Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

mfano asa hivi mwigulu swali aliloulizwa na dr.mkumbo tofauti!!!
yaani aibu tupu!$
 
Haya ss Mwigulu katoboa kuwa maccm walikuwa na msimamo.
Ss wanamsema Warioba vibaya kwanini?
CCM imeisha wameanza kukiri.

inawezekana leo ndio mara yng ya kwanza kumuona Mwigulu akizungumza point mkuu.
 
Asema dhambi ya ccm ni kuweka msimamo wa kichama kama ulivyotolewa na jk wakati akifungua bunge
 
Chezea pesa weye?CAG TAKUKURU ikague ccm haraka sana kuna rushwa kubwa zinatolewa
 
Hawa vijana wanaoshangilia pumba za magamba sijui wamelipwa shilingi ngapi..
 
picha tafadhali, matusi ya nini unadahalilisha jukwaa.

Unajidhalilisha mwenyewe mkuu, jitahidi kuangalia taarifa ya habari au usome magazeti hata ya leo, hilo liko wazi.
 
Mimi hata siangalii upuuzi huo wa ccm.Nasubiri kesho ubungo plaza
 
Duh! omujubi na Deo Corleone mbona mnatuchanganya?,tuko huku ili tushushe presha za huko mpirani,anyway asanteni kwa taarifa.
samahani kwa hilo lakini kama nchi imdekuwepo miaka 50 bado timu inashindwa, Kentya na Uganda wanakusanya medali Glasgow na sisi baadhi yetu wanasema 'no change' ndio tunachanganyikiwa zaidi!
 
wanafunzi wapo likizo, wengine field, wengi wamemaliza, waliopo nkurumah ni makada wa vyama
 
Back
Top Bottom