Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

Mdada anaejiuza Shivaz Arusha, kakutwa amenyongwa gesti

Kumbe na wewe ni mkorofi na unamiliki mtutu .... kwani ungemwachia baada ya yeye kula vyako ungepungukiwa na nini? kumshikia mwenzio mtutu utelezi haunogi tenaaa

ila wadada POA wanakutana na mengiii na hawakomi /hawaachi / bado wanaendelea
HAWANA UTELEZI HAO
 
Ukienda Arusha kula bata lako lakini wale wadudu usiguse kabisa.. Wanajifanya much know sana.. Ukiwa mwepesi wa hasira unaweza ukawana nao majengo ya serikali

Sent using Jamii Forums mobile app
Chalii za Arusha huwa wanakuwa na hype fulan za kijinga sana na hata mademu wa chuga wana mikwara sana maraa oh mie chuga girl sijui nn, kuna siku demu mmoja aliniletea hizo pigo nikamuonya akatii hadi kesho
 
Hii habari nimeiona Millard Ayo, wazee baada ya hili tukio Shivaz, kuna usalama kweli sasa hivi hapo, si patakuwa panawaka moto. Doria za 24 hours za polisi plus malaya wengine kuhama hiyo sehemu

Inakuaje unamnyonga mtu halafu unakimbia, story doesn't add up..
Polisi hawajatoa tamko lolote
 
Hii habari nimeiona Millard Ayo, wazee baada ya hili tukio Shivaz, kuna usalama kweli sasa hivi hapo, si patakuwa panawaka moto. Doria za 24 hours za polisi plus malaya wengine kuhama hiyo sehemu

Inakuaje unamnyonga mtu halafu unakimbia, story doesn't add up..
Tuwe tunaheshima! Umeshindwa kumtambulisha kivingine, ila kwa "ANAYEJIUZA"?
 
Kwanza tuanzie hapa je, Umalaya ni Kazi halali na inayompendeza Mwenyezi Mungu na aliibariki katika Vitabu vyake Vitakatifu?

Ukijijua Wewe ni Malaya usipende kuwa na Tamaa kwa Mteja juu ya kile mlichokubaliana, usiwe Mwizi au Mchonga Madili na Wezi ili ukiwa na Mteja wako waje Kumvamia na wamkwapue Hela au Mali za Thamani.

Malipo ya Upumbavu huwa ni hapa hapa duniani na Wahenga walituambia 'you will reap what you sow' Kudadadeki....!!
Hatufurahii kifo ila malaya wana roho mbaya sana
 
Kama unafahamu chanzo cha hayo mauaji, unaweza kuwasaidia polisi kwenye uchunguzi wao.
Ushahidi pekee ninaoweza Kuutoa kwa Polisi ni jinsi gani Upumbavu mwingi ulionao ni Hatari kwa Ustawi na Usalama wa Tanzania kama nchi na Watanzania kama Watu hivyo Wakudhibiti haraka kabla ya Hatari / Madhara kuanza.
 
Hii Ina apply kwa blacks tu mkuu?
Sijaona wazungu na waarabu wakivuna walichokifanya kwa waafrika. Imagine watumwa 180M walisafirishwa Ile slave trans antlatic trade ,waarabu wametuua mno,kutuuza utumwani na wazungu wanazidi kutuibia madini,wanachonganisha watu wanapigana wanauza silaha mbona bado wanastawi na wanaibiwa wanazidi kuwa masikini zaidi na hatuoni hayo malipo mpaka Leo hii hapa dp world wanatuibia bandari kwa miktaba ya wizi. Naomba unielezee hii imekaaje ama inaogopesha mwafrika asije akamuibia mzungu Bali yeye anamuibia mwafrika.
Kumbuka Libya saivi mafuta yake yanachotwa kwa namna ya wizi na ulaghai. Vipi na hili USA ,France watavuna lini walichokipanda
It applies to those who believes, kuna mzungu alishawahi niambia kwamba mambo ya "karma" ni ya Wahindi na wanaoyaamini🤣🤣🤣
 
Screenshot_20231004-122515.jpg
 
Hassan Hamis alidai alimwona kijana huyo akiingia katika nyumba hiyo na baada ya muda alisikia kelele ndani ya chumba hicho zilizoashiria mzozo na ilipofika mchana, aliona kijana huyo anatoka kwa kukimbia akiwa amevaa nguo ya ndani tu.
Ukiua akili zinakutoka lazma ujikute umefanya mistake tu.
 
Back
Top Bottom