OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kipuuzi kabisaWanaume bana
Yani unapoteza nafasi kizembe hivyo kisa demu
Loh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipuuzi kabisaWanaume bana
Yani unapoteza nafasi kizembe hivyo kisa demu
Loh
Wale ni wanafiki sanaUkitaka kujua wanawake ni wanafiki ni kupitia hili tukio, mpaka muda huu sijawasikia wale sijui LHRC Wala wale wanaojiita jumuiya ya wanawake wa CCM nchi ina watu wajinga sana hii
Kuhusu la RC wa Simiyu sioni Cha ajabu maana CCM ndio michezo Yao Kuna matukio ya ajabu mengi tu wameshafanya na wataendelea kuyafanya
Kavuta mpunga mrefu binti.Mpenda wanavyuo
Huyo mkewe alimpenda Dkt. Yahaya Namwanda kwasbb jamaa ni mtaalamu wa kula Tigo bila maumivu.Duh halafu utakuta ni Baba ana watoto na mke.
Nadhani uko usahihi:Huyo binti ametumika kum-blackmail huyo RC
Kama umewahi kudate na Mabinti wa vyuo, ni wachache sana wenye ujasiri wa kukataa kutoa ngono kinyume na Maumbile.
Kwahiyo Kuna possibility ametumika kukamilisha mission tu ya kumuondoa RC madarakani
Hizi tabia ni kutoka kwenye vyama au familia za wahusika maana siamini kama tabia hizo zinafundishwa vyuoniKaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Gideon Msuya alipotafutwa ikiwa ni saa 12:40 jioni kuhusu suala hilo, hakukubali wala kukanusha juu ya uwepo wa tukio hilo zaidi amesema: “Yapo mambo anayoongea kamanda kama kamanda.”
Alipoulizwa na gazeti hili kuwa yeye ndiye ameachiwa ofisi, Kamanda Msuya alisisitiza atafutwe kamanda Mutafungwa kwani ndiye hutoa taarifa.
Swala sio kupenda wanawake Bali kuwafira,Hawa washenzi ndio wanaeneza UshogaSakata lililokuwepo Polisi Mwanza la kumwingilia kinyume cha maumbile mwanafunzi Mwanza linamhusu na tayari alishatumbuliwa. Sehemu nyingi alizopita huyu bwana pamoja na uchapa kazi wake scandals zake ni kupenda chini na kwa Mpalange sana sana.
Kwa nini amripoti kama walikubaliana?Kwani kitendo hicho kilitokea wapi?. Kama walikubaliana na kwenda Hotelini kuna mbaya gani?. Kwani alimlazimisha ?.
Ndiko amejifunzia ufirauni.Kiufupi wanlsomi ndio mafirauni kuliko kawaida
Hakuna kesi hapa mkuuHii case iwe kweli au uongo haitafika popote.
Alishawahi kuishi visiwani!?Siyo mpenda chini sema mpenda kwa mpalange,kupenda chini siyo kosa labda ubebe mke wa mtu au ubake.
Na Ametumika kumuharibia Mwamba.Huyo msichana nae njaa zitamuua. Alishafanyiwa kitendo haramu na bado akaendelea kuwasiliana na muhusika hadi kuonana naye tena.
Vyovyote iwavyo, nae ana makosa ya kuendekeza tamaa.
Au siku akienda kwa wakwe zake, hebu fikiria hapo yaani ukimtizama tu sura ya lile tukio inajaa usoni mwake, dah kajua kujichumia janga uyu baba khaaaYaani kuna tuhuma nyingine mbaya sana ebu fikiria mtu kama huyu anatenguliwa kwa tuhuma za ulawiti sasa siku anaenda kutembea nyumbani kwao anapokewa na Mama yake na dada zake na mabinti zake au wa ndugu zake hivi anawatazama vipi!
Ila kashatenguliwa.Hakuna kesi hapa mkuu
Kaa kimya ufiche ujinga wako.Habari hizi zimekaa kiumbea zaidi, hapa haki ikitendeka huyo Binti ana kesi ya kujibu, hii Ina maana kufanya biashara ya ukahaba, na kama alilawitiwa kesi iongezwe kufanya mapenzi kunyume Cha maumbile!! Hii ni kama kuchafuana tuu!!