Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Umalaya kazi moja ya hatari sana ileAjali kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umalaya kazi moja ya hatari sana ileAjali kazini
heshima yako mkuuKajifanya mjanja kala vya watu halafu hataki kutoa bumunda!
Arusha wana huo upuuzi sana tuu.. Mimi mmoja nilimuonesha mtutu ndio tukaenda sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hii comment imepata like nyingi kuliko uzi wenyewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizo habari mirad ayo anazipenda ila swala la habari sijui ccm wameboronga uwezi kuona kapost
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kajifanya mjanja kala vya watu halafu hataki kutoa bumunda!
Arusha wana huo upuuzi sana tuu.. Mimi mmoja nilimuonesha mtutu ndio tukaenda sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda Arusha kula bata lako lakini wale wadudu usiguse kabisa.. Wanajifanya much know sana.. Ukiwa mwepesi wa hasira unaweza ukawana nao majengo ya serikaliheshima yako mkuu
Dunia iko pale pale sisi Binadamu ndiyo tunaisha.Ila dunia imekwisha asee yaan wana bargain kabisa juu ya ngono aanze nani afuate nani🤣🤣🤣
HakikaDunia iko pale pale sisi Binadamu ndiyo tunaisha.
mimi nimeshajiapiza nikiwa arusha mwanamke wa kimeru mabatani hata salamu yangu hapati maana wana mambo yao flaniflani ivi naweza chukua sheria mkononi nikaonekana mbaya au kuishia jela bila sababu ya msingiUkienda Arusha kula bata lako lakini wale wadudu usiguse kabisa.. Wanajifanya much know sana.. Ukiwa mwepesi wa hasira unaweza ukawana nao majengo ya serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari sana daahYaani mtu kuuawa ni habari za majalalani!?
HavocIla dunia imekwisha asee yaan wana bargain kabisa juu ya ngono aanze nani afuate nani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Askari Mshana Jr banaaa [emoji1787][emoji1787]Dah, ulitisha. Yaani mbususu kwa mtutu! Ulikuwa na ukame kiasi gani?
HavocSi kubargain tu, hadi foleni inapangwa kama mko ATM. Yaani mtu anasubiri mwamba atoke nae aingie🙁🙁
Hatari sana kwa muuzaji na mnunuaji piaUmalaya kazi moja ya hatari sana ile
Mzee baba katika kutapatapa anayenyongwa hutoa "hicho"...Inasemekana wamekuta mpaka kinyesi ndani sasa jamaa sjui alimzubua mtr
Ova
[emoji1787][emoji1787]Daadeki afu utasikia Kataa ndoa, Hii si laana sasa.[emoji174]
Unajua kwanini mademu na wanawake wakali wale warembo haswa hutumika kama majasusi na wapelelezi??Yani ufusika juu ya ufusika... Alafu unakuta wameoa kabisa... Sasa si bora utafute kidemu chako tu mitaa hata sura ikiwa haieleweki cha msingi utelezi unapata kuliko kwenda kupanga msururu kwa kaaba utafikiri mbwa dume wanapanda jike la mbwa
Legend katika ubora wako.Tuko pamoja katika hili, sijawahi kuelewa hii kitu, anatoka anaingia...binafsi nikijua tu una mtu wako basi naachia ngazi, nnajihisi tofauti.
Sina ulejend wowote mkuu, maandishi tu hayana uhalisia wakati mwingine. Ila kununua wa kupanga kimboka hapana aisee😁Legend katika ubora wako.
Otherwise ule wimbo wa wanatuona manyani ni wa ukweli 😂 Tabia zingine ni za kinyani nyani kabisa.