CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Mtumwa wa Mbowe.Wewe ni kibaraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumwa wa Mbowe.Wewe ni kibaraka
Tusi liko wapi wewe mfagiaji wa vyoo vya Lumumba?Sikutegemea ujibu hoja kwa sababu mtaji wa mjinga ni matusi.
Kujenga na kupanga, what is the difference. Nisaidie kwa hiloNiliyoweza kuyagundua;
1. Wote wagombea wako vizuri, wana kitu na wana uchawishi.
2. Msigwa ni mzuri zaidi katika kupangua hoja
3. Sugu ni mzuri zaidi katika kujenga hoja.
Wewe ni mlokole naona umewaibia SIRI yao nyetiKwani nani alikuambia walokole siyo Wachawi? 😃😃
Mtaji wa Mwanasiasa ni Maneno na maneno yako kwenye VitabuKujenga nakupanga, what is the difference. Nisaidie kwa hilo
Msigwa ni philosopher. And the nation is built by philosophers, philosophical minds, not mechanical minds
Sugu ni mechanical , anafaa sana kuhamasisha single point event, yuko vizuri sana, siyo to lead the state!
Unajenga watu kifkra, wakishajikomboa kifkra kujua zuri na baya, haki zao za msingi, then all will follow. Msigwa yupo izuri sana kwa hilo.
Ndiyo maana mwamposa ana watu wengi, amewajenga kifikra kuwa yeye ni Mtume wa mungu anaeza kufanya miujiza na akawa na talent za ku.train actors, dramatize matukio.....wajinga wanaingia KING (msemo wa vijana wa mjini, wahuni, jobless)
Kujenga nakupanga, what is the difference. Nisaidie kwa hilo
Msigwa ni philosopher. And the nation is built by philosophers, philosophical minds, not mechanical minds
Sugu ni mechanical , anafaa sana kuhamasisha single point event, yuko vizuri sana, siyo to lead the state!
Unajenga watu kifkra, wakishajikomboa kifkra kujua zuri na baya, haki zao za msingi, then all will follow. Msigwa yupo izuri sana kwa hilo.
Ndiyo maana mwamposa ana watu wengi, amewajenga kifikra kuwa yeye ni Mtume wa mungu anaeza kufanya miujiza na akawa na talent za ku.train actors, dramatize matukio.....wajinga wanaingia KING (msemo wa vijana wa mjini, wahuni, jobless)
Wameshahongwa 😄😄Wacha kura za wajumbe 120 ziamue.
Thubutu, Kikwete alipobanwa waliingia uwanjani wakapora mpira na kuuweka kwapani wakakimbia nao.Nmeipenda sana hii. Iende mpaka ngazi Taifa. Tuachane na uonga wa kukigawa chama fomu moja ni kufifisha demokrasi.
namwona Msigwa akikosa hatachukua mda atahamia ccmKweli CHADEMA imo moyoni mwa Sugu. Mimi hapa namwombea awe Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa.