Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mwanamke akijiingizia/akiingiziwa vidole katika uke hiyo hymen bado inaendelea kuwepo au uume tu wa mwanaume ndio unaweza kuiondoa?
Unatakiwa ujue kwamba Hymen inaweza isiondoke yote during first sexual intercourse na inaweza kumalizikia kwenye intercourse zifuatazo. So ni more likely hymen ikabaki kwa kiasi kikubwa ikiwa mwanamke atajiingiza Vidole tuu tena kwa mara Chache.
inaweza kuondoka yote kama atadumu kufanya hivyo.

Lakini at normal diameter ya vidole vya mtoto wa kike si rahisi kusababisha effects of insertion kama vile ambavyo utasababisha uume au Sextoy.

(Ikumbukwe kujiingiza vidole kuingizwa uume au kujiingiza Sextoys Pataacha adhari ambayo itatumika ku evaluate your sexual habits) Hasa kwa Jamii zinazozingatia Ubikira.
Hayo matundu ya hymen ni makubwa kiasi gani kupitisha damu ya hedhi yenye mabonge mabonge.?
Hii sasa ni Elimu ambayo inabidi ujifunze.

Zipo aina tofauti tofauti za hymen ya Mwnamke Bikra.

Annual hymen ina Tundu moja kubwa katikati.

Cribriform hymen ina vitundu vingi vingi.

Septate hymen ina matundu mawili yametengenishwa na membrane nyembamba.

Alafu kuna ile ambayo haina tundu lolote (imperforate hymen) ambapo binti akiwa na hali hii anaweza kujaa tumbo from her first menstruation na ikadhaniwa ni ujauzito.

Hayo matundu ni makubwa kuruhusu damu ipite lakini sio makubwa kuruhusu kitu kiingie.
 
Tuta prove vipi? Hayo ni maneno yake, proof iko wapi? Usikute alikuwa lecturer wa mapenzi anatuletea ngonjera tu hapo, kwa mdomo huo na mimacho hiyo sijui kama alikuwa bikira na hata kama ana hofu ya Mungu hapo, utapeli mtupu, huyu sio, anawapanga wanaomfuata apate sadaka tu.
Siku hizi wanatumia midomo kuongeza mapato(sadaka) kwa kutoa viushuhuda kama hivi..

Hapo ukute kuna binti
wa Profesa Binaja kaja kuombewa apate mume wa kumuoa basi akisikia ushuhuda wa mama mchungaji anamwaga sadaka za kutosha kwa pastor.
 
Upuuzi mtupu.
Wanawake wa kisukuma wa kijijini, bikra zinatolewa na kuendesha baiskel tu - Kile kimkusanyiko cha damu kinajipasua chenyewe tu..hamna jipya. Wanawake wanamichezo vinapasuka vikiwa wakiwa wanapasha , wengine vinapasuliwa na wanaume..
Thus sio kitu cha kutangazia umma, ni privacy yake hiyo
 
Deformation au rupture ya uke ni jambo lingine kabisa.

Tukirudi kwenye kiasi cha kubana kwa uke wa mwanamke, kwanza unakubaliana uke za wanawake mbalimbali zimetofautiana ukubwa hata kabla hawajaanza kufanya mapenzi?
Unapozungumzia ukubwa unakusudia nini urefu au upana. Urefu ni rahisi kupima lakini upana unahisi ni rahisi kupima??.

Maumbile yatatofautiana kulingana na Umri (age due to Continuous collagen degradation),, Body weight etc.

Ukija upande wa sexual activities alizopitia kinachoangaliwa ni kwamba ile continuous stretching ya Uke na ukizingatia kuwa ni Elastic muscular tube itasababisha kupoteza Elastic strength yake na hivyo inaweza kuwa stretched hata kwa kutumia force kidogo.

Na ndio maana binti mdogo lazima utumie nguvu nyingi kuingiza uume hata kama utakuwa umemuandaa vizuri. Kwa sababu ELASTIC STRENGTH OF VAGINA AT THAT TIME NI MAXIMUM.
Mbili, ikiwa mwanaume ana uume mdogo sana(kibamia) anaweza kuhisi hata uke mdogo kabisa wa mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenzi kwamba bado ni mkubwa kulinganisha na udogo wa uume wake?
Kugundua Ubikira wa Mwanamke ambae hakumkuta na hymen ni jambo gumu na linategemea uwezo wako na uzoefu wako juu ya wanawake.

Wala sio ukubwa wa uume wako unaweza ukawa na uume mkubwa na ukashindwa kuchanganua kama huu uke umetumika kiasi gani.(Huenda hata na yeye ndio uke wa kwanza kukutana nao unahisi anaweza jua chochote kuhusu kutumika au kutotumia kwake??)
 
Unatakiwa ujue kwamba Hymen inaweza isiondoke yote during first sexual intercourse na inaweza kumalizikia kwenye intercourse zifuatazo. So ni more likely hymen ikabaki kwa kiasi kikubwa ikiwa mwanamke atajiingiza Vidole tuu tena kwa mara Chache.
inaweza kuondoka yote kama atadumu kufanya hivyo.
Kwa hiyo kama hymen inaweza isiondoke yote mwanamke anapofanya sex kwa mara ya kwanza inawezekana mwanaume wa pili au wa tatu na kuendelea atakaofanya nao sex wakafikiri wamemkuta huyo mwanamke ni bikira kumbe siyo?
 
Unapozungumzia ukubwa unakusudia nini urefu au upana. Urefu ni rahisi kupima lakini upana unahisi ni rahisi kupima??.

Maumbile yatatofautiana kulingana na Umri (age due to Continuous collagen degradation),, Body weight etc.

