Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Wamezeeka haoooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Butiku alianza kuchangia vizuri lakini mwisho akaanza kuingia chaka,nashukuru bora amekiri kwamba siku hz yy ni mzee anaongea ongea tu😂😂😂😂Wamezeeka haoooo
Mzee Butiku alianza kuchangia vizuri lakini mwisho akaanza kuingia chaka,nashukuru bora amekiri kwamba siku hz yy ni mzee anaongea ongea tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wazee hawa wanataka kuona elimu waliyosoma wao kana kwamba ndiyo ilikuwa bora sanaHabari wadau..!
kwenye mdahalo wa leo wa maadhimisho ya miaka 44 ya CCM kama sijawaelewa vile Mzee Butiku na Mama Anna Makinda .
Hususa kwenye swala la mfumo wa elimu wameonekana wazi wakibeza mfumo wa elimu wa ss na kuwabeza wasomi wetu ,kana kwamba hawakuwapo kipindi chote .
Mzee Butiku anasisitiza kwamba swala la elimu linahitaji mjadala wa kitaifa je ni mjadala gani huo????
Mm nikiwa kama msomi sitaki kuamini anachokisema mzee Butiku wasomi ni wengi ila naona wahandisi na wanasayansi ndio tunabezwa sana hapa kwenye huu mjadala .
Basi,Hongera wewe kijana wa daima.Wamezeeka haoooo
Hao ndo walisoma Elimu bora na kuelimika, mmoja akaja kuwa Katibu wa Rais na mwingine akawa Spika wa Bunge la mwisho Tukufu kabla ya kushikwa na vijana vilaza waliosoma bora elimu ya kusoma na kuandika na kuokoteza PhD za jalalani. Kosa la wazee bado wako CCM!Wamezeeka haoooo
Ina ubora gani wakati wazee tunawafundisha kufungua facebook account kwa makonzi na elimu yao ya la darasa la nne😂😂Wazee hawa wanataka kuona elimu waliyosoma wao kana kwamba ndiyo ilikuwa bora sana
Mzee Butiku alianza kuchangia vizuri lakini mwisho akaanza kuingia chaka,nashukuru bora amekiri kwamba siku hz yy ni mzee anaongea ongea tu😂😂😂😂
Wazee wa hovyo hovyo na wanafiki tu hao, walikuwa wapi pindi wapo katika decision makingHabari wadau..!
kwenye mdahalo wa leo wa maadhimisho ya miaka 44 ya CCM kama sijawaelewa vile Mzee Butiku na Mama Anna Makinda .
Hususa kwenye swala la mfumo wa elimu wameonekana wazi wakibeza mfumo wa elimu wa ss na kuwabeza wasomi wetu ,kana kwamba hawakuwapo kipindi chote .
Mzee Butiku anasisitiza kwamba swala la elimu linahitaji mjadala wa kitaifa je ni mjadala gani huo????
Mm nikiwa kama msomi sitaki kuamini anachokisema mzee Butiku wasomi ni wengi ila naona wahandisi na wanasayansi ndio tunabezwa sana hapa kwenye huu mjadala .
Nchini kwetu tunafanya vioja sana mtu akipewa madaraka uanza kuponda mfumo wetu na elimu na yeye kujifanya yuko vizuri sana kitaaluma u wakati amepitia na kusomeshwa na mfumo huo huo. Na hii ya kutojitambua baada ya kupata madaraka ndiyo inasababisha kutoweza kufanya maboresho maana mtu akishakuwa Katibu Mkuu au Waziri anaona yeye sio zao au sehumu ya mfumo wetu wa elimu🎃🎃Habari wadau..!
kwenye mdahalo wa leo wa maadhimisho ya miaka 44 ya CCM kama sijawaelewa vile Mzee Butiku na Mama Anna Makinda .
Hususa kwenye swala la mfumo wa elimu wameonekana wazi wakibeza mfumo wa elimu wa ss na kuwabeza wasomi wetu ,kana kwamba hawakuwapo kipindi chote .
Mzee Butiku anasisitiza kwamba swala la elimu linahitaji mjadala wa kitaifa je ni mjadala gani huo????
Mm nikiwa kama msomi sitaki kuamini anachokisema mzee Butiku wasomi ni wengi ila naona wahandisi na wanasayansi ndio tunabezwa sana hapa kwenye huu mjadala .
Maisha ya Butiku yanategemea porojo za mdomo wake , anaishi hivyo kwa muda wote , hajawahi kulima hata matuta mawili ya mihogoHabari wadau..!
kwenye mdahalo wa leo wa maadhimisho ya miaka 44 ya CCM kama sijawaelewa vile Mzee Butiku na Mama Anna Makinda .
Hususa kwenye swala la mfumo wa elimu wameonekana wazi wakibeza mfumo wa elimu wa ss na kuwabeza wasomi wetu ,kana kwamba hawakuwapo kipindi chote .
Mzee Butiku anasisitiza kwamba swala la elimu linahitaji mjadala wa kitaifa je ni mjadala gani huo????
Mm nikiwa kama msomi sitaki kuamini anachokisema mzee Butiku wasomi ni wengi ila naona wahandisi na wanasayansi ndio tunabezwa sana hapa kwenye huu mjadala .