Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

Pre GE2025 MDAHALO: Freeman Mbowe amekacha, Tundu Lissu na Odero Charles Odero kushiriki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Mdahalo bila Mbowe haunogi.
 

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.

Atokee vipi domo zege?

Ggy4VqEWcAEdkcH.jpeg
 
Lissu na Miguna wana uwezo wa asili halafu wamejiongeza kwa kusoma sheria halafu wanafanya mazoezi ya ubishi wa kifalsafa kila siku.

Lissu kabla ya kufanya ubishi kwanza anakuletea ubishi kuhusu mazingira ya kubishana huo ubishi 😂😂😂.
Kama wewe tu unaleta ubishi ili kubishana🤣🤣🤣
 
Lile swali lilikuwa scandalous, kama Marekani Miguna angepata scandal ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake 😂😂😂.
Kuna interview moja kwenye Nairobi gubenartorial position walikuwa wagombea kama 16 ulipotangazwa mdahalo wagombea 14 waliingia mitini akaibuka Esther Passaris pekeyake yani hadi incumbent governor aliingia mitini!

Passaris alipoona amezidiwa na Miguna hoja akaanza ad hominem kumbe Miguna naye akamhamishia huko huko ili waende sawa maana mwanzo alimwambia wajadili issues yeye kahamia ad hominem.

Baada ya interview ile mashirikia ya kutetea haki za wanawake yaliingia kati hadi kile kipindi cha Jeff Koinange Live KTN kilifutwa baada ya huu mdahalo wa Miguna Miguna na Esther Passaris


View: https://youtu.be/i2ugfpT8n-g?si=aE4_icQAU2JrQnuQ
 
Kuna interview moja kwenye Nairobi gubenartorial position walikuwa wagombea kama 16 ulipotangazwa mdahalo wagombea 14 waliingia mitini akaibuka Esther Passaris pekeyake yani hadi incumbent governor aliingia mitini!

Passaris alipoona amezidiwa na Miguna hoja akaanza ad hominem kumbe Miguna naye akamhamishia huko huko ili waende sawa maana mwanzo alimwambia wajadili issues yeye kahamia ad hominem.

Baada ya interview ile mashirikia ya kutetea haki za wanawake yaliingia kati hadi kile kipindi cha Jeff Koinange Live KTN kilifutwa baada ya huu mdahalo wa Miguna Miguna na Esther Passaris


View: https://youtu.be/i2ugfpT8n-g?si=aE4_icQAU2JrQnuQ

Unaona sasa?

Sijakiona kipindi chote wala kujua hiyo habari yote uliyoisema lakini nilishajua kuwa kimataifa kipindi kama hiki kimataifa ni scandal ya udhalilishaji.
 
Unaona sasa?

Sijakiona kipindi chote wala kujua hiyo habari yote uliyoisema lakini nilishajua kuwa kimataifa kipindi kama hiki kimataifa ni scandal ya udhalilishaji.
Yeah hii issue ilifanya show ya Jeff Koinange live KTN ikafutwa it was one of my favorite TV Shows .
 
CCM tuna matawi kila mtaa na kila kijiji nchinnxina mdahalo wa nini

Sisi hatuongei maneno tunawaambia wapiga kura angalieni maendeleo tuliyofanya maeneo yenu

Sasa tuende mdahalo kuongea na Lisu ambaye hajafanya maendeleo yeyote kwenye nchi
Hata Mbowe yuko sahihi kutoenda wapiga kura wanamwelewa na ni kipindi cha lala salama kabla ya uchaguxi hana sababu ya kujichosha
Wewe nawe kaaba kimya hata hujui mdahalo ni nini,fiche ujinga wako.
 
Odero Odero yuko vizuri sana, leo kamwaga sera zake kwenye kipindi cha kumepambazuka cha radio one
Tatizo la mbowe hana hoja wala agenda ya kwa nini anagombea uenyekiti huku akiwa ametumikia cheo hicho miaka 21.
Amesha adopt tabia za kiccm kukimbia midaharo. Kweli mbowe kalamba asali na sasa wanamwendesha kwa remote
 
Kufanya mdahalo au mahojiano na Lissu inabidi uwe umejipanga na uko vizuri kichwani.

Kile kidada cha Clouds kimejitia aibu baada ya kujaribu kufanya mahojiano na Lissu bila kujipanga.

Kwangu mimi EA naona watu wawili kufanya nao mdahalo au mahojiano hujajipanga utapata aibu ni Lissu na Miguna Miguna.
Yule bibi wa Clouds ametia aibu sana, yaan clouds wangeomba radhi Kwa ujinga na unethical yule dada alizoonyesha
 

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.

Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.

Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa

NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.
Kushindana na TAL ni kushindana na mipango ya Mungu ajifunze kwa Mussa pamoja na yote aliyofanya Mungu alimuambia hatafika nchi ya ahadi na Haruna akapewa kijiti kumalizia mission kulazimisha kuna madhala Mungu hajampa kibali tunamshukuru hadi hapo alipofika kulazimisha fedheha haitaepukika kwake
 
Mbowe kukimbia mdahalo si kitu kizuri. Anatakiwa akaonekane jinsi anavyojenga hoja kulinganishwa na wenzake hao. Lini aliwahi kufanya mdahalo, mbona sasa hivi kuelekea uchaguzi amekazana kufanya press kila mara karibia media zote kaongea huko, anachoogoga mdahalo ni nini?
 
Back
Top Bottom