Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

mengi aliingia gharama kubwa ya kumleta mkenya jana,wakampa na tuition aongee nini?.
Mi nikashangaa mkenya na mipasho wapi na wapi,kumbe amepewe scene.
Msikilize mpangala anawapiga pini magamba ukumbi unanyamaza anawapa magamba vidonge
 
habariyamujini mwambie Wassira kiwi na brush anazotumia zimepitwa na wakati hapa ninaproduct mpya soon ntaziingiza sokoni,...
unataka kujua?
ni steel wire na oil chafu nahsi ni cosmetics nzuri kwa sura lake.!!
 
Last edited by a moderator:
Prof Mpangala anaweka utafiti mezani anawaaasa UKAWA warudi bungeni! Namwona Machali anatikisa kichwa!

Kazi kweli kweli
 
Naona prof Mpangala anatoa FACTS bila kupepesa macho. Mtaalam tunasema anajilipua au anajitoa Muhanga

Nimempenda bure huyu Prof,hapepesi hata kidogo,uchunguzi wao nimeukubali.
 
ya wapo lukuvi mwigulu na hao wote nilowataja tbc na star wanarusha ila tofauti midahalo mingi mudahalo huu umehudhuruwa na wanaccm wengi sana walioletwa na UDA kadhaa

Mkuu tunaona vitoto kibao hapo ghorofani nkhuruma.
 
Mpangala anaonyesha jinsi CCM ilivyovuruga mchakato,vigodoro hawapigi tena kelele
 
Ukumbi wa mkurumah umesheheni watoto mathalani wa darasa LA tano ambao wala hawasikilizi kinachoongelewa na watoa mada Bali wa hupiga makofi tuu

Hii ndiyo Tanzania
 
Mpangala anaonyesha jinsi CCM ilivyovuruga mchakato,vigodoro hawapigi tena kelele
 
Back
Top Bottom