Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Huu uchaguzi unazidi kuwapa CCM points. Siku CCM wakikacha mdahalo msiwashangae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu Mbowe akigombea URAISI atahitaji mdahalo na SAMIA?
Kwamba FAM kala kona 😂😂😂😂😂 nabubujikwa na machozi ya huzuni mimi Lucas Mwashambwa mkulima wa majani 😂😂😂😂
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Yaani mbowe amekuwa wa kukimbia midahalo, duh..😂Kwamba FAM kala kona 😂😂😂😂😂 nabubujikwa na machozi ya huzuni mimi Lucas Mwashambwa mkulima wa majani 😂😂😂😂
Kule ni fomu moja tupuHuko Dodoma mdahalo ni nani na nani....
Mambo ya kususa midahalo ni ya kiccm, masikini mbowe, duhMdahalo bila Mbowe haunogi.
Kwa kweli mbowe akishinda uwenyekiti, ccm watashinda kwa kiwango watakachokitaka.Huu uchaguzi unazidi kuwapa CCM points. Siku CCM wakikacha mdahalo msiwashangae.
Yaani nawaonea huruma Sana team mbowe, ndo maana kitila amesema kwa uchaguzi wa chadema wamepata point nyingi za kuipiga chadema, mbowe kaongeza ya kususa mdahaloMbowe mambo kama haya ya kuvuliwa nguo hadharani hayapendi, yeye anataka afuatwe nyumbani kwake na waandishi ambao anawagharamia na kuwalipa posho kisha kuwapangia Maswali gani aulizwe
Nasikia yeye ilanj Hana, duh😂Mbowe hana hoja zaidi ya ile ya kufikisha miaka 68 kama watangulizi wake.
😂😂😂😂😂😂Ukitaka kujua mwanaCCM muite kwenye mdahalo..
...Haahaa Yaani mpaka aibu, kwa mara ya kwanza nimeshuhudia madudu ya mboweMbowe ameenda Dodoma kwenye mkutano wa ccm 😂
Ange garagazwa..labda nje wangeweka ambulance 🚑 kabisa maana angepata pressure vs shinikizo la moyo..Nilishawahi kusema hapa kwamba nitashangaa sana kama Mbowe atashiriki huu mdahalo.
Na nikisema akishiriki nitamuina hajitambui kuliko nilivyofikiri.
Naona kajua atagalagazwa na Lissu vibaya sana.
Yaani mbowe akienda kwenye mdahalo itakua Kama AFANDE KINGAI VS KIBATALA 😊☺️Mbowe kama hatashiriki leo huu mdahalo maana yake ni kama wale wa ccm ambao hawataki hivi vitu vya mdahalo, sasa tumueleje kama anataka kutuongoza halafu hataki kuhojiwa?
Aliyesikiliza ua kusikia ushauri wa Prof,Kitilia,anaelewa kuwa huu ni ujinga wa Degree
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Mwamba kaona bora lawama kuliko fedhaha.
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Anajua spana za TAL hata himiliYaani mbowe amekuwa wa kukimbia midahalo, duh..😂