MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

Vibinti vinatamaa kweli

Haya sasa ashafukuliwa mtaro

Rc katenguliwa,nini kitabadilika kwake

Ova
lazima watamlipa, ila Hata hivyo huyu binti aliwekwa hapo kama chambo kumtoa jamaa katika nafasi, maana nasikia jamaa huo ni udhaifu wake mkubwa wakaona njia gani rahisi ya kumtoa ni kumtafuta katika udhaifu wake.

Sasa hapo fikiria kama ana watoto wakike wanamuangaliaje sasahiv? Fikiria Mke wake ndoa ipo kwenye hatari kiasi gani? Fikiria watoto wake kama wanasoma hiyo ndio itakuwa fimbo ya kuwachapia maana watakuwa wanaambiwa baba yenu ni mfiraji, fikiria ndugu zake? Fikiria jamii inayomzunguka ikiwa imemuona mtu wa heshima na sasa wanagundua haya.
Kuna namna watu wenye vyeo na pesa wanapaswa kuwa na walinzi wenye akili nyingi sana kuzima vitu kama hivi kuliko kuwa na nguvu tu.
 
Mtu una miaka 21. Unalala na wanaume saizi ya baba yako na kuacha vijana wa rika lako.
Hayo ndo malipo.

Na hii ipo sana kwa wanafunzi wa vyuo. Mnaacha kutafuta vijana wenzenu, msomane, muelewane kisha mpalilie penzi likue hadi uchumba na ndoa. Nyinyi mnadharau vijana wenzenu kisa hawajajipata na kukimbilia wazee.
Sidhani kama huyo binti alikuwa hajui ni nini kingelitokea!
Hapo huenda siyo mara ya kwanza kupakuliwa tope ila huenda kuna watu walisoma alama za nyakati kwamba huenda jamaa anataka ufalme sehemu 2025 wamemtumia huyo binti kwa dau kubwa ili wamnase na kumuengua.

Inasemekana kuwa hawa watoto wa kike ni miongoni mwa watu wanaopenda mchezo wa kuchoma chapati pande zote mbili na mwanaume ukiwa mshamba wa hiyo michezo utadharaulika na kupigwa kibuti haraka.
 
images.jpeg


Mzee wa Tigo sasa yuko Mwanza.
 
Hawa dada zetu njaa zitawaua.
Kuna mmoja namtambua ni mdogo wa binti flan nayemjua ni wapare.
Anasoma Mwenge Kaskazini huko Kilimanjaro.
Kajuana na mwarabu ana pesa zake imagine kakubali kupelekwa hadi Dar kakodiwa mpaka hotel chumba.
Yule mwarabu na wenzake wawili walimpiga mtungo wa kwa mparange ,binti mpaka anarudi chuo akikohoa kidogo kaachia kimba.
Mpaka anakuja kupona akili ilimkaa sawa.
Hawa mabinti hawa tamaa hizi mbaya sana aisee.
 
MNASHINDWA HATA KUJIPANGA KUMCHAFUA MTU

SASA JITUKAMA NANCY SWAI LA SAUTI NA MAPICHAYAKE MACHSFU ENZIZILE UTASEMA LIMELAWITIWA AMA LIAKILAWITI

SAUTI KUNA MAJINI MAHABA NA UKIMWI WA KUTOSHA KULE WALA SIO KWA KUWAONGELEA WATOTO WENGI WANAJILIPIA ADA KWA ANJIA ZA KUUZA UCHI

HUYO KAKOPWAAA KINAMUWASHA
Yeah! Hao wawili (mliwa na mlaji)ni watu wazima, wanafaragha zao na zinaheshimika. Ndo mana hakuna aliyewahoji walipokuwa wanaingia walikoingia.
Huyo binti hakupiga kelele jambo ambalo linaashiria kulikuwepo na makubaliano na pia inaelekea huyo binti ni mzoefu aliyekubuhu katika hako ka-mchezo.e.g. Kwani daktari alisema ni mara ngapi (frequency) huyo kafanyiwa au ndo ilikuwa the first time?
Hoja inayojitokeza hapo ni kutokutimizwa kwa Makubaliano au Binti ametafuta kick ya kujichomoa kutoka mahusiano na huyo kigogo baada ya kumpata mfadhili mwingine.
Inaonekana pia huyo binti ni kwa hasira au kwa ushawishi na msaada kutoka kwa mtu asiyejulikana anamkomoa na kumchafua huyo kigogo.:KEKBye:
 
Back
Top Bottom