Ukija upande wa sexual activities alizopitia kinachoangaliwa ni kwamba ile continuous stretching ya Uke na ukizingatia kuwa ni Elastic muscular tube itasababisha kupoteza Elastic strength yake na hivyo inaweza kuwa stretched hata kwa kutumia force kidogo.

Na ndio maana binti mdogo lazima utumie nguvu nyingi kuingiza uume hata kama utakuwa umemuandaa vizuri. Kwa sababu ELASTIC STRENGTH OF VAGINA AT THAT TIME NI MAXIMUM.
Cut the crap,
Ni hivi mwanamke anayefanya ngono kwa mara ya kwanza psychology yake ni tofauti na mwanamke aliyewahi kufanya ngono, mwanamke anayebakwa hali yake ya uke wake haiwezi kuwa sawa na mwanamke anayefanya ngono kwa hiyari yake, uke wa binti wa miaka 18 aliyefanya ngono mara nyingi hauwezi kuwa mlegevu kuliko mwanamke wa miaka 45 ambaye hajawahi kufanya ngono.
 
Upuuzi mtupu.
Wanawake wa kisukuma wa kijijini, bikra zinatolewa na kuendesha baiskel tu - Kile kimkusanyiko cha damu kinajipasua chenyewe tu..hamna jipya. Wanawake wanamichezo vinapasuka vikiwa wakiwa wanapasha , wengine vinapasuliwa na wanaume..
Thus sio kitu cha kutangazia umma, ni privacy yake hiyo

Isipokuwa nazani mwitikio wa ambae bikira imetoka na kuendesha baiskeli na yule ambae ilitolewa na mshedede utakuwa na tofauti bila shaka.
You can’t fake it.
Kwa Mwanaume mtundu atajua tu.
 
Kwa hiyo kama hymen inaweza isiondoke yote mwanamke anapofanya sex kwa mara ya kwanza inawezekana mwanaume wa pili au wa tatu na kuendelea atakaofanya nao sex wakafikiri wamemkuta huyo mwanamke ni bikira kumbe siyo?
Ndio inawezekana japo kwa mtu mwenye kufatilia mambo hata kama sio kwa kufanya japo kwa kusoma sio rahisi kutojua.

Ila kama ndio mgeni kabisa katika anga hizo anaweza dhani hivyo.
 
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".

Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979

Ni sawa, inaweza kuwa nzuri. Lakini la msingi zaidi ni kuendelea kuwa msafi kama ulivyosema.
 
Cut the crap,
Ni hivi mwanamke anayefanya ngono kwa mara ya kwanza psychology yake ni tofauti na mwanamke aliyewahi kufanya ngono, mwanamke anayebakwa hali yake ya uke wake haiwezi kuwa sawa na mwanamke anayefanya ngono kwa hiyari yake
Psychology ndio ina mchango ila from anatomical point of view those explanation cant be dumped.
, uke wa binti wa miaka 18 aliyefanya ngono mara nyingi hauwezi kuwa mlegevu kuliko mwanamke wa miaka 45 ambaye hajawahi kufanya ngono.
Hilo ulilolisema ni jambo gumu ku conclude bila ya gynacological examinations.

Hapo kuna factor mbili;

moja Excessive stretching of elastic muscular tube due to a number of sexual intercourse. (Inapunguza elastic strength)

Mbili Age(uzee) Unachangia ulegevu kutokana na normal physiology of collagen degradation from muscles zilizounda Uke due to age.

Kwaiyo sio Rahisi kusema yule Mtu mzima wa miaka 60 lakini ni Nun(sista) ambaye ameingia kwenye usista tangu akiwa kigoli na Yule mwanamke anayefanya biashara ya kuuza mwili wake at 25age. Ni nani atakuwa na Uke legevu zaidi. Hilo jambo sio rahisi ku conclude.
 
Naona wanaume waliooa masingle mothers na makahaba wastaafu wamechefukwa sana na hii kauli ya Pastor Rose, Wengine kama Yoda wameweka mpaka ligi kuonesha hakuna mwanamke bikra..inafurahisha na inahuzunisha.
 
Naona wanaume waliooa masingle mothers na makahaba wastaafu wamechefukwa sana na hii kauli ya Pastor Rose, Wengine kama Yoda wameweka mpaka ligi kuonesha hakuna mwanamke bikra..inafurahisha na inahuzunisha.
Kuna mwanamke bikira kama kulivyo na mwanaume bikira. Zaidi ya hapo ni ujinga wa karne ya 19 kurudi nyuma huko zama za giza na mawe.
 
Psychology ndio ina mchango ila from anatomical point of view those explanation cant be dumped.

Hilo ulilolisema ni jambo gumu ku conclude bila ya gynacological examinations.

Hapo kuna factor mbili;

moja Excessive stretching of elastic muscular tube due to a number of sexual intercourse. (Inapunguza elastic strength)

Mbili Age(uzee) Unachangia ulegevu kutokana na normal physiology of collagen degradation from muscles zilizounda Uke due to age.

Kwaiyo sio Rahisi kusema yule Mtu mzima wa miaka 60 lakini ni Nun(sista) ambaye ameingia kwenye usista tangu akiwa kigoli na Yule mwanamke anayefanya biashara ya kuuza mwili wake at 25age. Ni nani atakuwa na Uke legevu zaidi. Hilo jambo sio rahisi ku conclude.
Please acha kujichosha kubishana na huyo progressive zombie, kubishana na mwanaume mwenye woke mindset kama huyo ni kujichosha tu, hapo lengo hasa ni kukuonesha hakuna mwanamke bikra maana mwanamke bikra ni ngumu mtambua(kwa mitazamo yake yeye), watu kama huyo ni rahisi sana hata kukubishia jinsi yako kwa points zile zile za kiliberal
 
Back
Top Bottom