Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miguna miguna kufanya nae mdahalo inabidi unywe panadol kwanzaKufanya mdahalo au mahojiano na Lissu inabidi uwe umejipanga na uko vizuri kichwani.
Kile kidada cha Clouds kimejitia aibu baada ya kujaribu kufanya mahojiano na Lissu bila kujipanga.
Kwangu mimi EA naona watu wawili kufanya nao mdahalo au mahojiano hujajipanga utapata aibu ni Lissu na Miguna Miguna.
Miguna amenyooka hana konakona.Miguna miguna kufanya nae mdahalo inabidi unywe panadol kwanza
Nakumbuka aliwahi kumuita Esther Passari 'Socialite bimbo' kwenye JK LiveMiguna amenyooka hana konakona.
Naambiwa ni kada wa chama cha majizi na aligombea viti maalum 2015Yule bibi wa Clouds ametia aibu sana, yaan clouds wangeomba radhi Kwa ujinga na unethical yule dada alizoonyesha
Na hiyo ndio ilikuwa show ya mwisho kipindi cha Jeff Koinange live kikafutwa rasmi sababu ya scene kama hizo jumuiya ya haki za wanawake walisema hazikutakiwa kuruka aidha kipindi kingekatwa au debate isitishwe ila kwa uhalisia Esther Passaris ndio alianza ad hominem attacks kwa Miguna alipojibiwa ndio ikaonekana kaonewa.Nakumbuka aliwahi kumuita Esther Passari 'Socialite bimbo' kwenye JK Live
Watu kama hao inahitaji ujiandae ndio ufanye nao mahojiano au mdahalo check hapo bi mkubwa Margaret Wanjiru alilazwa na viatu.
View: https://youtu.be/8ocdR5IFgVY?si=9o_LdItqS2bQ_XA3
Hili Tangazo linasema mdahalo ni SUTURDAY 17/1/2025. ( tarehe na siku zinapishana)..
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Mbowe amehojiwa na mwananchi news anajitapa kwamba yeye anaenda kushinda, muda utasema.Wajumbe wajitaidi...kutuletea lissu, nje ya hapo....Kwa Mbowe kutokuhudhuria mdahalo huu utampunguzia sana kura. Inaonekana ana woga fulani.
Ila vijana wa ccm ni wajinga sana aisee ndo nn hii umeandika??CCM tuna matawi kila mtaa na kila kijiji nchinnxina mdahalo wa nini
Sisi hatuongei maneno tunawaambia wapiga kura angalieni maendeleo tuliyofanya maeneo yenu
Sasa tuende mdahalo kuongea na Lisu ambaye hajafanya maendeleo yeyote kwenye nchi
Hata Mbowe yuko sahihi kutoenda wapiga kura wanamwelewa na ni kipindi cha lala salama kabla ya uchaguxi hana sababu ya kujichosha
Yaan hata umbebe na defenda wa polis Kwa nguvu Bora aruke ikiwa spid 120Ukitaka kujua mwanaCCM muite kwenye mdahalo..
Hii paragraph ya mwisho hata wewe hufanya humu.Lissu na Miguna wana uwezo wa asili halafu wamejiongeza kwa kusoma sheria halafu wanafanya mazoezi ya ubishi wa kifalsafa kila siku.
Lissu kabla ya kufanya ubishi kwanza anakuletea ubishi kuhusu mazingira ya kubishana huo ubishi 😂😂😂.
Miguna Miguna na Lissu huwezi kudebate nao kama hujajiandaa.Huyu jamaa ni LISSU mtupu
Hiyo ni alama ya mtu anayejitambua. 😂😂😂.Hii paragraph ya mwisho hata wewe hufanya humu.
Hahaaa
Mbowe ni Mwenyekiti na ataendelea kuwa Mwenyekiti.
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Ni msanii sana, halafu anafikiri hakuna anayeweza kutambua usanii wakeKwanza ataanza kuleta huruma hapo hapo lisssu analipua kwa facts
Mbowe usi shiriki huo mdahalo.
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Hahah kabisa aiseeNi msanii sana, halafu anafikiri hakuna anayeweza kutambua usanii wake