milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kizazi cha 2000 kukutana na bikira ni ndoto!Ni ajabu sana kama kuna mwanaume atakubali kuoa mwanamke asiye bikra.
Ewe mwnaume, kama umeoa mwanamke asiye bikra maana yake amefanya kitendo na mtu mwengine na huyo mwanamke anabaki na ile kumbukumbu ya kwanza.
Madhara yake ni kwamba, huyo aliye m'bikiri muda wowote anaweza kumuomba tu, haina mjadala na anapewa bila masharti!
Tiba: Kama mwanamke wako alitolewa bikram, basi hakikisha mtoaji ama amekufa ama amefungwa kifungo kirefu la sivyo utaumia tu!
Dawa nyingine: Oa bikra japo si guarentee ya kudumu kwa ndoa>
Si mnawatoboa na kuwaacha then mnaenda kusaka mke bikira wa kuoa, mtawapata wapi hao mabikira?Kwamba watoto wa kike wa sasa wanazaliwa bila bikra?! au sijaelewa!!
Nliolewa bikra, yapo ndoa haipo vizuri kulingsanisha na wengine.Wewe umeoa bikira?
Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako iwe bora..Nliolewa bikra, yapo ndoa haipo vizuri kulingsanisha na wengine.
Zipo nyingi tu, au una maana wanazaliwa wakiwa hawana?Kizazi cha 2000 kukutana na bikira ni ndoto!
Kumbe bikira zipoSi mnawatoboa na kuwaacha then mnaenda kusaka mke bikira wa kuoa, mtawapata wapi hao mabikira?
Habari njema kwa mchina huwarejeshea bikira zao kisha mnawaoa mabikira wenye bikira za mchina...
Poleni sana 🤣🤣
Ni nini umuhimu wa bikira kama mwanamke hajafundwa!Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako iwe bora..
Kamata hii.
Kutolewa bikra kabla ya ndoa ni doa ambalo mwanaume wako hawezi lifuta, iwe jiki, au kemikali yeyote.Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako iwe bora..
Kamata hii.
Walizaliwa nazo,ila maafisa wasafirishaji... Boda ,walishazitungua zote.Zipo nyingi tu, au una maana wanazaliwa wakiwa hawana?
tusisemee wengine kama watoto wetu wameharibika ni wetu ila wapo walio tulia!
Kila mtu alee mwanawe!
Wangu hajawahi kunidharau tunaishi huu ni mwaka wa 15 sasaKutolewa bikra kabla ya ndoa ni doa ambalo mwanaume wako hawezi lifuta, iwe jiki, au kemikali yeyote.
anakudharau maisha yake yote!
Hiki ulichokiandika ni blah..blah au niziite cheap propaganda ambazo mara nyingi zinasambazwa na watu waliopoteza bikra zao tangu wakiwa form two baada ya kulaghaiwa kwa chips kavu pamoja na ice cream... Na mbaya Zaid unakuta mpaka leo hii hawajaolewa na huko chini goli liko wazi.Kwa hiyo pastor anavyojimwambafu huoni kama anazijua akili mbofu mbofu za wanaume wasaka bikira?
Laiti ungemjua vizuri pastor Rose bila shaka ungeielewa vizuri sana hiyo thread.....
Pastor kachukua upande wa mabikira ili kuendeleza biashara ya Wachina kuuza bikira...
Niaamini hakuna mwanamke bikira kwa sasa ila wanaume mnakaza fuvu kutafuta mabikira kwa nini msipigwe na Wachina?
Kalaghabaho kijanaHakuna kitu kama bikra ya mchina, HAKIPO nimerudia kwa herufu kubwa, hiyo ni kauli ambayo huwa mnatumia kujifariji tu na kufanya manipulation kwa wanaume hili waone ni kawaida tu kuwaoa hivyo hivyo mkiwa tayari ni used.
Ameokoka huyoWangu hajawahi kunidharau tunaishi huu ni mwaka wa 15 sasa
Ndio wanafanya kama marupurupu yao.Walizaliwa nazo,ila maafisa wasafirishaji... Boda ,walishazitungua zote.
Kwani kuwa wasiookoka?Ameokoka huyo
Hakuna wanawake bikra umejuaje?Kwa hiyo pastor anavyojimwambafu huoni kama anazijua akili mbofu mbofu za wanaume wasaka bikira?
Laiti ungemjua vizuri pastor Rose bila shaka ungeielewa vizuri sana hiyo thread.....
Pastor kachukua upande wa mabikira ili kuendeleza biashara ya Wachina kuuza bikira...
Niaamini hakuna mwanamke bikira kwa sasa ila wanaume mnakaza fuvu kutafuta mabikira kwa nini msipigwe na Wachina?
Akili bila kuokoka ni ubatili mtupu.Kwani kuwa wasiookoka?
Ungesema ana akili ningekuelewa mkuu.
Na kuoa bila kuwa na akili utamkimbia mwanamkeAkili bila kuokoka ni ubatili mtupu.
hapo anawasimanga wafuasi wake walioolewa pasi na bikira na walioowa wasio na bikiraManeno haya sio mageni jijini labda uwe mgeni wa jiji, ni pastor mwenyewe kafunguka kwa kusema....
"Niliolewa nikiwa bado bikira, niliolewa nikiwa msafi sikuwa mchafu".
Wana familia wa New day tujuane hapa.View attachment 3172979
Tamaduni za wakati huu za kisasa kwani zinasemaje juu ya hili??Unaweza kuwafundisha mabinti na wavulana mambo ya bikira kwa mrengo wa dini yako au mila na tamaduni za jamii yako ambazo ni za kale hata hivyo kwa malengo yako/yenu mnayofikiri ni ya muhimu sana
Unachekesha sasa hili si tulilifanafafanua huko juu kwa reason za kisayansi.lakini msiwadanganye kwamba kuna bikira kisayansi au kibaolojia na kwamba bikira inaweza kuthibitishwa kwa wanawake kisayansi kupitia kufanya mapenzi au kukaguliwa na mtaalamu fulani.
Absolutely false ideology.Virginity is a social construct.