The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Well, Kuzungumza sio kuongoza... kuongoza ni zaidi ya kuwa na nia... kama kuna mtu alikuwa na nia nzuri huku duniani alikuwa JK 2005... but you all know....
Kuna mengi sana ameyajibu vizuri kama debate lakini practically mmhhh... only people who know how to lead will understand... otherwise washabiki wa JK in 2005 they have just got another one to shabikia...
Huyu Dr wa ukweli Slaa ana mifano ya mafanikio ya uongozi katika jimbo la Karatu; na pia kama mwenyekiti wa kamati mojawapo ya bunge.
Vote for Slaa!