Wana-CCM dawa ya Lissu ni moja tu, Mtoto akililia wembe mpe; chambeche Wahenga.
Huyu Lissu analilia mdahalo na mtukufu Rais, asizubaishwe. Kwa kuwa mdahalo ni kipimo bora cha wagombea na kwa kuwa mdahalo utaonesha kiwango na ubora wa maono waliyonayo wagombea kupitia sera watakazozielezea na kufafanua.
Kwa kuwa Mtukufu Rais amekuwa katika utekelezaji wa mipango mikubwa na dhabiti na kwa kuwa anao uwezo mkubwa na maono mapana unaodhirishwa na kiwango kikubwa cha elimu yake ya Phd anayoimiliki na ambayo huyo Lissu hata haifikii; kumbe basi dawa yake huyu Lissu ni kumkutanisha kwenye mdahalo wa wazi ili mropokaji Lissu anyooshwe hadharani kupitia "arguments" za uhakika za Mtukufu Rais na hapo ndipo Watanzania na ulimwengu utakapoona kwa uwazi kabisa uwezo mkubwa wa Mtukufu Rais na ukilaza wa huyo Lissu.
Wahenga walonga kuwa mtoto akililia wembe mpe; Jamani CCM sasa mtoto Lissu kalilia wembe huyu asizubaishwe, apewe umkate. Hivi huyu ana uwezo gani wa kupanga hoja mbela ya PhD?
Huyu Lissu analilia mdahalo na mtukufu Rais, asizubaishwe. Kwa kuwa mdahalo ni kipimo bora cha wagombea na kwa kuwa mdahalo utaonesha kiwango na ubora wa maono waliyonayo wagombea kupitia sera watakazozielezea na kufafanua.
Kwa kuwa Mtukufu Rais amekuwa katika utekelezaji wa mipango mikubwa na dhabiti na kwa kuwa anao uwezo mkubwa na maono mapana unaodhirishwa na kiwango kikubwa cha elimu yake ya Phd anayoimiliki na ambayo huyo Lissu hata haifikii; kumbe basi dawa yake huyu Lissu ni kumkutanisha kwenye mdahalo wa wazi ili mropokaji Lissu anyooshwe hadharani kupitia "arguments" za uhakika za Mtukufu Rais na hapo ndipo Watanzania na ulimwengu utakapoona kwa uwazi kabisa uwezo mkubwa wa Mtukufu Rais na ukilaza wa huyo Lissu.
Wahenga walonga kuwa mtoto akililia wembe mpe; Jamani CCM sasa mtoto Lissu kalilia wembe huyu asizubaishwe, apewe umkate. Hivi huyu ana uwezo gani wa kupanga hoja mbela ya PhD?