OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #121
namuona Mwigulu kaja na vijana wazomeaji.wapi Yericko Nyerere.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau wale waliokaribu na tv waakangalie tbc na star tv
Lissu ni zawadi ya MUNGU kwa watanzania kwa wanaobishi watajathibisha siku wakifunuliwa
mjadala umetulia sana,wanywa viroba leo hawapo.
MABASI UDA YALITUMIKA KUWABEBA WADAU WAO KUTOKA VIUNGA MBALIMBALI YA JIJI LA DAR ES SALAAM. Hiyo ndiyo CCM walivyojifikisha ktk mjadala huu kuuteka. MAGAMBA HAO KWELI WAHUNI.
Ukawa ilishatoboka kuleni nguruwe tu hamna jipya hata moja rudini kibosha mkatunze migomba tu.Tuko pomoja na bahati nzuri ukawa tumejipanga kukabiliana nao kwa vyovyote vile tuombe tu nipate mic
hawajauteka bana,mbona wamempigia makofi lisu?
Wewe mwehu kweli. Gamba mkubwa weee..