Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Jamaa ametaja jina la Tundu Lisu na Jusa kila baada ya sentence na hawa Udasa siku nyingine hii midahalo wapeleke vichochoron huu ukumbi ilikua haupigiwi makof ovyo ovyo kama wanavyofanya hawa vilaza
 
mengi aliingia gharama kubwa ya kumleta mkenya jana,wakampa na tuition aongee nini?.
Mi nikashangaa mkenya na mipasho wapi na wapi,kumbe amepewe scene.
 
Kwa conclusion aliyotoa Mh. Wassira ni wazi ule msaniati wa 'maridhiano' ambayo ndio nguzo kuu ya utengenezaji wa katiba haumo kabisa kichwani mwake.
Anabase kwenye 'wengi wape' bila kujikumbusha kuwa vyama vingi Tanzania vililetwa na watanzania chini ya 20% na kuachana na mawazo yasiyo ya tija ya zaidi ya 80%
 
Humphrey Polepole
******MDAHALO MDAHALO MDAHALO MDAHALO MDAHALO*******

UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI SASA KATIKA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA

SIKU:

JUMATATU TAREHE 4 AGOSTI 2014 UKUMBI: HOTELI YA BLUE PEARL UBUNGO PLAZA

SAA:

MJADALA UTAANZA SAA 7 MCHANA KWA ELIMU YA MCHAKATO NA RASIMU

NA UTARUSHWA LIVE NA ITV KUTOKA SAA 9 HADI 12 JIONI

WAZUNGUMZAJI WAKUU:

MWENYEKITI WA TUME YA KATIBA JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA,

DR. SALIM AHMED SALIM WAZIRI MKUU MSTAAFU

NDUGU JOSEPH BUTIKU- MKURUGENZI MTENDAJI WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE

PAMOJA NA,

MWATUMU MALALE- MTUMISHI WA UMMA MWANDAMIZI MSTAAFU

PROFESA PALAMAGAMBA KABUDI- SHULE KUU YA SHERIA, CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

AWADH ALI SAID- RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA ZANZIBAR

NA,

HUMPHREY POLEPOLE- KIJANA MDAU WA MAENDELEO

MDAHALO UMEANDALIWA NA:

TAASISI YA MWALIMU NYERERE

USIKOSE KUSHIRIKI KATIKA MDAHALO MUHIMU

Naona prof Mpangala anatoa FACTS bila kupepesa macho. Mtaalam tunasema anajilipua au anajitoa Muhanga
 
Hiyo ni mdahalo wa Magamba, hakuna jipya hapo. Mamluki wa magamba yamejaa ukumbini hapo, hawajui hata wanalolipigia makofi....
 
Lisu Tundu ni jembe kwelikweli

Huyu prof Anathibitisha kwa yale matano aliyoyatafiti hakuna hata moja la Wassira yote Lisu ameyasema.
 
Profesa Mpangala: utafiti uliofanywa sababu za mkwamo ni kupuuzwa kwa misingi ya Rasimu, kukebehi rasimu, utata ktk uzinduzi kwa Rais kutoa maoni ya chama tawala, muundo wa wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa uwingi wa wanasiasa
 
Back
Top Bottom