Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Huko Dodoma mdahalo ni nani na nani....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikataa ujinga wa censorship.Lissu chupuchupu kurushiana ngumi na mtangaxaji wa Clouds wakati akihojiwa
Watu kama hao inahitaji ujiandae ndio ufanye nao mahojiano au mdahalo check hapo bi mkubwa Margaret Wanjiru alilazwa na viatu.Lissu na Miguna wana uwezo wa asili halafu wamejiongeza kwa kusoma sheria halafu wanafanya mazoezi ya ubishi wa kifalsafa kila siku.
Lissu kabla ya kufanya ubishi kwanza anakuletea ubishi kuhusu mazingira ya kubumishana huo ubishi 😂😂😂.
Watu kama hao inahitaji ujiandae ndio ufanye nao mahojiano au mdahalo check hapo bi mkubwa Margaret Wanjiru alilazwa na viatu.
View: https://youtu.be/8ocdR5IFgVY?si=9o_LdItqS2bQ_XA3
Kuna tamasha la wasaniiHuko Dodoma mdahalo ni nani na nani....
Washazoea scripted interviews, kitu ambacho Lissu hawezi kukikubali hata siku moja.Alikataa ujinga wa censorship.
Ha! Ilikuwaje, halafu ikawaje?Lissu chupuchupu kurushiana ngumi na mtangaxaji wa Clouds wakati akihojiwa
CCM tuna matawi kila mtaa na kila kijiji nchinnxina mdahalo wa niniNi utamaduni wa maccm kukacha midahalo
Sjui kama una akili timamu wewe aiseeLissu chupuchupu kurushiana ngumi na mtangaxaji wa Clouds wakati akihojiwa
Bi mkubwa akasahau hata title za dissertation alizofanya .Miguna anapiga mpaka chini ya mkanda 😂😂😂
Lile swali lilikuwa scandalous, kama Marekani Miguna angepata scandal ya unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake 😂😂😂.Bi mkubwa akasahau hata title za dissertation alizofanya .
Mbowe mambo kama haya ya kuvuliwa nguo hadharani hayapendi, yeye anataka afuatwe nyumbani kwake na waandishi ambao anawagharamia na kuwalipa posho kisha kuwapangia Maswali gani aulizwe
Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utakuwa leo Ijumaa 17/01/2025 kuanzia saa 3:30 Usiku, katika Ukumbi wa Rwegechura Hall katika ofisi za TANGANYIKA LAW SOCIETY (TLS) Mikocheni Mtaa wa CHATO DSM, Ghorofa ya pili.
Kwa wanaotaka kuhudhuria mdahalo huo watume majina yao kupitia Whatsapp namba 0766662533 na waje na vitambulisho vyao, mwisho wa kuingia ukumbini ni saa mbili kamili usiku.
Pia soma: - Mbowe: Ilikuwa ghafla sana Lissu kutangaza kugombea nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa
NB: Mpaka muda huu wagombea waliothibitisha kushiriki mdahalo ni hao wawili wanaonekana pichani, KARIBUNI SANA.