mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
Wanapenda sana vitoto vya LY lazima aanze na matiti kukagua

Dah! Unanikumbushe enzi za fundi cherehani Maumba, alikuwa na kesi iliunguruma sana mwishoni mwa miaka ya 80. Alikuwa anapenda sana kushika matiti machanga ya vibinti vya LY!!
 
Nyani hasusiwi shamba eti............... kweli kabisa keizer mi na weye tuko vere vere but wapi switihati wako nyamayao? Nimemiss sana bana

MJ1 signature yako iko kwenye dictionary ..
thread "Signature zilizo nivutia"lol
 
Dah! Unanikumbushe enzi za fundi cherehani Maumba, alikuwa na kesi iliunguruma sana mwishoni mwa miaka ya 80. Alikuwa anapenda sana kushika matiti machanga ya vibinti vya LY!!

Hahahaha ubaya zamani walikuwa wanahonga na pipi siku hizi mambo ya chipsi kuku na mountain dew juu bila kusahau NOKIA la N...
 
Mgawie tu kwani umegawia wangapi tangu uanze mambo hayo? Kwani babu wa 60 jogoo kalala? Km yuko fiti huwezi jua tena huwa walezi wazuri.
unajua wazee wa zamani shafti zao imara sana usimwone kibabu ukadharau, maana vijana wa siku hizi akigonga kimoja shaft inalegea mpaka ipite masaa kadhaa, sababu ya machips na kuku wa kisasa.
Wazee wa kale ni mhogo na maboga kazi ikianza hakuna kulala.
hujawahi jaribu wazee nini? utawasahau hawa serengeti boys kabisaaaaa
 
Mgawie tu kwani umegawia wangapi tangu uanze mambo hayo? Kwani babu wa 60 jogoo kalala? Km yuko fiti huwezi jua tena huwa walezi wazuri.
unajua wazee wa zamani shafti zao imara sana usimwone kibabu ukadharau, maana vijana wa siku hizi akigonga kimoja shaft inalegea mpaka ipite masaa kadhaa, sababu ya machips na kuku wa kisasa.
Wazee wa kale ni mhogo na maboga kazi ikianza hakuna kulala.
hujawahi jaribu wazee nini? utawasahau hawa serengeti boys kabisaaaaa

Oyaaaaa, acha hizo wewe, mgawie ndo nini?? Lete solution hapa,
Tufanye nini tuweze kushinda majaribu kama haya??
 
Vibabu vya kizungu kwenu wadada vinaonekana vijana

Lakini vibabu vya kiafrika mnaviona vimezeeka

Kumbuka ng'ombe hazeeki maini, anazeeka bodi tu jaribu mziki wake uone.

Hakuna kujaribu mziki hapa Fidel, halafu hao wazungu, wazunguuuuuuuuuu mbona mmnawasema sana?
Tunatofautiana jamani. WE mi nambie tu, nifanye je kushinda majaribu kama haya.
 
Ukitaka booking we nishtue siku hizi vinajaa mapema

Hivi wewe Fidel, umekaa kihivo hivo eeh,
Babu Asprin hebu shughulika na huyu jamaa.

Halafu nashukuru kwene ile timu ya ulinzi hujachaguliwa.
 
Hebu cheki na Teamo akwambie tupo wapi!

Eti wapo kwa baba Sunday, ngoja niwashukuru watu hapa kwa mchango wao halafu niwafate huko.
 
Jamani wote kwa pamoja nawashukuru kwa michango yenu, yote imekuwa msaada kwangu. Nitachanganya na zangu halafu maisha yataendelea. Asante babu Asprini, kimey, Bigirita,MJI,Maty,Kaizer,st. RR, Supperman na wote ambao tutakutana kwa ajili ya Mchakato zaidi juu ya swala hili. Nawatakia Jmosi njema na Jpili njema.

Kama unataka kuanzisha biashara au kampuni yoyote. Zingatia hii hapa. SWOT ANALYSIS.
 
