Mi nakumbuka kuna mahali tulikubaliana kwamba kawaida mdada akitongozwa akaja akasema, ujue hakump0enda mtongozaji...and vice versa is true
habari yake mshiki!
Happy New Year to You Too Askofu........naona kuna haja ya kuandaa Kongamano la Maombi kuna mjukuu ameanza mwaka vibaya aisee...asijejikuta mwaka mzima anafuatwa na wazee tu .................
Ntakuja Askofu.................
Happy New Year MJ1, unakaribishwa sana... leo watendaji watakuwa kwenye semina ila nitabaki kukuhudumia...
Hiyo signecha... changanya na za kwako....
LD pole kama ni wewe ....... haya mambo kwa kweli ni magumu. Zamani sikuwaga nikielewa wti mdada analazimika kumkubalia bosi wake kufanya madudu kisa akikataa atafukuzwa kazi (actually mpaka leo sielewi)......but siku liliponikuta mie, nilielewa ugumu wake but kina dada we have to be stong na wajasiri. Kama unajiamini katika utendaji wako wa kazi, kazi hiyo umeipata kihalali kwa qualifications zako jiamini. Check sheria zinasemaje juu ya haki zako kazini then chukua hatua.
1. Mweleze taratibu kuwa unamheshimu na usingependa mahusiano yaende zaidi ya kikazi (ofcouse huku ukifuata ushauri wa Maty-sali sana ili MUNGU ampe uelewa)
2. Ukiona aelewi, check sheria inasemaje.......ukiona huwezifuata sheria
3. Tafuta kazi kwingine, anza mbele.................................................................................
We Maty...umeshantafutia Guest??hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol mmbanu!!
We Maty...umeshantafutia Guest??
Chineekee
Mimi mswafi.....ni lazima nitakuja kuanzia saa tano au sita. Kaa stendibai.Nishatafuta mpenzi lol halafu usitokee kama alivyofanya mwanafunzi mwenzio kaizer
we mbaya wewe ndio nini kupita kimya kimya lol lazima urudishe zile gharama za gesti
Mimi mswafi.....ni lazima nitakuja kuanzia saa tano au sita. Kaa stendibai.
Nishatafuta mpenzi lol halafu usitokee kama alivyofanya mwanafunzi mwenzio kaizer
Habari musuri kaka, yani kaka, ndo hivi mambo, kababu huku kameleta balaa, nataka kukakimbia,
Sijui nikatue wapi?
Sheria namba ngapi vile ya Infidelity?........guest nenda mchana si usiku.Hapa kuna nini aisee....gesti saa tano???
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana banamaty maty...mbona sikufanya. ikisha mi kwa MJ1 sio mwanafunzi actually MJ1 tunapendana sana sasa wanafunzi hawaruhusiwi....:A S 465:
Sheria namba ngapi vile ya Infidelity?........guest nenda mchana si usiku.
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana bana
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?
Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.
Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.
Sheria namba ngapi vile ya Infidelity?........guest nenda mchana si usiku.