Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UDASA= Uinversity of Dar es salaam Staff Assembly
Nimempenda bure huyu Prof,hapepesi hata kidogo,uchunguzi wao nimeukubali.
Ni kawaida kwa mikutano ya ccm bila kukodi fuso za kubeba watu ba buku 5 kila mmoja huwa hakuna mkutano
Mkuu ukawa ni aibu tupu hakuna mwenye hoja hata mmoja,picha za hayo magari nenda ubungo yapo utayapiga hadi uchoke.hivi hamna mwenye picha z hizo coasta na UDA
tundu lissu atarusha ngumi kafungua vifungo vya shati, ila tyson hamuwezi.
Lisu naye kaletwa na ccm hii nayo imekaaje.