Mdahalo wa Dunia kati ya Harris na Trump: Muda kamili kwa saa za Afrika Mashariki huu hapa

Mdahalo wa Dunia kati ya Harris na Trump: Muda kamili kwa saa za Afrika Mashariki huu hapa

Trump anaweza akahamasisha watu wakanyanyuka kwenda vitani. Anajua sana kuongea hadharani.
Utashangaa mazuzu ya humu yanasema Haris anaweza kuongea kuliko Trump, Trump umshinde kwa kuongea?

Toka Haris ateuliwe kua mbadala wa Biden amefanya interview 2 tu, zote ziko highly scripted, ya CNN ambayo alikua peke yake na bado akaboronga na hii ambayo amekuja kutetewa na moderators wamsaidie wakati huo Trump amefanya interview 35 kwa kipind hicho.

Nadhani baada ya hapa Kamala hatafanya interview tena.
 
Hakuna kipya zaidi Trump angeweza kueleza zaidi kupitia mdahalo huu kuliko ambavyo Harris angeweza kuutumia kujieleza na kujitambulisha mbele ya wamerekani.

Kwa kifupi sana, mdahalo huu ulilenga kumtambulisha zaidi Harris mbele ya wamarekani wengi ambao wanashauku kumfahamu Harris kama mgombea urais kabla ya kuamua.
 
Kwahyo kwa wale mlioangalia mdahalo nani kashinda? Nataka nije nimuue Kamala kwa mhindi November
 
Kuna uongo mwingi mnoo ameuongea Trump mpaka wachambuzi wamemshangaa. Jamaa anasema Democrat wanaruhusu abortion mpaka ya miezi Tisa! Trump hajua kabisa kuwa hicho anachokisema 'abortion ya miezi tisa' ndio uzazi wa kawaida wa wanawake wote duniani kote.
 
Kwangu mimi naona Harris katika debate hii kashinda zaidi kwa sababu hizi.
1. Shake hand approach
2. Body language (Proper)
3. Smile (Expression)
4. Gestures (Proper)
5. Facts and figures(Bombing)
6. Mediation policy in Gaza
7. Attack&defence answers
8. Calmness when she was attacked
9. Taliban and Putin issues (addressing against Trump)
10. Voice&words (Polite language).
Kwa hiyo ameshinda in terms of appearance na sio on policies na kujibu maswali? Ama unataka kusema hii ilikua ni best looking contest ama debate, alieonekana vizuri ndio ameshinda?
 
Utashangaa mazuzu ya humu yanasema Haris anaweza kuongea kuliko Trump, Trump umshinde kwa kuongea?

Toka Haris ateuliwe kua mbadala wa Biden amefanya interview 2 tu, zote ziko highly scripted, ya CNN ambayo alikua peke yake na bado akaboronga na hii ambayo amekuja kutetewa na moderators wamsaidie wakati huo Trump amefanya interview 35 kwa kipind hicho.

Nadhani baada ya hapa Kamala hatafanya interview tena.
Kama umeangalia vizuri mdahalo huu utakiri wazi, kwenye kujieleza Kamala Harris yupo mbele mnoo.
 
Hakuna kipya zaidi Trump angeweza kueleza zaidi kupitia mdahalo huu kuliko ambavyo Harris angeweza kuutumia kujieleza na kujitambulisha mbele ya wamerekani.

Kwa kifupi sana, mdahalo huu ulilenga kumtambulisha zaidi Harris mbele ya wamarekani wengi ambao wanashauku kumfahamu Harris kama mgombea urais kabla ya kuamua.
Hawa watu ni watofauti kidogo aisee
 
S
Kiuhalisia kuupitia mdahalo Kamala inaonekana kama kashinda kimtindo. Aliweza kummudu vizuri Trump.
Kama huamini, pitia youtube video ya mdahalo utaona ninachokisema.
ema Kamala hajakutana na tough questions kama alizokutana nazo Biden,,, moderators wamembeba sana,kama anajiamini a debate Fox news
 
Kwa hiyo ameshinda in terms of appearance na sio on policies na kujibu maswali? Ama unataka kusema hii ilikua ni best looking contest ama debate, alieonekana vizuri ndio ameshinda?
Ukifahamu akili na tamaduni za wamerekani wengi wala hutaweza kuumiza kichwa kuuliza hilo swali. Kwa kukusaidia, mbali na sera (ambazo hubebwa na vyama vyao) wamerekani wanapenda kuongezwa na mtu hizi haiba.
1. Muonekano wake mbele za watu
2. Uwezo wa kujieleza mbele ya watu
3. Uwezo wa kujenga hoja
4. Uwezo wa kujitetea akishambuliwa
5. Uelewa mpana wa mambo mbalimbali.

Kama unakumbuka tu, Biden alianguka kwenye mdahalo uliopita kwa makosa mawili tu, Sauti (alishindwa kusikika baada ya kutafuna maneno) na Kuchanganya majina ya watu wachache (na akaonekana ana usahaulifu) na wala sio sera zake. Na makosa hayo tu yakamshinikiza mpaka kuja kujiondoa.
 
Back
Top Bottom