ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Hahah prof,mpangala anatoa facts za ukweli sana bravo profNimependa prof alivyoongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah prof,mpangala anatoa facts za ukweli sana bravo profNimependa prof alivyoongea
watu wakiacha magari yao wakitumia ya umma nae nongwa du!!!!
Hiyo ni mdahalo wa Magamba, hakuna jipya hapo. Mamluki wa magamba yamejaa ukumbini hapo, hawajui hata wanalolipigia makofi....
Msikilize mpangala anawapiga pini magamba ukumbi unanyamaza anawapa magamba vidongemengi aliingia gharama kubwa ya kumleta mkenya jana,wakampa na tuition aongee nini?.
Mi nikashangaa mkenya na mipasho wapi na wapi,kumbe amepewe scene.
Nimependa prof alivyoongea
nisaidieni kirefu cha UDASA
Naona prof Mpangala anatoa FACTS bila kupepesa macho. Mtaalam tunasema anajilipua au anajitoa Muhanga
ya wapo lukuvi mwigulu na hao wote nilowataja tbc na star wanarusha ila tofauti midahalo mingi mudahalo huu umehudhuruwa na wanaccm wengi sana walioletwa na UDA kadhaa
sasa tuone hawa, watapinga matokeo ya utafit?
Hapana! Alikuwa anaweka facts ambazo Lissu alikuwa ndio kinara wa kutunga kanuni na kutafsri kanuni!