Mdahalo kati ya Lissu na Mbowe.

Mdahalo kati ya Lissu na Mbowe.

Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
hakuna haja ya kuenzi utamaduni wa kimagharibi na kuwafurahisha mabwenyenye ya mgharibi...

wajumbe watasikiliza na kupima uwezo na maelezo ya kila mgombea uongozi chadema na wataamu,

mdahalo hauna maana yoyote. wagombea kujieleza mipango na mikakati yao mbele ya wajumbe inatosha sana ndrugu zangu, huo mdahalo mnajieleza kwa nani kama sio ushirikina huo?

busara imuelekeze mbowe kupuuza mipango isiyo na tija kama hii, ajikite kumobilaize wajumbe hatimae aweze kushinda uchaguzi kwa kishindo na kwa uwazi zaidi :pulpTRAVOLTA:
 
Nah. I disagree.

Lissu is grossly overrated.

Huwa anadanganya sana kwenye kauli zake.

Ila kwa vile huwa anaonekana anaongea kwa kujiamini sana, hata akisema uongo ulio dhahiri kabisa, watu mnadhani anatema madini kumbe hamna lolote.

I have never rated him like that.

Leo hii baadhi ya CHADEMA wenzake wanadai eti anasema uongo kwenye baadhi ya kauli alizozitoa.

Ha! Where have they all been?

Now they’re waking up and smelling the coffee?

Baadhi yetu tumekuwa tukilisema hilo kwa muda sasa.

He is no great debater. Just a fair to middling one.
Mkuu,

Kwenye siasa mambo mengine unaweza kuona anadanganya, kumbe ni suala la interpretation, kuna mambo yako open to interpretation.

Sisemi kuwa Lissu hadanganyi au hana uwezo wa kudanganya, nimeandika hapo juu matatizo ya ku deify, ku lionize na kujenga cult of personality, so I am not about that.

Ila, ukisema Lissu huwa anadanganya, ni muhimu utoe mfano ili watu wauchambue na kuhakiki unaposema alidanganya amedanganya kweli au wewe umetafsiri vibaya tu, au humpendi tu., au mambo yako nuanced tu hayana tafsiri ya moja kwa moja ya kirahisi.
 
Duh huu ni mtego maana TAL anavyosema "what do you expect for 5 years if you didn't Do during 21 years". Nashukuru kama mdahalo huo utafanyika. Lakini Hakuna kukwepa mdahalo huo. FAM awepo kwenye mdahalo huo. Naunga mkono hoja.
 
Mkuu,

Kwenye siasa mambo mengine unaweza kuona anadanganya, kumbe ni suala la interpretation, kuna mambo yako open to interpretation.

Sisemi kuwa Lissu hadanganyi au hana uwezo wa kudanganya, nimeandika hapo juu matatizo ya ku deify, ku lionize na kujenga cult of personality, so I am not about that.

Ila, ukisema Lissu huwa anadanganya, ni muhimu utoe mfano ili watu wauchambue na kuhakiki unaposema alidanganya amedanganya kweli au wewe umetafsiri vibaya tu, au humpendi tu., au mambo yako nuanced tu hayana tafsiri ya moja kwa moja ya kirahisi.
Siwezi kusema Lissu huwa anadanganya halafu nisiwe na receipts.

La sivyo, nitakuwa nafanya kile kile ninachomshutumu Tundu Lissu kuwa.


Na uzuri wake ni kwamba, hiyo video bado ipo na pa kuanzia kusikiliza/ kutazama alichosema, nilipaweka. Hivyo huhitaji kuangalia video yote.

Kizuri zaidi, Lissu alitoa description nzuri sana ya aliyekuwa anamzungumzia.

I can’t say Lissu lies by me lying on him.
 
Siwezi kusema Lissu huwa anadanganya halafu nisiwe na receipts.

La sivyo, nitakuwa nafanya kile kile ninachomshutumu Tundu Lissu kuwa.


Na uzuri wake ni kwamba, hiyo video bado ipo na pa kuanzia kusikiliza/ kutazama alichosema, nilipaweka. Hivyo huhitaji kuangalia video yote.

Kizuri zaidi, Lissu alitoa description nzuri sana ya aliyekuwa anamzungumzia.

I can’t say Lissu lies by me lying on him.
Kwanza kabisa umeandika unaamini, huna uhakika alikuwa anamzungumzia mlinzi gani.

Pili, suppose kamaanisha mlinzi huyo ( for immanent critique) kusema mtu anadanganya ni character judgement call, unamaanisha kuwa huyu mtu alikuwa anajua ukweli akaamua kusema uongo. Unajuaje kuwa hapo Tundu Lissu alidanganya na hakukosea tu kwa kuchanganya mafaili au na yeye kurudia maneno aliyokuwa misinformed bila ya kuyahakiki vizuri?

Watu wanaoongea sana in public obviously kuna mambo watakosea kwa kutojua, watarudia maneno ya upotofu bila kujua haya ni maneno ya upotofu, sasa hapo hawajadanganya, wamekosea.

