Mdahalo kati ya Lissu na Mbowe.

Mdahalo kati ya Lissu na Mbowe.

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
 
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
Mbowe hana hoja wala uwezo wa kumshinda Lissu kwenye mdahalo.

Lissu ana hoja za msingi na uwezo mkubwa zaidi ya Mbowe wa ku organize mawazo yake kimantiki hapo kwa papo.

Kuna press conference moja kama wiki mbili tatu zilizopita kaanza kuongea Mbowe halafu akaja Lissu, ukiwasikiliza unaona kabisa Lissu ana advantage ya kusoma sheria halafu kamzidi Mbowe kupangilia hoja.

Mbowe mwenyewe kama ana self awareness atakuwa anajua kuwa hawezi kufanya debate na Lissu.
 
Mbowe hana hoja wala uwezo wa kumshinda Lissu kwenye mdahalo.

Lissu ana hoja za msingi na uwezo mkubwa zaidi ya Mbiwe wa ku organize mawazo yake kimantiki hapo kwa papo.

Kuna press conference moja kama wiki mbili tatu zilizopita kaanza kuongea Mbowe halafu akaja Lissu, ukiwasikiliza unaona kabisa Lissu ana advantage ya kusoma sheria halafu kamzidi Mbowe kupangilia hoja.

Mbowe mwenyewe kama ana self awareness atakuwa anajua kuwa hawezi kufanya debate na Lissu.
Hata mimi nadhani Lissu atashinda mdahalo, lakini pia nadhani Mbowe hawezi kukubali kufanya mdahalo na Lissu.
 
Mwacheni mzee Mbowe. Yeye anachojua ni kupokea ruzuku ya chama tu. Mambo ya midahalo hayawez
 
Mbowe hana hoja wala uwezo wa kumshinda Lissu kwenye mdahalo.

Lissu ana hoja za msingi na uwezo mkubwa zaidi ya Mbowe wa ku organize mawazo yake kimantiki hapo kwa papo.

Kuna press conference moja kama wiki mbili tatu zilizopita kaanza kuongea Mbowe halafu akaja Lissu, ukiwasikiliza unaona kabisa Lissu ana advantage ya kusoma sheria halafu kamzidi Mbowe kupangilia hoja.

Mbowe mwenyewe kama ana self awareness atakuwa anajua kuwa hawezi kufanya debate na Lissu.
Uko sahihi.
Ilikuwa kipindi cha kuongea na waandishi wa habari baada ya kikao cha kamati kuu
 
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
Kwani Mbowe amekubali?
 
Uko sahihi.
Ilikuwa kipindi cha kuongea na waandishi wa habari baada ya kikao cha kamati kuu
Mkuu na wewe uliona tofauti kati ya Mbowe na Lissu pale?

Kuna mambo mengine huwa nayaona halafu nafikiri labda ni mimi tu naona, halafu nasikia mtu mwingine kaona vilevile napata kujua kumbe si mimi tu.
 
Ufanye mdahalo na Lissu! Unajipenda wewe?

Jamaa ana kipaji Cha kuongea, Tena Kwa hoja za msingi huwezi kutoboa pale.

Yuko vizuri sana Upstairs
 
Back
Top Bottom