutokana na laana zao.
 
Hata watu wa wambeya nilikuta jamaa anaitwa ally omary ni mkristo nikashangaa
 
Kalpana mama, tafadhali uje utie neno na hapa. Maana hali ni tete. Tukisema jinai haichagui mtu, muwe mnatuelewa.
 
Ushetani mwingine huu tunaupigia kelele.Lazima itakuwa ushirikina upo ndani yake.
 
Kabla ya kesi akapimwe afya ya akili. Uchungaji huenda ni mchongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…