Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

A dying state is like a dying lamb after a butcher's sword has passed through the wind pipe
 
Prof Mpangala ni jembe ameonyesha kuwa yeye ni profesa halisi na ana impact kwa jamii
 
kamaliza prof Mpangala na sasa kasimama Dr Mkumbo naye anaonekana kero kwa mamuluki na faraja kwa upande wa pili
 
Hatuwezi kuunga mkono mtu mgonjwa asiyejielewa kwake yeye cha maana ni fujo na matusi hatuko tayali kuambatana na mtu mwenye matusi na mfanya fujo.
 
Kazi kwake Mkumbo sasa kuthibisha kwa wananchi juu ya tuhuma zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…