Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Andika hapo labda
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".

Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979
Bikra ya mbwa
 

Attachments

  • FB_IMG_1733733431809.jpg
    FB_IMG_1733733431809.jpg
    18.7 KB · Views: 1
Huyu pastari wa kike huwa ananiacha hoi, haogopi wala kuona aibu kutamka mambo ya faraghani kunako majamboz waziwazi mbele ya waumini wake na mume wake yupo hapohapo. Ni pasta wa kisasa, model na pisi kali, ni mrembo kwa kweli
 
Nini maana ya bikira?
Bikira ninavyojua ni mwanamke ambaye hajawah kuguswa na mwanaume na ndani yake ana ubikira kwenye uke

Hivyo siku atakayokutana na mwanaume lazima ile layer au tissue itolewe ndo anapohisi maumivu...

Na akiendelea kufanya anakuwa anatanua njia kidg kidg mpk anakuwa normal

Ila mwanaume kuwa bikra ni ukakasi na ubikira wake upo kwenye nn kwasababu hakuna kipimo Cha kuonyesha huyu ni bikra kwetu sisi niggaz
 
hedhi inatoka haiingii mkuu, kuna kuwa na layera nyembamba kama utando ukeni, na ili uume uingie lazima hiyo layer ichanwe, hiyo inaambata na maumivu +damu kwa mwanamke, so mwanamke bikra siku ya kwanza kusex lazima apate maumivu
Ili damu ya hedhi itoke lazima ipite ukeni, sasa kama kuna layer nyembamba kama utando ukeni hiyo damu ya hedhi itapitaje ili iweze kutoka?

Kama mwanaume ana kibamia halafu mwanamke ana uke mkubwa kwa nini asikie maumivu hata kama ikiwa ni siku ya kwanza??
 
Huyu pastari wa kike huwa ananiacha hoi, haogopi wala kuona aibu kutamka mambo ya faraghani kunako majamboz waziwazi mbele ya waumini wake na mume wake yupo hapohapo. Ni pasta wa kisasa, model na pisi kali, ni mrembo kwa kweli
Andika hapo je unatamani kuwa msaidizi wake wa ndani ili uweze kumfuria chupi zake?
 

Attachments

  • FB_IMG_1733733431809.jpg
    FB_IMG_1733733431809.jpg
    18.7 KB · Views: 1
hedhi inatoka haiingii mkuu, kuna kuwa na layera nyembamba kama utando ukeni, na ili uume uingie lazima hiyo layer ichanwe, hiyo inaambata na maumivu +damu kwa mwanamke, so mwanamke bikra siku ya kwanza kusex lazima apate maumivu
Vipi kwa bikra ya kutengenezwa na mchina nayo ipo kama hii og?
 
Ili damu ya hedhi itoke lazima ipite ukeni, sasa kama kuna layer nyembamba kama utando ukeni hiyo damu ya hedhi itapitaje iliwe iweze kutoka?

Kama mwanaume ana kibamia halafu mwanamke ana uke mkubwa kwa nini asikie maumivu hata kama ikiwa ni siku ya kwanza??
Mwanamke Bikra hana ule mkubwa mkuu, uke unakuwa right, ukubwa wa uke unaanza pale Saiz tofauti za mitwangio inapoingia, nimesema hiyo layer ni utando very thin
 
Bikira ninavyojua ni mwanamke ambaye hajawah kuguswa na mwanaume na ndani yake ana ubikira kwenye uke

Hivyo siku atakayokutana na mwanaume lazima ile layer au tissue itolewe ndo anapohisi maumivu...

Na akiendelea kufanya anakuwa anatanua njia kidg kidg mpk anakuwa normal
Hiyo layer au tissue inayomfanya mwanamke kuwa bikira inaitwaje kisayansi? Mwanamke akijiingizia au akiingiziwa vidole ukeni bado hiyo layer/tissue itaendelea kuwepo? Bado ataendelea kuwa bikira?

Kama mwanaume ni kibamia na mwanamke ana uke mkubwa atasikia maumivu hata kama anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza?
 
Back
Top Bottom