mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Mi nakumbuka kuna mahali tulikubaliana kwamba kawaida mdada akitongozwa akaja akasema, ujue hakump0enda mtongozaji...and vice versa is true

habari yake mshiki!

we mbaya wewe ndio nini kupita kimya kimya lol lazima urudishe zile gharama za gesti
 
Happy New Year to You Too Askofu........naona kuna haja ya kuandaa Kongamano la Maombi kuna mjukuu ameanza mwaka vibaya aisee...asijejikuta mwaka mzima anafuatwa na wazee tu .................

Ntakuja Askofu.................

hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol mmbanu!!
 
LD Salama Mpendwa?

Ushapata jibu la kumpa?

Salama mtumishi, jibu la hapa mtumishi, ni kukimbia, si ulitufundisha,
Tuikimbie zinaa ee, eti zinaa unaikimbia sio unashindana nayo.

Nime meza yale mafundisho Askofu.
 
Happy New Year MJ1, unakaribishwa sana... leo watendaji watakuwa kwenye semina ila nitabaki kukuhudumia...

Hiyo signecha... changanya na za kwako....

Askofu bwana asifiwe mzima wewe unasalimiwa na hati bureka
 


Asante sana dada yangu MJ1, na nashukuru kwa sababu unaelewa tabu ya hii kitu.
Nitashinda tu.
 
Hii thredi ina uelekeo wa beijing....


"If women are so bloody perfect at multitasking, how come they can't have a headache and sex at the same time?"

"Women might be able to fake orgasms. But men can fake a whole relationship."


Ngoja nikagugo maana ya hizi siginecha mbili....brb!
 
Nishatafuta mpenzi lol halafu usitokee kama alivyofanya mwanafunzi mwenzio kaizer

maty maty...mbona sikufanya. ikisha mi kwa MJ1 sio mwanafunzi actually MJ1 tunapendana sana sasa wanafunzi hawaruhusiwi....:A S 465:
 
Habari musuri kaka, yani kaka, ndo hivi mambo, kababu huku kameleta balaa, nataka kukakimbia,
Sijui nikatue wapi?


kama vipi mpotezee, huyo babu ni yule wa baa mpya tegeta?
 
maty maty...mbona sikufanya. ikisha mi kwa MJ1 sio mwanafunzi actually MJ1 tunapendana sana sasa wanafunzi hawaruhusiwi....:A S 465:
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana bana
 
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana bana


yuko kwa wazazi, maji ya chai pale anatafuta maneno mapya ya mwaka huu 2011

for now wacha tubanjuke tu life ni fupi sweety
 

Ka Mwafrica "Shikamoo babu na samahani halafu pita hata usisimame"
Ka ni wale wanaomiliki migodi yetu "credit card + Pin Number"
 
Wababa watu wazima wakiwa wanatongoza wengi huwa hawakwambii direct wanachotaka. Tumia point hiyo kujifanya humuelewi anachotaka.
Kama kimeshakwambia direct kinataka nini mwambie akufanyie kitu ambacho unajua hatoweza na hapo ndio utamtorokea maana akikishindwa hakusumbui tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…