Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Kwakweli UKAWA wana umbuka sasa!
 
Mbona wanapiga makofi kila neno analosema wasira wamekodishwa kwa kazi hiyo???
 
migamba ndo imejaa ukumbini,kila linaloongelewa na wasira yanapiga makofi tu
 
Wasira kila baada ya neno anamtaja tundu lisu...
 
mdahalo huu ni waajabu kabisa! pamoja na wajumbe wengi kuwa wameletwa kwa usafiri ulioratibiwa lakini pia hauna fursa ya kuuliza maswali!...
 
Haya makofi ya kishenzi yanashiria nini? nizile fedha au?

maana nikupiga makofi as if nimkakati wa ushangiliji bila hoja ya maana.

Hawajielewa kupga makofi hakufanyi hoja iwe na mashiko zaidi ni kujionyesha weupe wao kichwani haibadilishi kitu
 
Mpaka sasa Wassira ameongea jambogani la msingi kuikwamua katiba ilipokwama

Naomba anayemwelewa anisaidie.
 
hivi hao washangiliaji wa wasira wamelipwa bei gani maana wanashagilia hata akikohoa.
 
kuna watu wamehongwa na ccm kupiga makofi ya kinafiki

Mkuu nilikariri kwamba chadema ndiyo wapiga kelele.

Leo ni kinyume chake.

CCM wanataka kuharibu mdahalo kwa ushabiki wa kijinga.

Watanzania sijui tukoje!!
 
Wakuu yaliyonaswa na Kamanda Yericko Nyerere yamedhihirika,CCM wamejaza wapiga vigelegele na vifijo kwa CCM.Nashuhudia hapa Star Tv vijana wanashabikia kila anachozungumza Wasira,hakuna cha maana anajosema,wanashangilia kejeli za Wasira,na kushinikiza
Kama ilivyolipotiwa hapo mwanzo kuwa chama cha mapinduzi ccm kina mpango kabambe wa kupeleka watu wa kukodi kwenda kumzomea mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni na mjumbe wa UKAWA kwenye mdahalo hapa NKURUMAH HALL. hizi ni picha zikionyesha mabasi ya UDA yakishusha vijana hapa chuo kikuuu maeneo ya Utawala. Ntaendelea kuwapa updates!!!
 
Mbona Mh. Wassira anatumia muda mwingi kuengelea watu (sana sana Lissu) badala ya kuongelea issues!?
 
Back
Top Bottom