Sasa unahakikishaje hapa kadanganya na hajakosea tu?
 
hakuna haja ya kuenzi utamaduni wa kimagharibi na kuwafurahisha mabwenyenye ya mgharibi...

wajumbe watasikiliza na kupima uwezo na maelezo ya kila mgombea uongozi chadema na wataamu,

mdahalo hauna maana yoyote. wagombea kujieleza mipango na mikakati yao mbele ya wajumbe inatosha sana ndrugu zangu, huo mdahalo mnajieleza kwa nani kama sio ushirikina huo?

busara imuelekeze mbowe kupuuza mipango isiyo na tija kama hii, ajikite kumobilaize wajumbe hatimae aweze kushinda uchaguzi kwa kishindo na kwa uwazi zaidi :pulpTRAVOLTA:
Hapo tayari mmeanza kuufyata mkia. Kwa kifupi, mdahalo unapima uwezo, ukakamavu na umahiri katika kujenga na kusimamia hoja za msingi.

Kwa hiyo, jaribio lolote la kukimbia mdahalo ni utakuwa ni uthibitisho tosha kwamba DJ hana uwezo hivyo hapaswi kuchaguliwa tena kwani hawezi kutufikisha popote pema zaidi ya kutupeleka Jehanamu.
 
Huo mdahalo ukifanyika nampa nafasi kubwa ya Mbowe kujieleza vizuri bila mhemuko.
 
Kwanza kabisa umeandika unaamini, huna uhakika alikuwa anamzungumzia mlinzi gani.

Pili, suppose kamaanisha mlinzi huyo ( for immanent critique) kusema mtu anadanganya ni character judgement call, unamaanisha kuwa huyu mtu alikuwa anajua ukweli akaamua kusema uongo. Unajuaje kuwa hapo Tundu Lissu alidanganya na hakukosea tu kwa kuchanganya mafaili au na yeye kurudia maneno aliyokuwa misinformed bila ya kuyahakiki vizuri?

Watu wanaoongea sana in public obviously kuna mambo watakosea kwa kutojua, watarudia maneno ya upotofu bila kujua haya ni maneno ya upotofu, sasa hapo hawajadanganya, wamekosea.

Sasa unahakikishaje hapa kadanganya na hajakosea tu?
Kutumia neno ‘naamini’ ni suala la semantics tu.

Siyo hoja ya msingi kivile unless unataka ku nitpick tu for the sake argument.

Hata ofisi ya Alvin Bragg inaamini Luigi Mangione ndo kamuua Brian Thompson.

So you can have that argument, if you wish.

Wakati Lissu anasema kuwa huyo mlinzi naye kafa, tayari mazishi ya Magufuli yalikuwa yashafanyika huko Chato.

Magufuli alizikwa Machi 26, 2021.

Appearance ya Tundu Lissu kwenye VOA, ilikuwa Machi 31, 2021.

Hapo ni siku 5 nzima zilikuwa zishapita.

Ndo maana watu tulishangaa.

Okay, tuseme labda alichanganya madesa. Fine. It happens. We all mix stuff up sometimes.

Baada ya kuona sintofahamu ya watu kwa nini hakurekebisha maneno yake?

Lissu gave a very clear description of who he was talking about.

Looking at Magufuli’s protective detail, there’s only one guy who fit that description to a tee.

And that guy happened to still be alive and fully participated in laying Magufuli to rest.

Maybe you tell me, who else in Magufuli’s protective detail who fit Lissu’s description?

Lissu never bothered to clear the air, afterwards . He just carried on taking his victory laps for out living the ogre of Chato.

He lied.
 
Kutumia neno ‘naamini’ ni suala la semantics tu.

Siyo hoja ya msingi kivile unless unataka ku nitpick tu for the sake argument.

Hata ofisi ya Alvin Bragg inaamini Luigi Mangione ndo kamuua Brian Thompson.

So you can have that argument, if you wish.

Wakati Lissu anasema kuwa huyo mlinzi naye kafa, tayari mazishi ya Magufuli yalikuwa yashafanyika huko Chato.

Magufuli alizikwa Machi 26, 2021.

Appearance ya Tundu Lissu kwenye VOA, ilikuwa Machi 31, 2021.

Hapo ni siku 5 nzima zilikuwa zishapita.

Ndo maana watu tulishangaa.

Okay, tuseme labda alichanganya madesa. Fine. It happens. We all mix stuff up sometimes.

Baada ya kuona sintofahamu ya watu kwa nini hakurekebisha maneno yake?

Lissu gave a very clear description of who he was talking about.

Looking at Magufuli’s protective detail, there’s only one guy who fit that description to a tee.

And that guy happened to still be alive and fully participated in laying Magufuli to rest.

Maybe you tell me, who else in Magufuli’s protective detail who fit Lissu’s description?

Lissu never bothered to clear the air, afterwards . He just carried on taking his victory laps for out living the ogre of Chato.

He lied.
Kwanza kabisa umetumia neno naamini kwa sababu hukuwa na uhakika alikuwa anamzungumzia mlinzi gani.

Na mpaka sasa inaonekana huwezi kuthibitisha alikuwa anamaanisha mlinzi gani.

Kwa sababu Tundu Lissu hajataja jina.
 
Naunga mkono hoja ya kuitisha mdahalo kati ya Lissu na Mbowe angalau mara mbili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi wao ngazi ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Kwa maoni yako, unadhani nani atashinda katika mdahalo huo?
Kule CCM usha wahi waambia wafanye mdahalo
 
Kifo cha mzee Kibao kuna mkono wa Freeman? hii imenifikirisha sana!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Back
Top Bottom