Muombe mavitu makubwa makubwa au mpe conditions ngumu. Mfano mwambie akakutambulishe kwa ndugu zake (kama ameoa hatoweza).
Mwambie akujengee nyumba, akununulie gari na akupe mtaji wa b'ness atlest 50m.
Onesha kila dalili kuwa upo kipesa zaidi.
I'm sure lazima atakukimbia.
 
Muombe mavitu makubwa makubwa au mpe conditions ngumu. Mfano mwambie akakutambulishe kwa ndugu zake (kama ameoa hatoweza).
Mwambie akujengee nyumba, akununulie gari na akupe mtaji wa b'ness atlest 50m.
Onesha kila dalili kuwa upo kipesa zaidi.
I'm sure lazima atakukimbia.

Mmmmmh, huyu mjanja aisee, ukijifanya unasema sema mapesa, anakwambia what is money, what is nyumba, IF yuo agree with me then all that is not a question. Yaani huyu anaitwa sidanganyiki. Na ile ya Mla huliwa ndio theory yake. Hapa nikukimbia tu. Nimeshaanza mchakato huo.
 
Wise Lady & lily Flower; Mnatukashifu si vibabu, MNAWAJUA BIOLOGICAL FATHERS WENU? tujibuni kabla hamjaendelea na comments mpya
 
issue ipo hivi? Labda hicho kibabu ni boss wako na umeshamkatalia na kaanza kukusumbua mara oo mara eee.. Mshahara umepunguzwa ..ufanisi wa kazi umeshuka yaani misukosuko kibao.. Na ukiangalia nyuma yako familia inayokutegemea kama mdundiko .. Mtoto wa nani sijui huko ..anko ..dada mama mkubwa wote wanakutolea macho let say

Kama una hakika kuwa Mungu ndiyo alikusaidia ukapata hiyo kazi basi amini anaweza kukupa na nyingine tena nzuri zaidi ya hiyo.
Kipi bora? Kupata HIV na kudhalilisha utu wako au kujilinda na ukawa na uhakika wa kiafya na kuendelea kupambana na maisha dada?
Life is one so don't misuse it.
Kwanza jitahidi kutekeleza majukumu yako ya kazi kwa ufanisi zaidi na umuonyeshe huyo boss wako kuwa uko kikazi zaidi na sivinginevyo. Pia ujue kwamba hutakuwa wa kwanza kwake so usidhan akishakupata wewe ataishia kwako. Na zaidi jiassume utafanya ktk three or more offices na ukakutana na maboss wa aina hiyo then utatembea nao wote? Just say NO and mean it!
I think girls we have to be serous and respect ourselves so thatothers can respect us!
 
Na usikute kibabu chenyewe kimeshakulamba wewe LD,
Sasa unachofanya hapa ni kujustify hilo tendo lako,
Na kupata mawazo ya wadau,
Akili yangu imenituma kusema hivyo!!
Pole!!!!!

Bacha hata mimi kwa kuangalia comments zake naona kama kesha panga kukapa sasa anataka kujiridhisha.
LD
Tatizo ni umri tu wa huyu babu au, mimi nakushauri ukape kwa sababu umeshaonyesha kutojiamini kuwa utafanikiwa popote zaidi ya hapo kwa babu, na mara katanishoot etc!
Kape ila kaambie mfanye siri!
Kwani wasipojua watu kuna tatizo gani?
 
Bacha hata mimi kwa kuangalia comments zake naona kama kesha panga kukapa sasa anataka kujiridhisha.
LD
Tatizo ni umri tu wa huyu babu au, mimi nakushauri ukape kwa sababu umeshaonyesha kutojiamini kuwa utafanikiwa popote zaidi ya hapo kwa babu, na mara katanishoot etc!
Kape ila kaambie mfanye siri!
Kwani wasipojua watu kuna tatizo gani?

Inaelekea we na bacha zile hesabu za "Asume A=Y" mnazipenda sana.
Nani alikwambia mimi huwa naogopa watu?? Namuogopa na kumheshimu Mungu tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!

Ushauri wako mbaya.
 
Back
Top Bottom