Hii ni "for a long jump" ama?
Babu matiti ndio wanakuwaje?
Vovote mradi imeeleweka muhimu kuwahi
Wanapenda sana vitoto vya LY lazima aanze na matiti kukagua
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana bana
Dah! Unanikumbushe enzi za fundi cherehani Maumba, alikuwa na kesi iliunguruma sana mwishoni mwa miaka ya 80. Alikuwa anapenda sana kushika matiti machanga ya vibinti vya LY!!
Mgawie tu kwani umegawia wangapi tangu uanze mambo hayo? Kwani babu wa 60 jogoo kalala? Km yuko fiti huwezi jua tena huwa walezi wazuri.
unajua wazee wa zamani shafti zao imara sana usimwone kibabu ukadharau, maana vijana wa siku hizi akigonga kimoja shaft inalegea mpaka ipite masaa kadhaa, sababu ya machips na kuku wa kisasa.
Wazee wa kale ni mhogo na maboga kazi ikianza hakuna kulala.
hujawahi jaribu wazee nini? utawasahau hawa serengeti boys kabisaaaaa
Vibabu vya kizungu kwenu wadada vinaonekana vijana
Lakini vibabu vya kiafrika mnaviona vimezeeka
Kumbuka ng'ombe hazeeki maini, anazeeka bodi tu jaribu mziki wake uone.
mwone BE, ana majibu yote ya maswali yako Babu!!!!
Muombe mavitu makubwa makubwa au mpe conditions ngumu. Mfano mwambie akakutambulishe kwa ndugu zake (kama ameoa hatoweza).
Mwambie akujengee nyumba, akununulie gari na akupe mtaji wa b'ness atlest 50m.
Onesha kila dalili kuwa upo kipesa zaidi.
I'm sure lazima atakukimbia.
issue ipo hivi? Labda hicho kibabu ni boss wako na umeshamkatalia na kaanza kukusumbua mara oo mara eee.. Mshahara umepunguzwa ..ufanisi wa kazi umeshuka yaani misukosuko kibao.. Na ukiangalia nyuma yako familia inayokutegemea kama mdundiko .. Mtoto wa nani sijui huko ..anko ..dada mama mkubwa wote wanakutolea macho let say
Na usikute kibabu chenyewe kimeshakulamba wewe LD,
Sasa unachofanya hapa ni kujustify hilo tendo lako,
Na kupata mawazo ya wadau,
Akili yangu imenituma kusema hivyo!!
Pole!!!!!
Bacha hata mimi kwa kuangalia comments zake naona kama kesha panga kukapa sasa anataka kujiridhisha.
LD
Tatizo ni umri tu wa huyu babu au, mimi nakushauri ukape kwa sababu umeshaonyesha kutojiamini kuwa utafanikiwa popote zaidi ya hapo kwa babu, na mara katanishoot etc!
Kape ila kaambie mfanye siri!
Kwani wasipojua watu kuna tatizo gani?