Uchaguzi 2020 MDAHALO: Mtoto amelilia wembe, CCM mpeni

Uchaguzi 2020 MDAHALO: Mtoto amelilia wembe, CCM mpeni

Habari wadau..!
kwenye mdahalo wa leo wa maadhimisho ya miaka 44 ya CCM kama sijawaelewa vile Mzee Butiku na Mama Anna Makinda .

Hususa kwenye swala la mfumo wa elimu wameonekana wazi wakibeza mfumo wa elimu wa ss na kuwabeza wasomi wetu ,kana kwamba hawakuwapo kipindi chote .

Mzee Butiku anasisitiza kwamba swala la elimu linahitaji mjadala wa kitaifa je ni mjadala gani huo????

Mm nikiwa kama msomi sitaki kuamini anachokisema mzee Butiku wasomi ni wengi ila naona wahandisi na wanasayansi ndio tunabezwa sana hapa kwenye huu mjadala .
Wasomi ni wengi sana, ila wanaoibuka kidedea si wasomi! Chuo kikuu DSM kina idara ya Sana'a na muziki, njoni hapa tuwaone. Wanaotengeneza mitambo na vifaa mbalimbali ya kilimo na nishati hatuwaoni, njoni hapa.
Ni kitu gani ambacho wasomi wetu watajivunia kwenye maendeleo ya uchumi.
 
Back
Top Bottom