Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mkuu pita na huku ujikumbushe hii mada..
Thread 'Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora' Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora
Nilishaiona na nikachangia hiyo mbona Tena muda huu...

Aliyeiandika ni dhairi ana elements za ukahaba, maana amepondea sana mabikra huku akifagilia wanawake makahaba tena akiwapamba na sifa za uongo kwamba wanajua maisha na wametulia baada ya kumaliza hoeing phase...utafikiri labda hao mabikra ndio huwa hawajui maisha na hawana utulivu.
 
Kuna mwanamke bikira kama kulivyo na mwanaume bikira. Zaidi ya hapo ni ujinga wa karne ya 19 kurudi nyuma huko zama za giza na mawe.
Tukiwafundisha Na tukiweka msimamo juu ya Ubikra wake kuna Faida nyingi Kuliko hasara.

Binti Atalazimika kujitunza na kuweka msimamo juu ya kurubunika kirahisi hilo litamsaidia yeye binafsi kuepuka magonjwa ya zinaa,, Mimba zisizotarajiwa, Ukimwi, Kumuweka makini katika masomo nk.

Pia itawafanya wanaume wakimbilie kuoa Sababu hakuna namna atapata tendo isipokuwa Kuoa huyo Mwanamke(Tofauti na ilivyo sasa unaweza ukajiuliza sasa naoa ili nipate kipi kingine??) au abake.

Kabla kufikilia upande wa wanaume wanaofurahia na Kuamini ubikra fikilia namna binti atakayelazimika kuolewa akiwa Bikra atakavyosalimika na mengi.

TOFAUTI NA TUTAKAPOMUAMINISHA BINTI WA MIAKA 15 KUWA BIKRA SIO KITU CHA MSINGI UTAOLEWA TUU HATA KAMA HUNA BIKRA ,,, UNAHISI HILI LITAKUWA NA FAIDA NYINGI KULIKO LILE LA JUU.??

FIKILIA KUHUSU JAMII SIO KUHUSU MTU MMOJA MMOJA AMBAE ANATETEA SOKO LAKE BAADA YA KUWA HUKO NYUMA ALIYAFANYA YA KUYAFANYA.
 
Nilishaiona na nikachangia hiyo mbona Tena muda huu...

Aliyeiandika ni dhairi ana elements za ukahaba, maana amepondea sana mabikra huku akifagilia wanawake makahaba tena akiwapamba na sifa za uongo kwamba wanajua maisha na wametulia baada ya kumaliza hoeing phase...utafikiri labda hao mabikra ndio huwa hawajui maisha na hawana utulivu.
Kwa hiyo pastor anavyojimwambafu huoni kama anazijua akili mbofu mbofu za wanaume wasaka bikira?

Laiti ungemjua vizuri pastor Rose bila shaka ungeielewa vizuri sana hiyo thread.....

Pastor kachukua upande wa mabikira ili kuendeleza biashara ya Wachina kuuza bikira...

Niaamini hakuna mwanamke bikira kwa sasa ila wanaume mnakaza fuvu kutafuta mabikira kwa nini msipigwe na Wachina?
 
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".

Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979
Ni ajabu sana kama kuna mwanaume atakubali kuoa mwanamke asiye bikra.
Ewe mwnaume, kama umeoa mwanamke asiye bikra maana yake amefanya kitendo na mtu mwengine na huyo mwanamke anabaki na ile kumbukumbu ya kwanza.
Madhara yake ni kwamba, huyo aliye m'bikiri muda wowote anaweza kumuomba tu, haina mjadala na anapewa bila masharti!

Tiba: Kama mwanamke wako alitolewa bikram, basi hakikisha mtoaji ama amekufa ama amefungwa kifungo kirefu la sivyo utaumia tu!
Dawa nyingine: Oa bikra japo si guarentee ya kudumu kwa ndoa>
 
Pia itawafanya wanaume wakimbilie kuoa Sababu hakuna namna atapata tendo isipokuwa Kuoa huyo
Unawajua team kataa ndoa wewe?

Hahahaaa Ke huwa hajibikiri mwenyewe bali Me ndiyo hufanya hiyo kazi...

Ni ujinga kuwaza kuwa Ke watatulia ilhali wavurugaji ni hao hao wasaka mke bikira
 
Kwa hiyo pastor anavyojimwambafu huoni kama anazijua akili mbofu mbofu za wanaume wasaka bikira?

Laiti ungemjua vizuri pastor Rose bila shaka ungeielewa vizuri sana hiyo thread.....

Pastor kachukua upande wa mabikira ili kuendeleza biashara ya Wachina kuuza bikira...

Niaamini hakuna mwanamke bikira kwa sasa ila wanaume mnakaza fuvu kutafuta mabikira kwa nini msipigwe na Wachina?
Kwamba watoto wa kike wa sasa wanazaliwa bila bikra?! au sijaelewa!!
 
Tukiwafundisha Na tukiweka msimamo juu ya Ubikra wake kuna Faida nyingi Kuliko hasara.

Binti Atalazimika kujitunza na kuweka msimamo juu ya kurubunika kirahisi hilo litamsaidia yeye binafsi kuepuka magonjwa ya zinaa,, Mimba zisizotarajiwa, Ukimwi, Kumuweka makini katika masomo nk.

Pia itawafanya wanaume wakimbilie kuoa Sababu hakuna namna atapata tendo isipokuwa Kuoa huyo Mwanamke(Tofauti na ilivyo sasa unaweza ukajiuliza sasa naoa ili nipate kipi kingine??) au abake.

Kabla kufikilia upande wa wanaume wanaofurahia na Kuamini ubikra fikilia namna binti atakayelazimika kuolewa akiwa Bikra atakavyosalimika na mengi.

TOFAUTI NA TUTAKAPOMUAMINISHA BINTI WA MIAKA 15 KUWA BIKRA SIO KITU CHA MSINGI UTAOLEWA TUU HATA KAMA HUNA BIKRA ,,, UNAHISI HILI LITAKUWA NA FAIDA NYINGI KULIKO LILE LA JUU.??

FIKILIA KUHUSU JAMII SIO KUHUSU MTU MMOJA MMOJA AMBAE ANATETEA SOKO LAKE BAADA YA KUWA HUKO NYUMA ALIYAFANYA YA KUYAFANYA.
Unaweza kuwafundisha mabinti na wavulana mambo ya bikira kwa mrengo wa dini yako au mila na tamaduni za jamii yako ambazo ni za kale hata hivyo kwa malengo yako/yenu mnayofikiri ni ya muhimu sana lakini msiwadanganye kwamba kuna bikira kisayansi au kibaolojia na kwamba bikira inaweza kuthibitishwa kwa wanawake kisayansi kupitia kufanya mapenzi au kukaguliwa na mtaalamu fulani.

Virginity is a social construct.
 
Ni ajabu sana kama kuna mwanaume atakubali kuoa mwanamke asiye bikra.
Ewe mwnaume, kama umeoa mwanamke asiye bikra maana yake amefanya kitendo na mtu mwengine na huyo mwanamke anabaki na ile kumbukumbu ya kwanza.
Madhara yake ni kwamba, huyo aliye m'bikiri muda wowote anaweza kumuomba tu, haina mjadala na anapewa bila masharti!

Tiba: Kama mwanamke wako alitolewa bikram, basi hakikisha mtoaji ama amekufa ama amefungwa kifungo kirefu la sivyo utaumia tu!
Dawa nyingine: Oa bikra japo si guarentee ya kudumu kwa ndoa>
Wewe umeoa bikira?
 
Back
Top Bottom