Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
I called for it couple days ago….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naamini Mbowe ataingia mitini. Hawezi kukubali kufanya mdahalo.Kwani Mbowe amekubali?
Lissu hata akisimama pekee yake halafu Mbowe kwa upande wake akaleta genge lake lote bado Lissu atawachapa kisawa sawa kwenye mdahalo huo.Ufanye mdahalo na Lissu! Unajipenda wewe?
Jamaa ana kipaji Cha kuongea, Tena Kwa hoja za msingi huwezi kutoboa pale.
Yuko vizuri sana Upstairs
Labda nchi- uzuri wao Lissu Ana command ya facts na data - hivyo yeyote anayetaka mdahalo- sharti ajipange Kwa namna hiyo…Hamna mwanasiasa anaweza kufanya mdahalo na Lissu.
Ni kweli, Lissu ana kichwa kizuri sana. Kwake hakuna swali gumu hata moja.Labda nchi- uzuri wao Lissu Ana command ya facts na data - hivyo yeyote anayetaka mdahalo- sharti ajipange Kwa namna hiyo…
Hilo lilikuwa wazi, Mbowe alijibu kila kitu kisiasa lakini Lissu alikuwa anajibu kwa hoja nzito sana tu.Mkuu na wewe uliona tofauti kati ya Mbowe na Lissu pale?
Kuna mambo mengine huwa nayaona halafu nafikiri labda ni mimi tu naona, halafu nasikia mtu mwingine kaona vilevile napata kujua kumbe si mimi tu.
Hili jambo nilikuwa naliona sana na nimefurahi sana kusikia watu wengine wanaona hivyo hivyo.Hilo lilikuwa wazi, Mbowe alijibu kila kitu kisiasa lakini Lissu alikuwa anajibu kwa hoja nzito sana tu.
Hebu linganisha hotuba ya Mbowe akitangaza nia pamoja na kujibu kwake maswali.
Na hotuba ya Lissu akitangaza nia na kujibu maswali.
Lissu kila jibu lake ni elimu tosha kwa watu makini
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na asiye mnafiki, hoja za Lissu zina mashiko, zinaingia akilini.Hilo lilikuwa wazi, Mbowe alijibu kila kitu kisiasa lakini Lissu alikuwa anajibu kwa hoja nzito sana tu.
Hebu linganisha hotuba ya Mbowe akitangaza nia pamoja na kujibu kwake maswali.
Na hotuba ya Lissu akitangaza nia na kujibu maswali.
Lissu kila jibu lake ni elimu tosha kwa watu makini
Lissu ni zaidi ya chuo cha sheriaKwa mtu yeyote mwenye akili timamu na asiye mnafiki, hoja za Lissu zina mashiko, zinaingia akilini.
MboweUnadhani nani kati yao ataogopa mdahalo?
Unaleta mahaba ya ukanda eeMbowe
Mimi ni mchaga kama Mbowe..ila naamini kwamba either Mbowe atakimbia mdahalo au atashindwa kwa kiasi kikubwa.Unaleta mahaba ya ukanda ee
Nah. I disagree.Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na asiye mnafiki, hoja za Lissu zina mashiko, zinaingia akilini.
Lissu hajawahi kukimbia mdahalo,pia atashinda huo mdahalo.Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
Don’t underestimate Mbowe. He is no slouch.Mimi ni mchaga kama Mbowe..ila naamini kwamba either Mbowe atakimbia mdahalo au atashindwa kwa kiasi kikubwa.
Pia mimi sio mpinzani , sina mahaba na Lissu pia.
Utakua mwiba mchungu Sana kwa CCMNaunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
Haha fwala wewe😄Mimi ni mchaga kama Mbowe..ila naamini kwamba either Mbowe atakimbia mdahalo au atashindwa kwa kiasi kikubwa.
Pia mimi sio mpinzani , sina mahaba na Lissu pia.
Hakuna mwongo kamq mbowe, kauli ni nyingi mno...lissu is smartNah. I disagree.
Lissu is grossly overrated.
Huwa anadanganya sana kwenye kauli zake.
Ila kwa vile huwa anaonekana anaongea kwa kujiamini sana, hata akisema uongo ulio dhahiri kabisa, watu mnadhani anatema madini kumbe hamna lolote.
I have never rated him like that.
Leo hii baadhi ya CHADEMA wenzake wanadai eti anasema uongo kwenye baadhi ya kauli alizozitoa.
Ha! Where have they all been?
Now they’re waking up and smelling the coffee?
Baadhi yetu tumekuwa tukilisema hilo kwa muda sasa.
He is no great debater. Just a fair to middling one.
Haahaa mbowe amwite boni yai kumsaidia😂😂Lissu hata akisimama pekee yake halafu Mbowe kwa upande wake akaleta genge lake lote bado Lissu atawachapa kisawa sawa kwenye mdahalo huo.
Mbowe kadanganya nini?Hakuna mwongo kamq mbowe, kauli ni nyingi mno...lissu is smart