habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
Wasira anaongea mda huu
Anatoa facts siyo Jazba za Lissu hata hakuna alichokisema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasira anaongea mda huu
Kwakweli UKAWA wana umbuka sasa!
hawana hoja ccm wameumbuka sana leoMbona Mh. Wassira anatumia muda mwingi kuengelea watu (sana sana Lissu) badala ya kuongelea issues!?
hivi hao washangiliaji wa wasira wamelipwa bei gani maana wanashagilia hata akikohoa.
Mkuu naona hivi sasa umegeuka kuwa mtetezi wa CCM mzuri sana.
Nakumbuka siku si nyingi sana nawe ulikuwa unakosoa utawala huu huu.
Nanukuu posts zako ambazo si za zamani sana.
Nina maswali kidogo kwako.
1. Hivi CCM imebadilika nini hasa ambacho kimekufanya uanze kuona nia njema kwao, nia ambayo mwanzoni hukuiona?
2. Nini kimetokea kwako hata ukabadili msimamo mara moja na kuanza kuwaunga mkono hao uliowaona mwanzo ni wakandamizaji?
3. Ni mabadiliko yako mwenyewe binafsi, au kuna ushawishi wa watu wengine?
Majibu ya maswali haya yatatusaidia hata sisi wengine tunaoona ukandamizaji wa CCM mpaka sasa.
hivi hao washangiliaji wa wasira wamelipwa bei gani maana wanashagilia hata akikohoa.
halafu mdahalo hauna maswali leo kweli ccm wamefanya yaoWewe mwigamba unajizalilisha na Kitila Mkumbo huu mdahalo ni feki yaani watu wamekuja kupiga makofi
This stupidity
calm down calm down,sijasema viroba ni vibaya,ila jitahidi uwe unakula kwanza ndo unakunywa.
Daa Wassira ana mpa shule hapa Lissu!