Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anampa shule wakati wassira amesema lissu alikuwa mwalimu wake au kuna mwanafunzi anamfundisha mwalimu ccm wameumbuka sana leo hawana hoja zaidi ya kupiga makofi ya kinafikiDaa Wassira ana mpa shule hapa Lissu!
Mwendawazimu tu wewe, huna hoja ya msingi..
CCM bwana yaani wamekodi watu eti kuja kuwapigia makofi
Kama umemsikiliza vizuri Prof. Lumumba jana jumamosi utakuwa umeelewa kuwa Watanzania tuna matatizo na wenzetu sasa wanajua hiliKumbe hata prof Tibaijuka amehuzuria kupigia makofi maneno yasiyo na hoja
This is very very wonderful .........indeed this is wounderful.....
We chizi kweli mtu kijana akishuka toka kwenye gari kaletwa na ccm?Kama ilivyolipotiwa hapo mwanzo kuwa chama cha mapinduzi ccm kina mpango kabambe wa kupeleka watu wa kukodi kwenda kumzomea mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni na mjumbe wa UKAWA kwenye mdahalo hapa NKURUMAH HALL. hizi ni picha zikionyesha mabasi ya UDA yakishusha vijana hapa chuo kikuuu maeneo ya Utawala. Ntaendelea kuwapa updates!!!
Tunashukuru mulio eneo la tukio kwa kutupatia Habari na Sisi tulio mbali.........yote ya yote naomba busara zitawale.
Kwakweli UKAWA wana umbuka sasa!
Daa Wassira ana mpa shule hapa Lissu!
Huyu jamaa naona anamu Attack sana Lissu
tundu lissu amewambua sana mpaka wassira akashindwa kujibu hoja hata naamini wassira ni wa kwenda kumpima akiliHuyu Wassira anawazimu..
Daa Wassira ana mpa shule hapa Lissu!