Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Mchungaji Rose Shaboka: Niliolewa nikiwa bikira

Hiyo layer au tissue inayomfanya mwanamke kuwa bikira inaitwaje kisayansi? Mwanamke akijiingizia au akiingiziwa vidole ukeni bado hiyo layer/tissue itaendelea kuwepo? Bado ataendelea kuwa bikira?

Kama mwanaume ni kibamia na mwanamke ana uke mkubwa atasikia maumivu hata kama anafanya mapenzi kwa mara ya kwanza?
Maswali muhimu kabisa haya, tusubiri majibu
 
Mwanamke Bikra hana ule mkubwa mkuu, uke unakuwa right, ukubwa wa uke unaanza pale Saiz tofauti za mitwangio inapoingia, nimesema hiyo layer ni utando very thin
Kiwango cha uke wa mwanamke kuwa tight/kubana kinatofautiania kati ya wanawake.
Hakuna saizi moja ya uke kama tu ambavyo hakuna size moja ya midomo, macho, pua, masikio n.k
 
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".

Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979


Tuta prove vipi? Hayo ni maneno yake, proof iko wapi? Usikute alikuwa lecturer wa mapenzi anatuletea ngonjera tu hapo, kwa mdomo huo na mimacho hiyo sijui kama alikuwa bikira na hata kama ana hofu ya Mungu hapo, utapeli mtupu, huyu sio, anawapanga wanaomfuata apate sadaka tu.
 
Maneno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".

Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979
Mhuni huyu ashaliwa sana kabla ya kuolewa, labda kama bikra anayoingolea ni ya mkund** ambayo hata hivyo nahisi hana watu washafumua hadi marinda ya YAS
 
Andika,je hakuingizwa hata vidole na kijana wa mtaani anavyopigwa denda?
 

Attachments

  • Screenshot_20241209-124719_1.jpg
    Screenshot_20241209-124719_1.jpg
    104.2 KB · Views: 2
Ili damu ya hedhi itoke lazima ipite ukeni, sasa kama kuna layer nyembamba kama utando ukeni hiyo damu ya hedhi itapitaje ili iweze kutoka?

Kama mwanaume ana kibamia halafu mwanamke ana uke mkubwa kwa nini asikie maumivu hata kama ikiwa ni siku ya kwanza??

1)Tissue inayokuwepo kwenye virginal orifice(Mlango wa uke) ni hymen ambayo ipo perforated (yaani ina matundu matundu)
Ambayo hurusuhu fluids kama damu kupita na ikitokea hymen haijawa perforated(due to Certain abnormalities)Binti anaweza kushindwa kupata hedhi na damu itabaki ndani (anaweza fanyiwa Artificial perforation mambo yanakaa vizuri.

2)vagina(uke) ni Elastic tube ambayo elasticity yake ni maximum kama binti hajaanza kuingiza vitu vikubwa na butu kwenye uke wake ikiwemo uume.
Kadri vitu butu vinavyozidi kuingia na kutoka ndivyo elasticity ya uke inapungua na unakosa kubana tofauti na mwanzo.

Tunaposema ukubwa wa uke tunazingatia the extent uke unaweza kutanuka bila deformation or rupture .
 
1)Tissue inayokuwepo kwenye virginal orifice(Mlango wa uke) ni hymen ambayo ipo perforated (yaani ina matundu matundu)
Ambayo hurusuhu fluids kama damu kupita na ikitokea hymen haijawa perforated(due to Certain abnormalities)
Mwanamke akijiingizia/akiingiziwa vidole katika uke hiyo hymen bado inaendelea kuwepo au uume tu wa mwanaume ndio unaweza kuiondoa?

Hayo matundu ya hymen ni makubwa kiasi gani kupitisha damu ya hedhi yenye mabonge mabonge.?
 
2)vagina(uke) ni Elastic tube ambayo elasticity yake ni maximum kama binti hajaanza kuingiza vitu vikubwa na butu kwenye uke wake ikiwemo uume.
Kadri vitu butu vinavyozidi kuingia na kutoka ndivyo elasticity ya uke inapungua na unakosa kubana tofauti na mwanzo.

Tunaposema ukubwa wa uke tunazingatia the extent uke unaweza kutanuka bila deformation or rupture .
Deformation au rupture ya uke ni jambo lingine kabisa.

Tukirudi kwenye kiasi cha kubana kwa uke wa mwanamke, kwanza unakubaliana uke za wanawake mbalimbali zimetofautiana ukubwa hata kabla hawajaanza kufanya mapenzi?

Mbili, ikiwa mwanaume ana uume mdogo sana(kibamia) anaweza kuhisi hata uke mdogo kabisa wa mwanamke ambaye hajawahi kufanya mapenzi kwamba bado ni mkubwa kulinganisha na udogo wa uume wake?
 
Back
Top Bottom