Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kufanya mdahalo au mahojiano na Lissu inabidi uwe umejipanga na uko vizuri kichwani.

Kile kidada cha Clouds kimejitia aibu baada ya kujaribu kufanya mahojiano na Lissu bila kujipanga.

Kwangu mimi EA naona watu wawili kufanya nao mdahalo au mahojiano hujajipanga utapata aibu ni Lissu na Miguna Miguna.
Miguna miguna kufanya nae mdahalo inabidi unywe panadol kwanza
 
Nakumbuka aliwahi kumuita Esther Passari 'Socialite bimbo' kwenye JK Live
Na hiyo ndio ilikuwa show ya mwisho kipindi cha Jeff Koinange live kikafutwa rasmi sababu ya scene kama hizo jumuiya ya haki za wanawake walisema hazikutakiwa kuruka aidha kipindi kingekatwa au debate isitishwe ila kwa uhalisia Esther Passaris ndio alianza ad hominem attacks kwa Miguna alipojibiwa ndio ikaonekana kaonewa.
 
Dah! Lisu jasiri sana,Koo alitakaa akabishanee na Mbowe live bila chengaa na anavyootoaga machoo. Bora Jamaa kahepaa maana ni aibuu kingemzidii tu hojaa maana kibishii.
 

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Hili Tangazo linasema mdahalo ni SUTURDAY 17/1/2025. ( tarehe na siku zinapishana)..

Halafu wewe unasema ni leo Friday 17/1/2025. Which is which..?

Inakuwaje Odemba anafanya makosa ya wazi kiasi hiki kama vile taarifa na matangazo ambayo hutolewa na Polisi hukosewa..!!
 
Kwa Mbowe kutokuhudhuria mdahalo huu utampunguzia sana kura. Inaonekana ana woga fulani.
Mbowe amehojiwa na mwananchi news anajitapa kwamba yeye anaenda kushinda, muda utasema.Wajumbe wajitaidi...kutuletea lissu, nje ya hapo....
 
CCM tuna matawi kila mtaa na kila kijiji nchinnxina mdahalo wa nini

Sisi hatuongei maneno tunawaambia wapiga kura angalieni maendeleo tuliyofanya maeneo yenu

Sasa tuende mdahalo kuongea na Lisu ambaye hajafanya maendeleo yeyote kwenye nchi
Hata Mbowe yuko sahihi kutoenda wapiga kura wanamwelewa na ni kipindi cha lala salama kabla ya uchaguxi hana sababu ya kujichosha
Ila vijana wa ccm ni wajinga sana aisee ndo nn hii umeandika??
Ukitaka kujua mwanaCCM muite kwenye mdahalo..
Yaan hata umbebe na defenda wa polis Kwa nguvu Bora aruke ikiwa spid 120
 
Lissu na Miguna wana uwezo wa asili halafu wamejiongeza kwa kusoma sheria halafu wanafanya mazoezi ya ubishi wa kifalsafa kila siku.

Lissu kabla ya kufanya ubishi kwanza anakuletea ubishi kuhusu mazingira ya kubishana huo ubishi 😂😂😂.
Hii paragraph ya mwisho hata wewe hufanya humu.
Hahaaa
 

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Mbowe ni Mwenyekiti na ataendelea kuwa Mwenyekiti.

Baada ya uchaguzi Lissu atakwenda kipiga magoti kwa Mwamba.
 

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Mbowe usi shiriki huo mdahalo.
Mdahalo wakati uchaguzi upo tarehe 21

Mdahalo upo ijumaamosi tarehe 18 sio 17. Hata tangazo limekosea
 
Back
Top Bottom